Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kama kichwa kinavosema wakuuu,mdaa huu saa 12 na dk 16 Eur moja ni sawa na 0.99 usd hii inaweza kuwa inachangiwa na nini hasa?
2 Reactions
16 Replies
882 Views
Kahawa maarufu tunayotumia hapa Tz ni Africafe. Kale kakopo, 50mg kanauzwa Tsh 4000. Maana yake kilo moja ya kahawa ile ni Tsh 80,000. Na kahawa hii ni ile ya quality ya chini tu. Ndiyo maana...
4 Reactions
2 Replies
641 Views
Greeting, hustler..[emoji110] Kama kijana lazima ulijuwe hili, thread.. Sometimes utaona kama bahati mbaya ama Mungu kafanya makosa kukuleta tz ila naomba kuongea na wewe leo. Ikiwa bado kijana...
2 Reactions
6 Replies
694 Views
Niaje wazee mpo? Tupo katika kuendelea kutengeneza pesa. Siku siyo nyingi nitakuwa Masasi mjini, vipi naweza nikafanya biashara gani Masasi mjini inayolipa haraka kule Mtwara. Naheshimu mawazo Yenu
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nina wazo la kufanya biashara ya kusafirisha abiria kwa kutumia basi ndogo aina ya Costa ambayo nategema kufanyia mkoani lakini bado nafanya utafiti nijue ni route ipi nzuri hasa...
6 Reactions
86 Replies
21K Views
Mwenye address ya hiyo taasisi na ya Mh. Nape Nauye anipatie. Ukipiga simu hawapokei, nataka niwape kimaandishi nakala kwa Waziri
1 Reactions
2 Replies
867 Views
Barcelona, Uhispania, Februari 28, 2022 - Wakati wa toleo la hivi karibuni zaidi la Kongamano la Dunia la Simu (MWC 2022), moja ya matukio makuu katika ulimwengu wa teknolojia ya simu, TECNO...
3 Reactions
84 Replies
6K Views
Je, Kama Kijana umejipanga vipi kuyaandaa hayo maisha_ au imekuwa Ni Kama simulizi kwa vijana wenzio bila kuwa na mipango_. Vijana tujiajiri! Vijana tujitume_! Tuwe wabunifu, wapo vijana wanafuga...
0 Reactions
14 Replies
948 Views
Yaan mshanikera to maxmum. Si muondoe namba zenu za customer care. Maana nina siku ya pili sasa nawapigia kubadilisha tarehe ya safari hamchukui simu zangu. And sina muda wa kuja kwa ofisi...
0 Reactions
2 Replies
706 Views
Cut
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau naomba muongozo kwa nwenye kujua hi Biashara vizuri Mtaji Bei gani!? ubora wa vifuu vinavyohitajika wapi wananunua (vikishakusanywa) Bei wanazonunulia Ahsanteni
1 Reactions
1 Replies
397 Views
Ukweli tuuseme tu, jahazi limeanza kumshinda mama. Sio kwa ugumu wa maisha huu! Yaani Watanzania wanatozwa tozo ambazo hata mkoloni na roho yake mbaya asingethubutu kuwatendea namna hiyo. Wengi...
31 Reactions
66 Replies
3K Views
Wakubwa shikamooni, madogo mambo vipi, poleni wote na makali ya tozo. Mimi ni kijana wa kiume miaka 30 makazi yangu kwa sasa yapo Iringa Twende moja kwa moja kwenye point., katika kuchanganyika...
0 Reactions
0 Replies
508 Views
Ndugu zangu hivi unatakiwa kulipia costom fee before ata hujaona parcel yako au unapaswa lipia baada ya kuuona?
0 Reactions
1 Replies
437 Views
Nahitaji kati ya V8, NISSAN V8 AU PRADO NEW MODEL. Nahitaji kukodi kwa siku tano. Kama unayo unicheki tufanye biashara
1 Reactions
0 Replies
550 Views
Habari zenu wana Jamii forums. Jumapili hii tulivu ya leo nimechekecha kichwa kidogo nimepata wazo la kuandika kitabu kisha nikipeleke kampuni ya ucapishaji na usambazaji kiwe kinnapatikana...
0 Reactions
7 Replies
644 Views
Habari JF Baada ya kupambana kwa muda mrefu Sasa nimepata Bajaj ya mkataba! Nikimaliza itakuwa Yangu! Ubunifu ntakao ufanya Ni Kama ifuatavyo. Nitaandaa Business card sizizo pungua 100...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Nataka nianze biashara ya nguo lakini mambo haya siyajui sana. Ulipaji kodi unakuaje. Legal process ni zipi? Mzigo mzuri mnauchukua kwa staili gani etc
3 Reactions
4 Replies
834 Views
Zinahitajika ngozi za nyoka wafuatao; 1- kifutu 55'' to 61'' shs 380,000/= kwa ngozi 2- sawaka 155'' to 655'' shs 200,000/= kwa ngozi 3-nyoka wa kijani(boomslang) 100'' to 155'' shs 400,000/= kwa...
9 Reactions
107 Replies
11K Views
Back
Top Bottom