Hii sentensi ilikuwa inatumika sana enzi fulani.
Lakini kwa hali inavyokwenda katika Taifa letu, Kuna watu wachache wananufaika na wengi wanahangaika.
Wafanyakazi wa public sekta wamebaki...
Habari zenu wakuu,
Nilikuwa naulizia kama kuna kituo au stend ya basi linalokuja Mbeya hapo kariakoo ili iwe rahisi kutuma bidhaa kwenda Mbeya.
Mizigo ni kava za simu
HABARI WANA JAMVI
Nahitaji Ushauri, natamani nianzishe biashara ya Jumla kuuza kitu cha aina moja,mbili au tatu tu,sasa ninajaribu kuangalia kati ya Cement, Mafuta ya kupikia au Sukari; etc...
Dar ni sehemu ninayowambia watu wengi sana kuwa kama atashindwa kutafuta maisha eneo hili basi ana safari ndefu sana ya kufanikiwa, ni sehemu ambayo biashara nyingi zinakubali na zinakutoa kwa...
Sema kweli biashara ni vita kamili sema watu wengi wanadhani biashara ni fair play na matokeo yake wanapigwa na kitu kizito kichwani!
Huu ni uzi maalumu kushare ni mbinu gani unatumia ili...
Habari za wakati huu wadau;
Changamoto:
Leo naona niwashirikishe watu FURSA kidogo.Fursa hii sio mpya ila ni ya kipekee.Tunajua kwamba siku hizi mtandaoni kuna mambo mengi sana ambayo mtu anaweza...
Habari wajasiriamali wenzangu,naomba msaada tafadhali kwa hivi vifungashio hapo chini kama nitaondoa hizo label na kuunda yangu na kubandika,ni bidhaa gani haswa naweza kufungasha na nikauza na...
Habari wanandugu wa jamii forum
Leo nimeona niwakilishe biashara nayoifanya baada ya kutoka chuoni na kukosa kazi mtaani, niseme tu mapame hii sio (quick scheme) ya kuwa tajiri mapema,ama kuwa na...
Habari ya leo wakuu, poleni na mihangaiko ya kila siku,leo nna vitu 7 natamani kuwashirikisha vijana wenzangu wanao hitaji kujikwamua katika hari ya maisha duni tuliyo nayo.
katika mambo haya...
Samahani wanaJf nilikua nahitaji compressor yakupasulia kokoto model XAS 96
Kama kunamtu anajua sehemu naweza kupata msaada please
Specifications zipo apa kwenye attachment
Habari wanajamii
Naomba kujuzwa bei ya kioo cha android screen lcd inch 10, kwn inaonekana kama touch imekufa. Hii ni kutokana na kutofanya chochote ukikigusa, ila ukitumia mouse, ipo vema.
Naomba...
kama mnavofahamu hawa watu na vikundi vingine mwanazoni viliingia mijini kama dar na baada ya kushtukiwa naona wameamua kujikita mkoani kwa wasio na uelewa.
Hiki kikundi kinaingiza vijana kwa...
Hii kampuni ilianza vizuri hasa safari za Dom-Dar-Dom....wakawa na huduma nzuri sana....wakapata wateja wengi ambao walihama kutoka makampuni mengine makongwe kama Shabiby, ABC etc..kila kitu...
Kampuni ya META inayomiliki whatsapp, facebook pamoja na Instagram, inatarajiwa kuanzisha duka lake la kwanza kabisa ambapo watauza bidhaa zao halisi mbali mbali. Bidhaa kama quest 2, meta portal...
Habari wakuu
Kama title inavyoeleza hapo juu, nilikuwa nafanya biashara ya duka la vyakula ambapo mtaji wangu ulikuwa milioni 50.
Sasa nimefilisika mpaka kufikia mtaji kubaki milioni 15. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.