Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kwa Wale wapambanaji Wenzangu wa Mitandaoni nikiongelea Upwork nafkiri sio Kitu Kigeni. Kwa Wale Ambao Hawafahamu kuhusu Fursa za Upwork fuatlia Uzi Mbali mbali upate Mwanga. Moja Kwa Moja Kuna...
10 Reactions
62 Replies
6K Views
Hebu fikiria Denis na Caroline wanataka kwenda jiji la Manchester kushuhudia mechi kati ya Chelsea na Arsenal ili waweze kuenda inabidi walipie nauli ya ndege ambayo Itasaidia kufika kule na...
1 Reactions
2 Replies
359 Views
Watu wengi wanapo anzisha biashara huwa kuna baadhi ya mambo wanazingatia mfano; -wateja -Gharama za uendeshaji -jinsi ya kukuza thamani ya bidhaa katika biashara n.k # Lakini husahau kitu cha...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Biashara zina sababu nyingi kufa ila kwa tafiti zangu kuangalia biashara zilizokufa ni hizi. Wengi tunafanya biashara ila kuna vitu vinatufanya mpaka biashara inakufa kabisa kabisa na ulikuwa na...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za mchana wadau, natumai mpo salama mkiendelea kutimiza majukumu yenu ya kila siku. Niliwahi kuja na wazo biashara siku zilizopita. Biashara ya M-pesa, nashukuru kwani nilipata michango...
4 Reactions
37 Replies
56K Views
Kuna jambo la kustaajabisha sana kuhusiana ya mikopo, mara nyingi mikopo hailipwi kwa sababu zisizoeleweka na imepelekea baadhi ya watu kuona kuwa mikopo ni matatizo katika maisha yao huku wengine...
1 Reactions
3 Replies
978 Views
Habari wakuu, Naomba kuelekezwa sehemu wanazouza sigara kwa bei nafuu ya jumla ambayo na mimi nitakwenda kuuza jumla. Pia na bidhaa nyingne kama k vant, konyagi nk
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni msaada au mwongozo tafadhali , mwaka 2019 nilimwajir rafk yang wa kijjn kwenye mpesa yangu hapo kijjn kwet nikaondok kwenda nje ya nchi ila cha ajabu mwaka huu mwez wa 4 wamefanya tukio...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Juzi nikiwa mlimani city nikashangaa nyomi ya watu wakikimbilia Shoprite supermarket kuuliza kulikon nikaambiwa kuna ofa (nusu bei, 50% OFF) nami nikachoma ndani kuwahi ofa ile kuingia tu mbinde...
7 Reactions
31 Replies
8K Views
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa tanzania Jamani kwa wafanyabiashara au wenye makampuni au mtu binafsi aliopo dar ambae anahitaji patner aliopo mwanza wa kufanya nae biashara nipo...
1 Reactions
4 Replies
982 Views
Kutokana na Ongezeko kubwa la maradhi hapa Duniani, kumekuwa na Ongezeko kubwa Sana la Elimu ya Tiba Lishe, na baadhi ya vyakula sahihi kwa maisha ya Binadamu! Kifupi watu wengi Sana wamekuwa na...
0 Reactions
0 Replies
479 Views
Habarini Wana jf. Kama hapo juu nilivyoanza kueleza nathubutu kusema Uchumi wa Tanzania uko mashakani sana zaidi ya watu wengi wanavyoona na kudhania. Hali ni tete na mbaya sana,watu wameweka...
1 Reactions
7 Replies
480 Views
Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari...
29 Reactions
637 Replies
106K Views
Habari za mda huu! Kwa wale wanaojua wapi ntapata mayai ya kuangulisha vifaranga nipo mbeya mjin. 0758996747 namba hii tuwasiliane. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
346 Views
Habari wakuu, Ninayo furaha kutangaza kurejea kwa series yetu pendwa ya mafunzo ya Digital marketing kwa lugha ya Kiswahili. Nilikuwa active sana humu mwaka 2020 na mwaka jana mwanzoni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Utangulizi. Kwa maisha ya kawaida tunapozungumzia Uchumi ni shighuli zote za binadamu zinazolenga kutekeleza mahitaji ya binadamu ya Kila siku. Dictionary ya Economist's imefafanua Uchumi...
0 Reactions
0 Replies
533 Views
UTANGULIZI NDOTO NI NINI? Ndoto ni taaswira, mawazo, tamaa au hisia ambazo zinapita katika akili yako. Mara nyingi Sana ndoto ni kitu unachoweza kukitengeneza katika taaswira yako kulingana na...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Mambo ni byuti byuti huko kwenye maasiliano. Sasa MB 1 ni Tsh 2.50 kutoka 1.50 na hiyo ni TTCL tu sijui huko kwingine
6 Reactions
56 Replies
5K Views
Nimeanzisha biashara ya bisi(popcorn) kwa packaging lakini inaenda wiki mbili sasa inatoka taratibu sana na siku nyingine haitoki kabisa. Nichukue hatua gani maana nategemea nipate faida ili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom