Habarini
Katika harakati za kutafuta maisha nimepata wazo la kufanya biashara ya viazi ulaya dar, kwa sababu moja kuu dar kuna high demand ya viazi ulaya kwa mahitaji ya chips na kadhalika
Jf...
Wakuu nipo wilaya wa kilolo huku nafanyaga mishe za picha, wanasemaga safari 1 huzaa nyingine.
Nimeona fursa ya kuuza vifaa vidogovidogo vya Sola kama redio, tochi, betri za Simu chaja kobe, na...
Habari za wikiendi wakuu.
Bila Shaka yu wazima wa afya kabisa, labda tu nisiwachoshe, nimeamua kuandika Uzi huu maalumu Kwa ajiri ya kujifunza ujasiriamali.
Mafunzo hayo nitayatoa hapa hapa...
Hapa siongeleei siasa
Naongelea experience katka muhula huu nimeenda sector n taasisi za serikali karibia Zote
-Idara ya maj
-tanesco
- hosptal tena huku hal mbaya
-
Nilichokikuta aisee kuna...
Heshima kwenu wadau!
Leo napenda kuelezea kwa kina gharama na mambo muhimu kuhusu radio jamii. Natumaini nitajihidi kuelezea angalau kwa asilimia tisini hivi.
1. Radio Jamii (Community Radio)...
Biashara ya chakula ni moja ya biashara nzuri na yenye faida na inayoweza kukutoa from zero to hero ndani ya mwaka wako mmoja tu ukikomaa ipasavyo kazini kwako, lakini ili ikutoe kama inavyotoa...
👨💻 ( POWER OF SETTING SPECIFIC GOAL)
Bado tumejikta katika mada yetu ya hatua za mafanikio kipengele cha KUJIWEKEA MALENGO MAALUM.
Swali : Hivi kuna mahusiano gani kati ya malengo na...
Habari wana JF, matumaini yangu wote ni wazima na mnaendelea vyema na shughuli za ujenzi wa nchi na kujipatia kipato pia.
Kama kichwa kijielezavyo naomba msaada wenu kwa anaefahamu process za...
Poleni kwa majukumu wakuu.
Kiroho safi naomba niende kwenye kichwa cha habari ambapo ningependa kuuliza kwa ambaye ana takwimu sahihi kuhusu kiasi cha ndege zinazotua uwanja wa Chato iwe per day...
Salaam wanaJamiiforums
Bila kuzunguka direct to the topic.
Ssa wadau baharia Fene nina kijishamba changu cha minazi ambacho nimegundua wenda nikiwa serious nacho wenda na mimi nikawa top pale...
Habari wakuu
Kwa lengo la kuongeza kipato. Nimekaa na kutafakari nikapata mawazo kwa matatu ya kuongeza kipato kutokana na kiasi kidogo cha pesa nilichonacho.
1: Nimewaza kununua pikipiki kwa...
Wasafi bet, ni Kampuni Iliyoundwa kwa makubaliano(Partnership)baina ya kampuni ya kubeti ya nchini Kenya inayoitwa Odibet,
Mliliki Wa Odibets ni Jimmy Kibaki (Mtoto Wa Raisi Wa Zamani Wa Kenya...
Huwa naskia tu mambo ya hati fungani huko serikalini kuwa kuna 15.6% unaweza ipata kwa kiwango ulichowekeza kila mwaka! Je, kuna ukweli wowote juu ya jambo hili maana hii serikali ya michongo...
Nahitaji Carina Ti ambayo
Ni namba C au D
Iwe haijawahi pata ajali
-Iwe haijawahi rudiwa rangi na haijawahi funguliwa box na Engine
Bajeti yangu ya kununua ni Mil 3
Wadau Habari za leo naomba leo niwaelezee namna uwekezaji kwenye dhahabu ambao kidogo hauna risk kubwa kama unataka kuingja kwenye biashara ya dhahabu uwekezaji upande wa service huu mzuri sana...
Habarini wana Chuga.
Nafikiria kufungua Hardware ya vifaa vidogo vidogo vya ujenzi Arusha, sehemu ambayo ina mzunguko mkubwa wa watu iliyopo pembezoni mwa bara bara Arusha mjini.
Ningependa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.