Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Hello hii ni kwa MAwakala, ningependa kufaham mtandao gani una makato rahisi kwa njia ya lipa kwa mteja kulipia na kuamisha fedha Kati ya lipa ya tigo au lipa ya vodacom, mtanisaidia Sana kwa hili.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu naomba ushauri mi ni mfanya kazi katika shirika la ulinzi nataka kufanya biashara kama nina elfu thelasini nifanyie biashara gani?
1 Reactions
156 Replies
78K Views
Habarini wakuu Nahitaji kwenda Dubai kununua accessories za simu hivyo ninaomba Kwa mtu mwenye uzoefu aweze kunipa mwongozo na connection kufanikisha Hilo Natanguliza shukurani:-
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wanajf? Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, Kuna kikampuni fulan jina ***** microfinance kinajihusisha na kutoa mikopo midogo mtaani Tena kwa dhamana ya vitu vya ndani kama vifaa vya...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Wakuu mimi ni kijana mjasirimali Nimepambana kwa muda hatimaye nimepata kaduka kangu kapo mjini kati Sasa kulingana na pesa zangu za kuungaunga nimeshindwa kujaza mzigo nipige pesa Nilikuwa...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Fursa kwa wawekezaji wenye uhitaji wa eneo la kuwekeza nina eneo la square meter 900,000 lenye plots 20 kwa matumizi ya viwanda na uwekezaji eneo lipo Mlandizi(Ngeta), eneo liko mita 30 kutoka...
2 Reactions
1 Replies
617 Views
Kutokana na changamoto ya kupata mtaji hii nawaletea njia ya kupata mtaji hii imekua Njia rahisi zaidi ya kupata mtaji kwa urahisi bila riba riba ni uaminifu wako tuu. Chakufanya ili upate mtaji...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wa JF Nataka kufanya biashara ya kuuza vocha za jumla lakini sijajua nanunua wapi hizo vocha,ukiwauliza wauzaji wa jumla kila mmoja anapiga chenga wengine wanasema hazina faida..mimi...
2 Reactions
12 Replies
11K Views
Kama unatangaza Biashara yako Online.. Bila shaka Unatafuta Wateja wa Online Wateja hawa, sio kwamba wana utofauti sana na wateja wa kawaida (offline),...ambao wanaweza kuja dukani kwako kabisa...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Naam tunaimalizia August,,, Back then nikiwa chuo(sikufanikiwa kupata boom) Kuna michongo nilikuwa nafanya ili kidume ni-survive mjini,,, ! Hii ilipelekea performance kushuka Sana, mda mwingine...
5 Reactions
5 Replies
851 Views
Habari zenu waungwana Naomba kufahamu bei ya frame kwa mwezi maeneo muhimu hususani mjini kati kwenye majiji na mikoa inayokuwa kwa kasi Mwanza Arusha Dar es salaam Tanga Dodoma Mbeya Nawasilisha
0 Reactions
8 Replies
895 Views
Habari za majukumu ndugu zangu kijana mwenzenu nipo mbele yenu kwa ushauri wenu kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi ni mkazi wa Dar maeno ya Kitunda umri wangu 27 Mama yangu kanipa...
5 Reactions
84 Replies
27K Views
Critical Thinking ni kitendo cha kufikiri kwa kuzingatia mazingira au hali tofauti tofauti (different contexts) ili kufikia maamuzi yenye tija. Meneja wa Kampuni (Company Manager) anapaswa kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mikopo tunayokopa benki hapa nchini Tanzania zina riba kubwa sana kitu ambacho hufanya watanzania wengi kutofaidika sana na mikopo hiyo. Kwani kuna benki hutoza riba zenye faida ya asilimia...
56 Reactions
221 Replies
45K Views
Habarini wanajamii forums, hope mko salama na haya mapumziko ya jumapili. Nimeona kuwa serikali yetu Ina Kodi na tozo mbalimbali, Kuna ambazo tunazijua na ambazo hatuzijui ila zipo. Kwa faida ya...
0 Reactions
0 Replies
380 Views
Nawasalimu wanajamvi habari zenu! naomba mwenye mawasiliano ya SIDO au kama wana account humu jf namba tuwasiliane nina jambo nahitaji ufafanuzi kutoka kwenu.
1 Reactions
2 Replies
562 Views
Hello nahitaji msaada juu ya kumiliki biashara ya internet service provider.... "Kwetu kijijini Kuna uhitaji mkubwa Sana wa internet Je ? Nifanye ili niweze kufungua iyo biashara.. nahitaji njia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalamu, ni ipi hasa sababu ya serikali kuyanunua madini yenye uzito mkubwa/thamani kubwa, je labda kunayo madhara yoyote endapo mchimbaji akiyapeleka sokoni mwenyewe badala ya kuiuzia...
2 Reactions
1 Replies
459 Views
Vitu gani muhimu kuzingatia Kwenye biashara ya turubai?.
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Wazoefu wa hii biashara ya vyombo vya nyumbani tunaomba mtupe madini kuhusiana na hii biashara, kuanzia mtaji, mahali bidhaa zinakopatikana kwa bei ya jumla, faida zake, changamoto za hii...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom