Kama wewe ni mjasiriamali unayetafuta wateja kupitia mtandao wa Facebook na Instagram lakini unahangaika basi inawezekana unafanya makosa yafuatayo:
Unatangaza bidhaa / huduma unazotoa: Mitandao...
Wakuu habari?
Nina hili wazo la kufungua youtube channel ambayo content yake itakuwa mambo ya ujenzi lakini kabla ya kulitekeleza, naomba nipate mawazo yenu yatakayonisaidia nisipate hasara.
Timu...
Wajumbe kwa wale walioko dar es salaam naomba tujuzane microfinance yenye riba nafuu,na masharti yenye kuvumilika,Asante
N:b ukiweka na mawasiliano itakuwa vizuri zaidi,asante
Habari za majukumu wa JF,
Naomba msaada nataka kujua kuhusu huduma hii ya kufanya miamala ya bank na M-Pesa.
Hivi naweza kuamisha mpesa niliosajili mkoa wa mwanza kwenda kufanya kazi mkoa wa...
Habari,
Naomba kuuliza kuhusu swala la “BENEFICIAL OWNER” kama kampuni imefunguliwa na kila shareholder yupo kwenye memart na Director wote wako stated, kuna haja yoyote ya kufuata izi procedure...
Mwaka ndio unaelekea mwisho, na ni wakati wa kufanya majumuisho. Kuna mengi ya kuangalia, lakini kwa leo tuangalie mifumo.
KWA WATUMIAJI WA MIFUMO
1. Umetumia mfumo gani 2021?
2. Experience yako...
Ndugu wanabodi,
Heshima sana kwenu. Naomba nijielekeze kwenye mada mohja kwa moja. Tangu niifahamu sekta ya fedha niliiona CRDB kama moja ya benki zenye kasi, ubunifu na hata umakini kiutendaji...
wadau mimi ni hybrid customer wa mtandao fulani hapa nchini, kila mwezi napokea Gb 5 na 900 min. matumizi yangu mtandaoni na kupiga ni machache hivyo kila mwezi zinajikusanya, naomba mawazo namna...
Hayati JPM aliamini kuwa cha kwetu ni cha kwetu na inatubidi kuwa na uzalishaji wa kwetu na ndio maana mambo mengi yalifanyika ndani ya nchi kwa mafanikio makubwa pia. Mhe rais Samia Suluhu Hassan...
Dhana/mbinu ya uthibiti wa ubora katika biashara yaani "Total Quality Management" (TQM) kwa mara ya kwanza ilianza kutumika miaka ya 1980 na kampuni za Kijapani, baadae mwanzoni mwa miaka ya 1990...
1 Chipsi. Mtaji ni mdogo hapa unaeza anza na ndoo moja ya viazi, mafuta lita 2 vyombo vya kupikia na vyombo vya kuuzia bila kisahau genge ama banda la kupikia na kuuzia.
2 Sambusa. Mapishi ya...
Habari wanajf
Nataka kufanya biashara ya kuuza soda Kwa jumla vile kama deport Zinaitwa
Sasa shida yangu ni kupata namba ya mhusika ambae moja Kwa moja atanisaidia mambo yote muhimu
Ningependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.