Ndugu wana jamvi,
Wasaamu
Kama kichwa kilivyo hapo juu nimechoka na mikopo ya online, nilijitosa kusaka mkopo na kama mjuavyo wana jukwaa kuwa bila dhamana watu wengi wanaangaika kupata mikopo...
Wadau nauliza kama kuna mbongo ambaye amewahi fika Goma DRC ili nijue boda aliyopitia na ugumu uliopo. Nasikia kuna watannzania wanafanya biashara huko, nataka nikachungulie.
Salamu wana Jukwaa....
Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya Boda boda na Bajaji kuanzia mwezii wa 11 jijini Dar es salaam, naanza biashara hii baada ya kujibana kwa kipindi cha miaka 3 sasa...
Habari wana wa JF!
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza naomba tujadiliane machimbo ya BIDHAA hapa kariakoo, mfano wa BIDHAA zenyewe ni kama torch, kufuli, UDI, miswaki, rula, penseli, wembe...
Baada ya tigo na zante kuungana, sasa huduma za tigopesa zinapatikana kwenye zantel.
Yaani iko hivi, wewe kama mteja wa Zantel unaweza kuweka na kutoa hela kupitia wakala wa TigoPesa.
Hivyo...
Habari za leo wadau
Natafuta scania la kukodi kama mtu hana mizigo mimi ninayo
Namlipa kwa mwezi kiasi tutakacho kubaliana au kwakila mzigoninaosafirisha
Scania iwe nzima
Kwa sasa sina uwezo...
Kwa wale ambao wanaishi na wenza wao ambao wapo katika ajira au biashara na wana kipato kizuri watakuja kushudia namna ambavyo wenza wao wana mchango kiasi gani katika maendeleo ya familia.
Kwa...
Habari zenu waheshimiwa,
Naomba msaada wakuu kama kuna yeyote angeweza nisaidia kunipa majina ya makampuni au dereva au hata tu msaada wa mawazo wa kusafirisha mzigo kwenda Afrika kusini. Nitakua...
USHAURI KABLA YA HABARI.
JITAHID SANA KUCHUNGA UHUSIANO WAKO NA MTEJA WAKO.ILE KUKUAMINI NA KUKUFANYA UWE RAFIKI HAINA MAANA URAFIKI SHOULD COME IN FIRST PLACE..ACHA KAZI IKAE MBELE MAANA NDIO...
Habari,
Nahitaji kuwekeza UTT AMIS kiasi Cha 10 milioni kupitia mfuko wa bond. Naomba kuuliza je nikihitaji nitoe milioni 10 yangu muda wowote naweza kuitoa bila shida yote wala bila kupungua...
According to Greenfire Farms, the Ayam Cemani is the "most unique chicken on the planet." It's found in Indonesia and its pitch black color is what's made it famous. Not only are their feathers...
Nimeanzisha huu uzi kwa malengo ya kupeana akili ya namna ya kujipanga,au kujiandaa kustaafu ili uzeeni asiteseke kwa dharau na fedheha za watukila mmoja atoe wazo lake
Mf;Mimi nimenunua shamba...
Wakuu nilikuwa naomba kujuzwa frame Tanga Mjini bei gani pale Kati kati ya mji kabisa na changamoto za kibiashara zikoje na ule utamaduni wa kuona wazee ndio ufanye jambo bado upo.
Hello,
Nimerejea tena jukwaani baada ya ban la wiki tatu [emoji23] hakika niliwamiss sana[emoji18]
Nahitaji kufanya biashara ya kutengeneza juisi, kuzi pack na kuzisambaza madukani kwa oda...
Jamani mi ninataka msaada kidogo. Nilituma package kutoka UK through DHL, unfortunately package haikuchuliwa kwa wakati muafaka. Nimeongea nao wanasema ipo warehouse. So ni jinsi gani ya kuitoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.