Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Eneo lenye ukubwa wa heka 45 linauzwa eneo lipo mkoa wa pwani vigwaza visezi barabara ya kuelekea bandari kavu eneo ni zuli kwa kujenga yard gereji na Mambo mengine bei kwa kila heka moja mil 3 tu...
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Natumai muwazima wa afya .Kuna wakati/ama umri ambao kuna jambo unaona ungelifanyaga lingekusaidia zaidi mbelini ama kukuweka fiti kiuchumi .Ulifikiria jambo gana? ukiwa na umri kati ya miaka...
0 Reactions
2 Replies
322 Views
Habari wana Jamiiforums, Nauliza, Hivi utaratibu wa kupata bank account kwa jina la biashara yako upoje kwa upande wa Zanzibar? Na hii sio kampuni bali ni Business Name. Wanaojua naomba msaada...
1 Reactions
5 Replies
848 Views
Bunge la Uganda limelaani azimio la bunge la Umoja wa Ulaya linalozitaka Uganda na Tanzania kusitisha maendeleo ya miradi yao ya mafuta na gesi katika ukanda wa Afrika Mashariki. Katika kikao cha...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
watanzania tukisikia unatajirika haraka basi wote tunakuja haraka utazani wakimbizi. sio watu waliopoteza pesa kwenye forex tu hata haya mzungumzi na kujifanya wakimya. kama...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Hisense smart 4k inch 55 iko creen inafaa kwa matumizii ya kuonesha banda la mpira au pia nyumbn beii million 1.1 ni check tumalizane location mbagara kijichi 0685 809 502
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Nisaidieni ushauri wana jamiiforum, nataka pembezoni mwa mji zaidi. Ningependa nianze biashara ya Hardware ila changamoto ni eneo lenye ujenzi wa kasi zaidi na upungufu wa Hardware shops Je...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa. Kwa takribani miaka 3 kwenye game la Forex, imekuwa ni miaka ya kujifunza...
60 Reactions
176 Replies
27K Views
NMB BANK PLC LEO Namshukuru Mungu siku ya leo nimeshiriki shughuli ya uzinduzi wa huduma mpya tatu za bank yetu pendwa Nmb bank Plc katika ukumbi wa Hyatt Regency Dar es salaam,The Kilimanjaro...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ZOEZI LA UTOAJI/UUZAJI VIWANJA KWA MNADA Ukubwa wa kiwanja:600SQM yaani 20 kwa 30m Eneo la Mradi:LUGOBA. BEI ya kiwanja 230000 ZINGATIA [emoji1428]Hati zitatolewa siku hiyo hiyo na uongozi wa...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna suala limetrend sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusu wizi wa vifaa vya magari. Unakuta umepaki gari lako usiku ukija asubuhi unakuta show yote ya mbele hakuna, taa zimetolewa..wakiweza...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Samahanii naitaji kujuwa beii za jumla za simu ndogo na cover za simu kwa beii ya jumla na redio speaker za bluetooth zile ndogo kwa beii ya jumla pia na headphones kwa beii ya jumla nasubirii...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
We fix ; -Bad printing -Not cutting -Damage of sensor -not rolling Call/Whatsapp +255783360166
1 Reactions
0 Replies
219 Views
Kampuni ya Vodacom Tanzania imetangaza kumteua Ndg. Philip Besimire kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya kuanzia Oktoba 25, 2022. Philip anajiunga kutokea kampuni ya MTN ya Afrika Kusini, alipokuwa na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Nahitaji roli la kubebea mzigo songea hadi pwani mwenye nafasj piga 0629812001
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Habari wana jukwaa, ndugu zangu nipo Morogoro nina ukwaju mwingi, kama kuna mtu anajua soko lilipo au aniunganishe na masoko. Natanguliza shukrani zangu[emoji120][emoji120][emoji120] Namba zangu...
1 Reactions
1 Replies
604 Views
Wakuu Kuna kitu hapa natamani tujaribu kujadiliana kwa pamoja juu ya hii biashara ambayo imeonekana kuacha watu wengi na maswali huku watu wengi pia wakiwa na majibu. Tujadiliane kuhusu biashara...
3 Reactions
76 Replies
27K Views
Nataka kuanza biashara ya kuuz tyles nina mtaji wa m4
0 Reactions
2 Replies
417 Views
Wauza magenge hasa wauza dagaa kuna kero huwa mnanipa sijui ndiyo mnawahi muda au ubize. Kitendo cha kupima dagaa au samaki waliokaangwa kwa mkono ambao haujavaa chochote au haujatumia kitu...
6 Reactions
14 Replies
758 Views
Back
Top Bottom