Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Watu wengi wanaanzisha biashara lakini wengi pia wanafunga biashara, sababu na shauku ya kuanzisha biashara mara nyingi ndio hiyohiyo ya kufunga biashara ila nina wazo au kanjia kadogo ambacho...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu mimi ni mjasiliamali ambae walau kwa siku naweza kuingiza faida ya elfu tano au elfu kumi sasa ombi langu kwa haya makampuni yanaoendesha mobile money kama T-pesa, Mpesa, Tigopesa,Eazy pesa...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Jaman wadau wa JF naomba kupata direction ya kupata mfunzo/seminar ya ufugaji wa kuku
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Ziko pisi nyingi Sana kwa ajili ya fensi n.k zenye urefu wa 6ft 7ft na 5ft. Pisi moja Ni shilingi 1000. Kila kipande kimekuwa treated. Mzigo upo pembeni mwa barabara ya lami ,mpakani mwa njombe na...
1 Reactions
3 Replies
720 Views
Habari za muda huu wakuu, Swali kutoka kwa mwanetu yeye ana Account JF "Naomba kuuliza bei ya sasa ya maindi, maharagwe na mchele mpaka ni sirari" Mwisho wa nukuu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kitu gani ambacho kinawafanya watu wengi kupenda kufanikiwa ...?? Kila mtu anapenda kufanikiwa, sio...?? Huwa tuna sukumwa na nini...?? Najua sababu zipo nyingi ila za msingi ni zipi....??
1 Reactions
4 Replies
548 Views
Habari wanajamvi, mimi nipo Tanga lakini maeneo ya kijijini. Kwa muda niliokaa huku mambo ya kilimo yamegoma hasa kwa sababu ya hali ya hewa. Sasa nikafikiri kufungua biashara tofauti hata mbili...
5 Reactions
90 Replies
76K Views
Habari hapa Nimekuwa natafuta mwanga katika maisha kwa miaka sasa . Nimaenza uwakala wa kibenk na mitandao ya simu kwa mwaka sasa na sijaona faida yake kubwa kwa kweli. Ni kama mwezi sasa nawaza...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari wanajasirimali wote. Nafikiri kufungua taasisi ya kukopesha fedha kwa kutoa mikopo ya wafanyabiashara na watumishi hasa taasisi za serikali na binafsi. Naomba kupatiwa uelewa wa namna ya...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Naomba msaada wa kujua taratibu za kufungua real estate company kwani nina eneo la hekari 15 Kigamboni (Dsm) la urithi karibu na fun city, sasa sijui taratibu za kufuata ili kufungua kampuni japo...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari zenu wakuu nimekuja na wazo la kuanzisha biashara ya vifaa vya kutolea huduma ya afya kwa mfano microscope, blood pressure tester, injector na vifaa vingine vinavyo tumika kutolea huduma ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naona watu kibao wanaparangana kutafuta haya maji ya mwamba. Sasa naomba kuuliza, pia mmoja ama kama kunamtu anaconnection ya uhakika ya soko la hii kitu naomba tutafutane. Kama wewe...
4 Reactions
35 Replies
14K Views
Habari wakuu, Mimi ni mjasiliamali mdogo, ningependa kufahamu jinsi ya kujua mahali na tarehe ambapo hufanyika maonyesho ya kibishara ya mara kwa mara (tofauti na yale maonyesho ya kitaifa kama...
2 Reactions
10 Replies
636 Views
Habari JF. Kwamtazamo wangu wengi tunaogopa kuagiza vitu kutoka hizi sites kama AliExpress,ebay,Amazon n.k Baada ya kusoma nyuzi nyingi hasa za Mwl.RCT basi namimi nikaona nijaribu. 1.Nilianza...
7 Reactions
111 Replies
29K Views
Heshima kwenu wakuu. Naomba kujua kampuni zinazosafirisha mizigo (Loose Cargo) kutoka Japan kuja Tanzania. Heshima kwenu. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wangudu, Nimeona niweke hapa business idea yangu ya kufungua retail shop in one on the medium populated areas hapa dar. Nataka kufungua duka ambalo litakuwa na groceries (eg mafuta ya...
3 Reactions
143 Replies
90K Views
Habari wanajamii, sijawahi kuona huduma mbovu za usafirishaji wa nchi kavu kama hizi za basi la AIFOLA EXPRESS linalofanya safari zake Dar-Kigoma, wahudumu wanakauli mbaya, hawajali wateja wao sio...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni biashara ipi kwa Dar naweza kuifanya kupitia huo mtaji..?
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau habari~ Naomba msaada wa kujua bei ya engine ya pikipiki aina ya boxer maana chassis bado ni mpya kabisa lakini engine imekufa kutokana na matumizi mabaya ya kijana aliyekuwa anaitumia. Kuna...
1 Reactions
14 Replies
17K Views
Habarini za muda huu wana Jf Kwanza nipende kumshukuru Mungu Kwa kuweza kuiona siku ya leo bila kupoteza muda niende Moja Kwa Moja kwenye mada. Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 nimemaliza chuo...
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Back
Top Bottom