Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Hi, nahitaji kuwasiliana na mtu wa ndani wa TANESCO, nina project/innovation nataka kushirikiana nao. Najua JF ni kubwa na nitaweza kuunganishwa nae. Naogopa VISHOKA wanaoweza kuiba idea yangu...
0 Reactions
3 Replies
422 Views
Aisee kama wewe ni msafiri kati ya JNIA (Dar) na ama Kilimanjaro (KIA) au Mwanza (Kwa Mbeya PW ameshachemsha na haendi tena). Utakuwa ume-note jinsi hawa Precision (PW) wanavyopelekwa mputa mputa...
10 Reactions
83 Replies
17K Views
Habari zenu na poleni na majukumu wadau wa hili jukwaa,me naomba mawazo yenu juu ya hii biashara kuna jamaa zangu wapo nje (dubai na china) sasa wamenishauri niwe nashirikiana nao wawe wananitumia...
3 Reactions
53 Replies
28K Views
Wakuu za muda huu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, je inawezekana? NATANGULIZA SHUKRANI WENU MstahikiMeya
0 Reactions
29 Replies
17K Views
Naombeni kama kuna mtu alieko South Africa kuna kitu nahitaji huko cha Tsh 1,000,000 ila kutokana na kutoaminiana naomba alipie kabisa anitumie nikikipata nitamlipa na Faida juu. Kama unaweza...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Habari za weekend wana jr, I hope mpo poa. Wajuzi wa haya mambo naombeni msaada wenu, ni wapi naweza change Bahrain Dinar to Tanzanian Shillings? Nimejaribu kwenda bank zetu za humu ndani lakini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wana JamiiForums Mimi ni kijana ninae hitaji kufungua kampuni ya upimaji viwanja. Kitaaluma Mimi nimesomea ualimu na nimehitmu mwaka huu (2018). Hivyo sina ujuzi wala uzoefu na kazi hii...
4 Reactions
2 Replies
3K Views
Juzi kati apa nilipata wazo zuri sana kwenye hii industry ya malipo ya mtandaoni. Na ningependa kujua ni sheria gani natakiwa kupitia au natakiwa niwe na kitu gani ili niweze kuanzisha mfumo huo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa Mimi ni mjasiliamali nipo moro nauza viazi rejareja nilikua naomba Kwa wafanya biashara wakubwa wanaopeleka dar viazi niweze kupata mawasiliano nao wanipitishie hata gunia tano hapa Moro...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Here is how
0 Reactions
2 Replies
920 Views
habari za usiku na swali naomba wanauchumi na forex trades munijibu. Hivi, supply na demand , ni quantity of goods or services au ni number of people? mfano, mama lishe akipika chakula say wali...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Haya mambo sidhani kama yanafundishwa darasani. Hii ni street knowledge, real life situations ambazo zinatufunza mengi. Sasa kuna matukio mawili hapa ya kibiashara, naomba mwenye jibu la mojawapo...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Naam naam kwanza kabisa nawashukuru wote kwa mawazo yenu chanya nnayotarajia kutoka kwenu....I appreciate[emoji120] Moja kwa moja nimekua nikipambana kwa namna ya kujikwamua kutoka kwenye hili...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Asalamu alykum mandugu, Mimi ni machinga nilikuwa nauza mchele Moshi, barabara ya manyema, lakin baada ya hili jambo wa kufukuzwa mambo yameenda vibaya na biashara ikaharibika kabisa, nimeamua...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Hp Specifications Ram gb4 Intel Core i3 Hard disk 500gb Processor 2.4ghz Up to to 4 hour battery use With its original charger Price 450,000 Contacts: 0717749560 FOR SERIOUS BUYERS ONLY!
0 Reactions
5 Replies
547 Views
FURSA FURSA FURSA Twitter follow Hii ni platform ambayo imeanzishwa kitambo kwa lengo lakukuza au kutangaza account na bidhaa za watu mbali mbali twitter Task za twitter follow ni ku like...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Closed
Habari wana jamvi Nilikua nadaiwa songesha na mpawa nimevunja laini sababu wamekua wasumbufu hasa mpawa na nipige tafu nilikua nadaiwa 8230 Je kuna njia nyingine watayotumia kunikamata...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom