Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wakuu, kichwa kinajieleza. Karibuni Tushirikishane list ya vijana matajiri Tz na chanzo cha utajiri wao?
0 Reactions
25 Replies
10K Views
Salama wakuu? Nimeamua kuacha kazi mwezi huu wa agosti 2021.(naomba nisiziweke kapuni sababu za kuacha kazi) Ninazirudia ndoto zangu za mafanikio kupitia businesses. Nilishasajili business firm...
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Wataalamu naombeni msaada. Kuna vifaa fulani vya michezo ya watoto nataka kuviagiza nje ya nchi. Kampuni iko South Africa wameniambia mzigo utatokea USA na utashushwa Bandari ya Dsm. Bei...
1 Reactions
5 Replies
984 Views
Habari wanajf, Nahitaji mtaalamu mwenye uelewa na uwezo wa kuandika business proposal kwenda kwenye kampuni au taasisi binafsi au serikali. Anicheki kuna kazi nahitaji tufanye kwa makubaliano...
0 Reactions
1 Replies
921 Views
Wakuu habari zenu? Naomba kwa wale wazoefu wa biashara ni vitu gani muhimu vinahitajika kwa mtu anaetaka kufungua biashara zifuatazo 1. Biashara ya genge lenye mvuto 2. Biashara ya mama lishe...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Inasemekana kwamba ili unase mfereji wa fedha lazima urisk moja au vyote ya vifuatavyo MUDA(TIME) UHAI(breath of life) MONEY Unapowekeza muda mfano kusoma shule, kujifunza skills...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Salaam wakuu! Nina zaidi ya wiki 5 sijapata mzigo wangu toka AliExpress na kwa Sasa sioni tena any added information and updates za maendeleo ya mzigo wangu toka tracking app. Na siwezi kufika...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari Mimi ni mtaalamu wa masuala ya I.T Nimefanikiwa kutengeneza mobile apps za food delivery kama ambavyo ilivyokuwa inafanya kazi jumiafood au ubereats Hapa kunakuwa na apps 3 ambazo ni...
7 Reactions
11 Replies
2K Views
Hali ya biashara sio nzuri kabisa...nimeona vitu hivi nikajifikiria sana 1.watu wengi sana wanafungua biashara then soon wanafunga,biashara nyingi zinaigwa 2. biashara ya daladala zimedoda...
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ukosefu wa ajira serikalini, taasisi mbali mbali, viwandani n.k imekuwa ndio chanzo cha vijana wengi mpaka wazee kukimbilia kwenye biashara, Wengi tunapoanza biashara huwa hatuna...
37 Reactions
173 Replies
20K Views
Hello, za muda huu wana jamvi, Nilikuwa nafanya application BRELA upande wa prepare e-application sasa nimekutana na changamoto kila ninavyotaka kuproceed inaniambia classes of shares Group must...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu zangu natumaini mko salama natumaini mko poa,naombeni mawazo yenu ktk hili nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya daladala na matamanio yangu naona yanafikia ktk lengo ss...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
Wakuu habari za Leo, binafsi nafaham riziki ipo popote lakini Kuna biashara inahitaji eneo sahihi. Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza nahitaji Kujua sehem gani ambayo kwa mtazamo wako itafaa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa Biashara, Naomba kujua yafuatayo: Nimefungua biashara ndogo lengo langu ni ili ije kuwa kubwa. Ninashirikiana na mke wangu hivyo nataka tuwe na jina moja la biashara tofauti...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wakuu! Leo ningependa niweze ku-share na nyinyi wana JF juu ya fursa za kibiashara, hususani biashara ya bidhaa za mtumba kama,nguo,viatu,Bags etc. Mimi napatikana Dar es salaam, na nina...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Mambo vipi? Tungependa kujua unatumia vipi simu yako ya kiganjani ili kukuletea kipato kwa njia ya mtandao?
0 Reactions
3 Replies
782 Views
Kwa wazoefu naomba kujua faida na changamoto za kufungua Yard ya mbao jijini Dar es Salaam au Arusha na Mwanza. Ushauri wako ni Muhimu sana ndugu.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba mwenye information ya wapi naweza kupata ufadhili wa wazo la biashara. Bado lipo kama wazo sijaanzisha chochote. Ni app ya kujifunza wakulima nimeshakusanya materials zote...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Mafanikio ni maendeleo ya kutoka hatua Moja ya maisha kwenda hatua nyingine, mafanikio hayo yanaweza kuwa katika nyanja mbalimbili ikiweno kiuchumi, kijamii na kisiasa. Watu wengi sana Tanzania...
4 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani naombeni mwenye kujua kuhusu biashara ya accessories kama saa, hereni, cheni, vipuri, vikuku, spray pamoja na urembo mwingine upatikanaji wake na biashara yake inaendaje. Nitashukuru sana...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Back
Top Bottom