Je unataka kuwa kama MO ??
Fuata hatua hizi 7 utafika alipo MO..
1. Chagua wazo bora la kibiashara.
Wazo bora la kibiashara ndilo litakalo kufanya kuwa mfanyabiashara mkubwa. Mara nyingi...
Habari,
Iko hivi: Nina gari yangu Toyota Wish ambayo nimekuwa nikiitumia katika biashara ya Taxi mtandao( Uber,Bolt,Ping,Tantaxi,Little ride).
Nilipata changamoto ya ghafla ya kifamilia na...
Maisha ya zamani yalikuwa mazuri kwa sababu kila kitu kilikuwa na thamani.
Ila tokea simu janja kuwepo naona imebeba vitu vingi mpaka sasa na inapoelekea itaimaliza laptop kwa kazi nyingi.
Habari wana economics?
Kuna ishu moja nataka ku share na nyie kwa mtakaoona inafaa mnaweza fanyia kazi.
Nimetonywa na mdau wangu alieko kitengo flani cha Polisi huku DSM, kwamba wanakaribia...
Habari wakuu, nina ndoto za kufungua kampuni ambayo itakuwa ina deal na Mambo mengi, naomba kujua vitu vya muhimu ambavyo natakiwa kuviandaa au kujiandaa navyo.
Nawasalimu kwa lugha moja ndugu zangu.
Katika pilika za kusaka maisha nimefungua biashara yangu ndogo duka la mangi Ila changamoto inayonisumbua ni Hawa wakaguzi wa vileo mtaani.
Naombeni msaada...
Wadau Naomba Ufafanuzi wa Kitalaamu juu ya Bati zinazotengenezwa na Kiwanda cha ALAF.
BATI zinazotengenezwa na Kiwanda hicho BEI yake imekuwa Kubwa sana Kuliko Viwanda Vingine vya MABATI. Je
Ni...
Habari za leo wanaJF
Mimi swali langu la leo nalielekeza kwenye sector ya mikopo midogo midogo maarufu kama microfinance.
1. Je kwa Tanzania tuna aina gani za microfinance institutions? N
2. Ni...
Habari ndugu zangu, naomba kwa yeyote mwenye kujua chimbo/sehemu panapouzwa vifaa/spare za pikipiki za mchina Kama SAN LG, HAOUJUE NA SINORAY kwa bei ya jumla na bei rafiki tafadhari naomba...
Hesabu hazidanganyi..
Mwaka 2011 bei ya Bitcoin ilikua around 1usd per coin. Sasa tuchukulie nchi ya Tz ingetoa walau 200mil na kununua bitcoin (badala ya kumnunulia DED au DC v8 la kutembelea)...
Kumekua na malalamiko mengi kuhusu huduma mbaya kwa wateja hasa kutoka kwa mashirika ya Umma, na leo nimekutana na hili, ninafikiri kushare hizi experience na kama wahusika wanaona basi iwasadie...
Kwa wale ambao wanahitaji mikopo au wanaofanya shughuli zao kwa kutegemea facilities za Mabenki kwa kweli hili jipu linahitajika kuangaliwa upya.
Kwa hapa nchini ukiangalia Prime Lending Rates...
Katika ulimwengu wa biashara, ni kazi ngumu kuifanya biashara idumu na kukua kuliko kuianzisha hata kama ulianzisha kwa mabilioni ya pesa. Biashara nyingi huanzishwa kila siku na biashara nyingi...
Wadau naomba Msaada wa Ushauri juu ya Biashara ya MPESA
1. Mtaji kwa kila Mtandao
2. Bidhaa za kuchanganya na Mpesa
3. Faida na Hasara
4. Changamoto zake
Habari ndugu zanguni, naombeni msaaada wa kiufahamu hivi ikiwa unataka kuhamisha biashara yako kutoka mtaa mmoja kwenda mtaa mwingine lakini biashara ni ileile na ni ndani ya wilaya na mkoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.