Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za kazi wapendwa wote wana JF. Ninaamini hapa kuna wazoefu wengi wa masuala ya biashara au Idea yoyote ya HARDWARE.Ninampango wa kuanzisha biashara hii ya hardware(vifaa vya ujenzi na...
1 Reactions
66 Replies
17K Views
Siri 3 Usizozijua za Social Media Marketing[emoji33] Je,Unatamani Kufanikiwa Ktk Kutangaza na Kuikuza Biashara yako Mtandaoni? Basi Tumia Siri hizi 3 ambazo Wafanya Biashara wengi Wanazipuuzia...
2 Reactions
2 Replies
887 Views
Habari wadau! Naomba ushauri wenu nina mataji wa Milion 2 nataka kuanzisha duka dogo la vipozi kwenye hiyo million 2 ndo itagaramikia vifuatavyo-: Eneo la biashara Kodi ya frame kwa miez6 Shelf...
1 Reactions
9 Replies
11K Views
Salaam wakuu Naomba kujua makadirio ya gharama za kupata kibali kuweza kusafirisha cereals kwenda nje ya nchi. Je ni gharama gani naweza kuingia katika kufuatilia suala hili. Kama Kuna mtu...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hivi unakumbuka ulivyokuwa mdogo ndoto yako ilikuwa ipi....?? Kumbuka ulivyokuwa mdogo ulikuwa unamwambia mama au baba nikiwa mkubwa nataka kuwa DR au Mwanajeshi au Mwanasiasa au Mwandishi wa...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Hivi wadau anaeweza kunisaidia miti ya mbao Hadi kuvunwa huchukua muda gani
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna wateja ukiwaandikia bei yoyote hawajawahi kubisha. Wao huiitaji jumla tu walipie. Wateja wengi vijana wenye hela hawapendezi sana. Wengi huvaa kawaida. Ukiona ameng'aa sana jua hamna hela...
12 Reactions
47 Replies
3K Views
Habari za muda huu! Niko kwenye eneo linalozalisha zao la dengu na miezi ya mavuno imekaribia. Nimevutiwa na kufanya biashara ya kununua dengu kutoka kwa wakulima moja kwa moja. Ninaomba kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye ujuzi kuhusu kuanzisha kampuni naomba maelezo
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Kama kichwa cha habari hapo juu mwenye ujuzi na haya mdini soko lake likoje na mnunuaji pia ni nani na yanauzwa kwa tone au kg? Karibuni wenye ujuzi na kutoa darasa
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana mpambanaji, ndio naanza maisha ya utafutaji wa ridhki kiukweli sina asseti yeyote ya maana labda kitanda, godoro, feni na pasi ndo nilivyonavyo. Naomba kuuliza kuwa...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari Nimewaza kuanza biashara ya kuuza mboga ya kisamvu Naombeni mawazo yenu juu ya changamoto zabiashara hii,..mfano kujua tofauti ya kisamvu na kisamvu-mpira, uhifadhi wa kisamvu...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habari za sasa hivi. Naomba kufahamu wapi pa kuanzia ikiwa nataka kufungua microfinance, na je, kuna kima cha chini cha kuanzia kwa mjibu wa sheria? Majanga yatokanayo na hiyo biashara ni...
3 Reactions
38 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu, Najua fika kua jukwaa hili limejaa watu werevu na wenye uzoefu tofaut tofaut kwenye sekta ya ujasiriamali, hivyo ndugu zanguni nimekuja kuomba mawazo yenu ili niwezepata...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wenu kidogo kwenye hii biashara ya malori ya kubeba mchanga na kokoto , hesabu kwa siku kwa lorry la tonne 7, 18 na 32 ni kiasi gani ? Katika hayo yapi yana demand sana ...
2 Reactions
76 Replies
41K Views
Yan unaend sheli kununua mafuta ya 45k, unapewa lita6.62 x3019=45000?, Yani leo moto pamechimbika
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari wana jf Natamani sana kufanya biashara yoyote ile ambayo itakua hivi, kwa mfano: unaichukua biashara bongo unaipeleka iwe Congo, Zambia, Zimbabwe, Malawi, kisha unaichukua huko biashara...
0 Reactions
0 Replies
393 Views
Wadau nimenunua mitambo ya kuanza kuzalisha maji ya kunywa (used), nimepanga kuanza kutengeneza maji ya kunywa na kuyauza. Nahitaji wadau wabobezi wanishauri hatua za kuanza biashara hii, pia kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom