Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Vijana mnaofanya gaming kwenye simu mnaweza kuingiza pesa kupitia gameplay zenu , anzeni livestream kujipatia pesa Games include , PUBG MOBILE. CALL OF DUTY, APEX LEGENDS na mengine tumia vizur...
0 Reactions
7 Replies
640 Views
Habarini wanajukwaa Sekta ya utalii ni sekta ambayo inaliingizia taifa letu fedha nyingi za kigeni, pia ni sekta inayokua kwa kasi kutokana na uwepo wa vivutio vingi tulivyobarikiwa hapa nchini...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu ni lipa namba ipi nzuri kati ya Voda na tigo?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Pasipo kupiga chenga nyingi ni kwamba ninataka kuweka mifugo shambani hasa Kanga na Bata Mzinga, Nipo Dar ila kwa wauzaji wa Dar bei zao zipo juu sana nataka kwa Bei ya shamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Kuna jamaa yangu aliniambia kuhusu ku trade instruments(mfano gold, oil, bitcoins, stocks, currency) kama inavyokuwa kwenye forex, ila hii inafanyika kwenye platform inayoitwa...
1 Reactions
26 Replies
9K Views
Habari ndugu wana JF naombeni mawazo yenu Nina laki 4 Nina hitaji kufanya biashara he nitafafanya biashara gan yenye kuhitaji kianzio cha kiasi hicho
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Hivi Vifurushi vya wiki na mwezi kwa sehemu kubwa kipindi hiki vinakosa uhalisia yaani ujazo wake hauna sifa za muda tajwa. Haiwezekani kifurushi cha wiki kiishe kabla hata ya masaa 12 au...
1 Reactions
0 Replies
474 Views
Habarini ndugu wana Jf , Natumaini mko na Jumapili njema kwa wenye changamoto za hapa na pale Mungu awafanyie wepesi. Niende moja kwa moja kwenye mada , Naomba kufahamishwa namna nzuri ya...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Napenda kuongelea kuhusu ujasiriamali kwasababu wajasiriamali wamekuwa wengi na Mimi nikiwemo kila mtu anatamani kuinuka kutoka pale alipo kwamfano mtu mwenye mtaji mdogo Kama 50,000 anakuwa...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Habari zenu waungwana, Naomba msaada wa jinsi ya kujiunga na wire transfer ili inisaidie kwenye biashara zangu.
0 Reactions
1 Replies
827 Views
Habari wakuu? Wadau poleni na ujenz wa kujenga taifa hili, nakuja mbele yenu kuomba msaada kwa yeyote anaefahamu wap ntapata mkopo wa dharula kiasi Cha Tshs. Milioni mbili(2,000,000/=) kwa...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
"Branding" katika biashara ni matumizi ya jina (name), maneno (terms), alama (symbols) na mitindo (designs) kwenye kutambulisha bidhaa au huduma sokoni. "Branded Product/Service" ni bidhaa au...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Salama ndugu zangu? Kama ilivyo ada JF halishindikani jambo. Nina mpango wa kununua bodaboda na kuwapa vijana kwa mkataba. Wakimaliza mkataba zinakua mali yao. Kwa wenye uzoefu na biashara hii...
7 Reactions
42 Replies
22K Views
Bado natafuta soko la Kamba za katani. Mwenye kufahamu soko ama mwenye uhitaji tafadhali tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
740 Views
Nimeishi mikoa kadhaa tofauti na dsm kwa muda mrefu huku nikihama kutoka mkoa mmoja hadi mwingine... Ila kitu nilichokigundua ni kwamba bei za bidhaa hususan zile zisizosafirishwa kutoka mbali...
0 Reactions
1 Replies
517 Views
Kama ilivyokuwa kwa mitaa ya Pemba Kkoo na Samora posta streets enzi za 80's/90's, Azikiwe street(Zero Brain) 2000's, mtaa wa Agrey ndo mtaa unaoukua kwa kasi sana sasa hv kwa mishemishe za town...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Lengo la kuanzisha uzi huu ni kujuzana hali na taarifa ya masoko /jinsi ya kupata masoko kwa mikoa mbali mbali. Taarifa hizi zitakua zinatupa mwanga kujua ukijitosa kulima zao...
0 Reactions
2 Replies
402 Views
Kupitia orodha mpya ya Matajiri wa Dunia ya Bloomberg Billionaires Index, imeonesha nafasi kubwa na kiwango cha fedha alichowazidi matajiri wengine.
2 Reactions
7 Replies
770 Views
Mi nafikili vijana tukijikita kwenye kilimo na bishara tutatoka kiuchumi mi Leo nataka niwape vijana wenzangu Elimu kidogo kuhusu kilimo cha vitunguu swaum. Mimi ninauzoefu wa miaka 9 sasa...
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Msaada wako wa mawazo constructive unahitajika sana unisaidie Mimi mtanzania. Wazo langu ni kuanzisha tuition centre Makambako. Itatoa Huduma ya masomo kwa Private candidate, Qualifying test...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Back
Top Bottom