Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Matapeli au wezi ni watu wenye akili sana kwenye kazi yao mimi nakumbuka kwenye miaka 90 hivi nilienda kko kununua nguo sikukuu basi nikakuta suruali nzuri ya kitambaa jamaa kaishika anauza...
9 Reactions
7 Replies
1K Views
Biashara ya kuwa wakala huwa mara nyingi kama sio zote ni biashara za muda sana na sio sustainable. Make Ili uendelelee kuwepo kunahitaji mwenye mali aendelee kuwepo. Chukulia mfano ulikuwa...
8 Reactions
19 Replies
6K Views
Nahitaji Kahawa Tani 200. Lakini nachukua kuanzia kilo 100. Pia Tuwasiliane 0766186785 0788408141.
1 Reactions
1 Replies
453 Views
Je, nitapataje shilingi milioni 100 kwa ajili ya kukuza biashara ambayo tayari nimeshaianzisha? Kila kitu kipo mahali pake ikiwa pamoja na kuwa na taarifa za soko na tayari nimeshapata mikataba ya...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Entrepreneurship is not easy and knowledge can be a decisive factor whether you fail or succeed. Find below a list of books which would provide immense value for all existing and aspiring...
4 Reactions
47 Replies
13K Views
Wadau kwema kuna fursa imetoka DCB bank wanatoa account ya fixed yenye riba hadi 14% kiwango cha riba kinatofautiana kutokana na kiwango cha uwekezaji wako Uzuri faida yake unachagua upewe kwa...
3 Reactions
161 Replies
17K Views
Habarini Wana jukwaa Nahitaji investor serious awe na uelewa hata kidogo wa masuala ya online volatility index trading. Kiwango cha chini cha investor huyu kianzie Million 5. Nafanyia kazi mahala...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Toka mwezi agosti mimi nalipa kifurushi cha bomba lakini napata chaneli za Compact plus kwa mwezi wa tatu mtawalia. Sijawahi kufanya magumashi yoyote yale kwebye king'amuzi hiki, yaani mpaka...
6 Reactions
35 Replies
5K Views
"Tanzania and Uganda Currencies are the best performing media of exchange in East Africa against dollar." Wataalam wa fedha,tufafanulieni watanzania,tusio wataalamu wa fedha.Ili tuzidi...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Kwa vijana wa Dar wanajua balaa la Tips ikifika ijumaa. Ni nyomi la kufa mtu plus pisi za hatari. Sasa jana kwa mara ya pili naenda Tips saa 6 usiku nakuta papo kimya pametulia. Hata parking...
11 Reactions
93 Replies
19K Views
Habari humu JF Leo nimeona nije na Changamoto ni jinsi gani mtu aweze kufanya biashara bila kuathiri Ajira yake. Kwani sasa Ajira nyingi zimekuwa zikichukua muda wote katika siku week na hata...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Huu ni uhujumu uchumi, SUMATRA na TRA chunguzeni. Kuna vituo vya mafuta ya petrol na diesel hapa Morogoro wameacha kutoa receipts ili kuikosesha serikali mapato. Chunguzen sitovitaja vituo husika...
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Kwa mahitaji ya vitabu Karibu ofisini kwetu Kariakoo. 4More contact +255784977883 +255756017036
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau mungu awe nanyi naombeni ushauri nifanye biashara gani ya kupiga pesa ya chap chap kipindi hiki cha likizo kwa mtaji wa laki 7 maeneo nilipo ni mbagala dsm Mungu awabariki...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna hii kauli ya Mteja ni Mfalme ni moja ya kauli mbaya na ya dharau kwa wafanyabiashara, ni kauli ambayo siiipendi kuisikia hata kuona mtu anaitamka mbele ya macho yangu. Pesa ni roho...
17 Reactions
25 Replies
3K Views
Wkuu kama kichwa cha habari hapo juu MwezI ujao nataka nizamie Katoro baada ya kujichanga changa na kupata mtaji wa m1.5 ,sasa nauliza mimi kama kijana 22 yrs, nataka nianze kujitegemea na kuacha...
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Wakuu! Habari ya majukumu. Naomba msaada wa kampuni ya usafirishaji kwenda Pakistan, gharama kwa mzigo wa nusu kilo, iwe kwa ndege au meli. Mzigo ni iliki. Natuma sample nusu kilo, akiipenda...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wakuu,ni matumain yangu mpo poa,naomba kujua kama kuna mashine za kupaka rangi kucha na bei zake zipoje,karibuni kwa msaada
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba kuelezwa kwa mwenye uzoefu na hiyo miji miwili. Ni mji upi unafaa zaidi kwa biashara ya saloon ya kike classic flani hivi? Je, bei za fremu mjini kati ni sh ngapi? Aina za wakazi wa mji...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Hi to everyone, and hope you're doin fine. Nimefikiria kuwa na mradi wa uoshaji magari sambamba na huduma ndogondogo nyingine kama pressure n.k badala ya kutojishughulisha kabisa. Ni mradi mdogo...
5 Reactions
298 Replies
132K Views
Back
Top Bottom