Jamani hawa watu kila siku wanajifanya wanajua trade za forex na kujifanya ndio wanafahamu zaidi.
Mwengine huyu hapa na tunasubiria kusikia nani kamfanya kuunguza account.
Hebu tujadili makato ya Bank maana ni makubwa, binafsi nakatwa zaidi ya 100,000 kila wiki kutokana na shughuli zangu.
Je serikali haioni sababu ya kuingilia hili swala?
Habari wana jamvi
Rafiki yangu ana kampuni Ina miezi kama 8 tangu ianzishwe, imeshafanya tenda kadhaa za serikali. Kutokana na kupata tenda zinazohitaji mtaji mkubwa na yeye hana mtaji ameamua...
Yaani mfanyabiashara akishaonja mafanikio ya kufikia hatua flani ni ngumu sana kukubali kushuka hasa pale anapofilisika ama biashara kwenda kombo.
Ni ngumu sana kumwambia aanze kuchoma mishkaki...
Nimesikia Serikali kwenye bajeti kuwa kodi imeondolewa/punguzwa kwenye kununua malori yenye friji ndani. Hii ni habari nzuri kwa upatikanaji wa fresh foods. Mtufanyie wepesi basi tupate dagaa...
Wakuu naomba kujua kama CRDB wana accept pesa za kutoka Forex, make kama nisha wahi kusikia kwamba hawa accept, Ila sina uhakika mwenye uhakika anisaidie.
Naulozwa kwa ajili ya Kudepose na Ku...
Hivi TRA mnapowafungia watu maduka na offisi zao , watapata wapi pesa za kulipa hizo kodi za serekali?
Maana nimepita juzi na Jana mitaa ya Buguruni nimekuta frem kibao karibia mtaa wote kule...
DSE watangaza certification yao itakayoanza mwezi ujao. Baada ya kuangalia content nimeona walimu watakaofundisha ni kutoka watu wenye experience kutoka vitengo vya Treasury - Bank, UTT Amis watu...
Kuna muda nimejaribu kufikiri kwa upana juu wahitimu wengi wa vyuo vikuu especially wale ambao wanatoka form six yani hawajawahi kuingia mtaani kujua changamoto ya utafutaji, Wanapomaliza chuo...
Uwekezaji nikiimanisha (investment ) ni jambo la busara kwa kila mtu sababu linatengeneza Passive income. Tukija kwenye masuala ya Hisa ama Stocks wale wanaoinvest kwa mfumo wa kupata Dividend na...
Threshold ya kuwasilisha Beneficial Ownership information Brela ni kuanzia shareholder mwenye 5% na mwisho ni 30/06/2022 mda ukipita faini itakuwa 100,000/= na 10,000/= kwa kila siku iliyoongezeka...
Nimekuja tena kwenu wana jamvi naomba msaada wa kujua zipi ni faida za kusafirisha mzigo kama full container au Loose cargo kutoka China au Nchi za Wenzetu.
Moja kuhusu gharama za usafirishaji...
Naomba wataalamu nisaidie mawazo kijana wenu njinsi ya kubolesha hii nimeisha usajiĺi Brela.pia kama naweza pata watu kusimamia na kumeneji karibu tusaidiane.
Ni shida ya vijana wengi wa Taifa langu pendwa la [emoji1241] kwani watu tunasoma hadi elimu ya juu lakin bahati mbaya hatujui tunaenda soma nini baada ya kuhitimu sana sana kwa masomo mageni kama...
Habari Wana Jamvi! Hongereni kwa Sherehe za mwisho wa mwaka na mwanzo wa mwaka ujao!
Mimi ni mmoja wa wale wanaopenda kujua fursa kutoka maeneo mabalimbali ili kuimarisha mawazo fikra za...
Habari wana JF
Naomba Ushauri, Mimi ni Muhanga wa Kutokukaa na Pesa,ama nikipata pesa zinaisha bila kufanya kitu cha maana au kitu cha kuonekana.
Nimejitahidi saana Kuweka bajeti ya Mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.