Wakati mwingine tumekuwa tukijiuliza kwanini bank inapata faida kubwa kuliko sisi?
Je ni mbinu gani bank wanazotumia kupata faida kubwa?
Uhalisia ni kwamba hakuna mbinu kubwa, mafanikio yao...
Huwa nikiwaza wahindi nafikiria ni kweli Biashara bila uchawi haiendi kabisa, Wahindi ni watalamu wa Management na pia wana spirt ya biashara. Lakini lipo kuja swala la Uchawi kwenye biashara...
Biashara ya kununua na kuuza screpa Wewe unakaa tu oficini vijana wanakuletea machuma chuma unawapa hela yakijaa unapeleka kiwandani na wewe unapewa hela mwenye uzoefu na hii biashara...
Kuna comment moja aliitoa mdau wa humu jf, alisema huwez kuwa tajiri bila kufilisika, akimaanisha kuwa kwenye harakati za utaftaji, huwez fikia mafanikio ya kifedha, bila kupitia kipindi cha...
Nawatakia wakati mwema waheshimiwa.
nimeweza kusikia kwa baadhi ya watu ambao pia sio matajiri kwamba mbinu za kuwa tajiri ni nyingi lakini baadhi ukizingatia utajiri hautachelewa kwako.
kuwahi...
Siku moja nikiwa Kariakoo niliona jambo la kustaajabisha sana. Nilikuta kundi la boda boda wana miili mikubwa kushinda hata ukubwa wa TVS walikuwa nazo ndipo nikajiulizw why wana miili mikubwa...
Pindi kampuni inapopoteza nguvu ya kiushindani, faida pia hushuka (profitability falls) japo si lazima Kampuni kufa. Kuna sababu nyingi zimekuwa zikielezwa kama chanzo kwa kampuni kupoteza...
Katika biashara ni kawaida kukutana na wateja wa aina tofauti tofauti na wateja wote kama tujuavyo ni muhimu na hutakiwi kumpa huduma yako mteja vibaya hadi ajisikie kwamba hataweza tena kuja...
Tanzania bado tuna safari ndefu sana ya kutofautisha biashara za ushindani na biashara za vita.
Biashara za ushindani ndio ideology kubwa inayopelekea nchi nyingi zilizoendelea kwa kasi. Asilimia...
Wakuu habari za leo..
Nadhani wote mu wazima wa afya na mnaendelea na mitikasi ya maisha
Mimi ni kijana wa miaka 20 ambaye Nina ndoto za kufika mbali..mwaka Jana baada ya shule nilijiweka mtaan...
Wadau wangu wa jamii forum Naomba kujua wapo naweza pata materials ya t-shirts printing (kutumia screen printing)..
Itapendeza nkipata mbeya mwanza na dar
Kichwaen tajwa hapo juu chajieleza ninauza nyaya kwa bei pouwa kabisa. Kuanzia Tani Moja
Kwa mawasiliano tuwasuliane kwa namba 0626446047
Pia kama unauhitaji na makontena ya futu nne na sita...
Na Mr. Purpose.
Nimekuwa nikifanya online business kuanzia mwaka 2018, ambapo nakumbuka nilikuwa nafanya application za vyuo, mkopo na usajili wa makampuni kupitia BRELA.
Huduma hizo nilianza...
Wakuu mimi ni kijana ambaye kwa sasa nataka kuingia mtaani na kuanza kujiajiri na nimefikiria kuhusu biashara ya viatu vya mtumba na mzigo nimepanga niwe nachukulia MBEYA naombeni kujua kwa wote...
Habar wana jf,
Naombeni muongozo kwa mwenye uwelewa wa mazingira ya Mwanza anipe mwanga ni wap naweza pata viatu vya mtumb (raba) kwa ajili ya biashara.
Ningependa ufaham n wapi na lin naweza...
Hapa majuzi nilirudi Tanzania (huwa nakaa Nairobi Utawala) nilienda Arusha pamoja Singida, sasa nilivyofika sehemu hizo nikawa natafuta maziwa fresh madukani, nilizunguka sana hadi kuyapata na...
Kwa wale waliosoma issue za uchumi wajaribu kunielewesha ni kipi kitatokea endapo taasisi tajwa hapo juu zitafilisika ghafla
Je, ni kipi tufanye sisi raia wa kawaida kujiandaa na matokeo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.