Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Salamu Wakuu, poleni na kazi na majukumu ya kila siku. Napenda kufahamu umuhimu wa Kulipa au kununua kitu chochote kwa kutumia namba ya biashara yaani TIN NUMBER. Asanteni.
1 Reactions
14 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
761 Views
Ni wazi kabisa kupanda kwa bei ya mafuta ni makampuni yanayoagiza mafuta yameamua kupandisha bei wala suala hili halihusiani na vita vya Ukraine ni muhimu kwa serikali kuangalia huu mfumo wa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari. Mimi nina mpango wa kuhamia Iringa. Ni jinsi ya kiume. Natamani sana kufahamiana na wenyeji, mtu mchakarikaji na mwenye maono na mwenye hofu ya Mungu. Sijali jinsi wala dini. Yoyote...
1 Reactions
4 Replies
608 Views
Wana jukwaa, Naomba maelezo ya namna ya kuwa wakala wa M-PESA pamoja na uuzaji wa luku. Ikiwezekana kama kuna mtu anayehusika moja kwa moja naomba kumuona. Nipo Dar es Salaam Nilipata kuulizia...
49 Reactions
1K Replies
339K Views
Tajiri namba moja Duniani kwa paper assets,mmarekani na mzaliwa wa South Africa bwana Elon Musk ameelezea matamanio yake ya kuinunua kampuni kongwe ya kutengeneza vinywaji baridi ya coca cola...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Waungwana wenye uzoefu naomba msaada wa kupata meza ya biashara tandika Kwa yeyote anaeweza kunisaidia please ela ya soda ipo
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Dah jamani hii vita ya ukraine imetukalia vibaya sisi tu au hawa jirani zetu wao wanachimba mafuta? si wanapitisha mafuta hapahapa bandarini kwetu jamani? Tunaongelea vita lakini hawa jamaa wa...
10 Reactions
155 Replies
10K Views
Mambo vipi wana JF hope wote mko poa, ebwanaa najua katika maisha ukipata kuelewa kitu na unapo fundisha wenzako ndio unazidi kupata uelewa mkubwa zaidi na zaidi. Sasa mimi ni kijana nina miaka...
7 Reactions
36 Replies
6K Views
Ni wachache wanaweza kuelewa kuhusu kupanda na kushuka kwa kwenye mifumo hii niliyo taja kwenye kichwa cha habari. Kuna hatari ya watu kushuka kiuchumi na wengine kupanda haraka. Kazi kwenu...
0 Reactions
9 Replies
787 Views
Ubadilishanaji mkubwa wa kifedha unaokua kwa kasi zaidi ulimwenguni hauna ofisi kuu au anwani rasmi, hauna leseni katika nchi ambako hufanya kazi na ina mtendaji mkuu ambaye hadi hivi majuzi...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiwa na uthubutu wa kuanzisha vibiashara vidogo vidogo tangu nimalize chuo na kukosa ajira. Natamani nifanye kabiashara hata ka mtaji mdogo sana lakini sijui akili yangu ,imefocus...
2 Reactions
0 Replies
586 Views
Habari wakuu! Kuendesha biashara inahitaji akili nyingi sana, huu uzi ni maalum kwa watu ambao wamewahi kuanzisha biashara na zikafanikiwa. Katika biashara kuna mtaji (Fungu la pesa la...
8 Reactions
117 Replies
21K Views
Bei za Cryptocurrency zimeshuka katika miezi ya hivi karibuni, na Bitcoin (BTC) ikipoteza zaidi ya 35% tangu tarehe 11 November 2021. Licha ya kushuka kwa kasi kwa wiki hii, Bitcoin bado iko juu...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Solana ni smart contract blockchain ambayo inatumia Proof of Stake(POS) mechanism kama zilivyo etherium na Cardano. Isipokuwa Solana imeongezewa mechanism/protocal nyingine ambayo inaitwa Proof...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu, naomba michango yenu biashara ya kukodisha Coaster ikoje kwa wenye experience.Naomba kujua namna ya nzuri ya kuendesha Hii biashara
2 Reactions
16 Replies
5K Views
Bitcoin ni fedha ya kidigitali ambayo huondoa uhitaji wa waamuzi na wasimamizi wa fedha kama benki na serikali na badala yake kutumia mtandao wa kompyuta zenye uwezo wa kuthibisha manunuzi moja...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Heeeeee ya kweli haya wandugu? naona logo ya Metl kama kweli basi kila la heri, i like it, nitazinywa sana
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Back
Top Bottom