Nakumbuka ilikua 2017 Mida ya jioni nipo na laptop yng naperuzi mtandaoni kumtafuta njia ya kuningixia pesa bila ya mimi kuwa na mizunguko miingi, katika kuperuzi hapa na pale first time nikaona...
Huenda unatamani kununua nfts lkn bado hujajua uanzie wapi kufanya utafiti wako,hujui uzingatie nini kwanza ili usije kupoteza pesa yako kwa kununua project mbovu ya Nft.Basi kama hilo ndo tatizo...
Nilikwenda soko la Ferry kununua samaki. Niliona wavuvi wanauza dagaa kwa ndoo. Wazo nililolipata ni kwenda Ferry asubuhi na jiko la mkaa na kopo moja tu la mkaa ndani. Chupa ya mafuta na...
FREE APP.
Introduction
The App will be both android and IOS, that will be 100% free (if possible, embedded in specific brand of phone's manufacturer). The app can work even if there's no sim...
Habarini wakuu na poleni kwa majukumu ya kazi.
Kijana wenu niliingia shambani na kuzalisha mbegu za mchicha mweupe superlishe ila changamoto imekuja kwenye soko la bidhaa hii toka soko kuu la...
Wakuu,
Nimetembelea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Airport kwakweli ni mzuri mno na unavutia sana sana hususani Terminal 3.
Ujenzi wake umebadilisha kabisa muonekano wa uwanja...
Habari wadau!
Wiki iliyopita nilikuwa natazama taarifa ya habari. Na miongoni mwa habari ilikuwa ni ya uzinduzi wa huduma za posta nadhani dodoma.
Mojawapo ya uzinduzi ilikuwa ni pamoja na...
Huwa nasikitika sana ninapotoa ushauri kwa watu wenye mitaji mikononi,hasa wale wanaotoa na kuandika thread kuwa wana kiasi "flani cha pesa" Je wafanyie nini?
Ukweli ni kwamba kila mtu hapo alipo...
Pato la Taifa ni GNI/GNP au GDP? "Nominal" - itakuwa kinaganaga?
Ufafanuzi kwa Kiingereza:
GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI): total domestic and foreign output...
Mzoefu na hii biashara jamani nataka nianze,nipo location ambayo nahisi naweza kuanzisha;
1.Yanapatikana wapi kwa bei ya Jumla hapa Mwz au Dar.
2.Bei gani yanauzwa?
3.Utaratibu wa kukodisha upoje...
Wakubwa zangu nina wazo la kuanzisha kiwanda kidogo cha unga wa sembe ila kitu ambacho mpaka sasa kinanipa changamoto ni juu ya hawa watu TBS na TFDA.
Je, naweza fanya uzalishaji bila kibali toka...
Wakuu habari, hivi kibanda cha chips ukitaka kukifungua kama unayo leseni ya biashara kuna haja ya kupata kibali TFDA au hiyo leseni na TIN niliyonayo inatosha?
Naomba kuwasilisha na ningeomba...
Hapa nchini tuna taasisi nyingi sana lakini hazifanyi kazi yake ipasavyo,wahusika wanakula viyoyozi tu maofisini na kutumia kodi zetu vibaya lakini hakuna wanachokifanya.
Mwezi uliopita kwenye...
Ndugu zangu humu ndani!
Mimi ni mvuja jasho mwenzenu, nipo Mtwara Masasi, namiliki Hiace mbili ambazo kwakweli naona biashara imedorora kabisa.
Kuna wakati biashara haikuwa mbaya sana, Ila...
Waungwana naombeni michago yenu nipo kwenye njia sahihi au watu hawataki hivi vyakula tena maana nina mpango wa kufungua mgahawa mdogo na kupika vyakula vya asili peke ake
Sent from my SM-J500F...
Napatikana njiro 88 pick n pay
Room no 8
Arusha
Nauza nguo za mtumba za Watu wazima
Suruali za ofisi 10000
Ukipata kuanzia 5 bei8000
Magauni 10000
Skirt 10000
0762 998333
Habari ndugu zangu,
Mimi nataka kuanza kuwekeza pesa zangu za ziada lakini sijui nihifadhi wapi ambako nitajitengezea angalau faida ya asilimia 10 kwa mwaka!
Naomba msaada kwa anayejua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.