Katika maisha Yangu Nina ndoto ya kutoa huduma... Hasa huduma ya usafiri!
So katika maisha Yangu napenda biashara zenye uhitaji wa lazima kwa watu..
Sasa kutokana na umasikini hasa katika...
Kujitathmini umefanya nini ndani ya mwaka husika na miaka iliyopita kutakusaidia kujua hali ya maendeleo yako.
Mimi mwaka huu nilijiona kama sijafanya chochote vile , Lakini nikasema ngoja...
Kuna jamaa yangu anahitaji malori ya tani 30 kwa akili ya kuchukua korosho masasi kuzileta kurasini.
Bei ni 70,000 kwa tani.
Malipo ni 50% wakati unaenda kupakia na iliyobaki mtalipana mzigo...
Offer OFFER offer.
Kwa mara nyingine jipatie raba Kali kwa shilingi elfu kumi na mbili. Ukinunua kuanzia 2 inakua 10000.
Nipo kariakoo karibu na shule ya jangwani. Nicheki 0620239355
Kufanya biashara kila mtu anaweza ila shida inakuja kwenye kudumu katika biashara mtu anayofanya na si tu kudumu ila kufanikiwa katika biashara aliyodumu akiifanya.
Watu wengi ni wafanyabiashara...
Kama wewe umeshawahi kutafuta gari za mkononi hasa kwenye mitandao ya kijamii utakuta kuna gari zimefichwa namba, zipo sokoni, Ma-Agent/ Dealer/ Madalali na wauza magari kadhaa wamekua wanaziba...
Habari wana jamvi naomba kuuliza hizi barafu au ice cream za maziwa zinaweza kukupa faida kweli kama utauza kwa mia mia?? Naomba mchanganuo wake wa mahitaji gharama zake na idadi ya barafu...
Habarini za mchana ndugu zangu Wana jamvi.
Ninaomba msaada wa kupata uzoefu na mahitaji yanayo takiwa katika kuanzishia biashara ya Ice cream zenye ubora kwa mtaji wa TSH milioni 4.
Nilipo nipo...
Habari zenu wanajamii.
Katika maisha Kuna kipindi mtu unakutwa na changamoto za kifedha mpaka unaamuua kuuza asset zako Kama njia ya kujikwamua.
Shida huwa sio kuuza au kuamua kuuza shida huwa Ni...
Habari za muda huu wanajamvi wenzangu
Kama uzi unavyojielezea, kuna watu wengi wanatamani kumiliki mjengo mjini lakini hawajui waanzie wapi, wapitie wapi, wafanye nini, watiririke vipi hatua kwa...
Habari wadau wa JF
Nataka kuanzisha biashara ya mtaji usiozidi laki tano lakini nahitaji zile biashara za kwenda sehemu(zinakopatikana kwa wingi na nafuu) kujumua mzigo kisha kuuza kwa jumla yani...
Halmashauri ya Wilaya ya Chato kwa hiki kinachoendelea sasa ni unyanyasaji wa wazi kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba. Hii kunyatia kulipora soko la Magarini kwa mazao ya Ziwani na kutaka soko...
Niliagiza mzigo kutoka U.S.A kupitia Fedex, leo nime track naambiwa mzigo umefika Dar es salaam, clearance instruction from importer are requred.
Nini natakiwa kufanya pia hizi instruction nampa...
Jambo ndugu zangu
Kuna jambo nataka kuuliza
Hivi mgeni akitaka kuwekeza TZ ni vitu gani anahitaji kuwa navyo ili kupata leseni ya biashara?
Na kufungua bank account?
Na namna gani ninaweza...
Kama wewe ni mjasiriamali unayehangaika kupata wateja kupitia matangazo yako basi formula hii ya AIDA itakupa mafanikio makubwa katika matangazo yako kuliko formula nyengine yoyote.
Lakini kabla...
Wadau habari, jamani nahitaji viatu kama hivi kwa ndani ya mkoa wa Arusha na vipi bei ikoje??
Ahsanteni
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.