Wakuu napenda kufahamu
Niliagiza mzgo wangu wa simu kwa kutumia FedEx kwa matumizi yangu. Nimejarbu kuwapelekea invoice kwa sababu unahitajika kufanyiwa clearance ila inaonekana gharama ni kubwa...
Habarini Wakuu
Poleni na majukumu
Niko mbele yenu leo ninaombi moja kwenu nimekuwa nikiwaza sana kuhusu hii biashara ya ushonaji nguo kwa wiki sasa
Nimefanya utafiti kidogo mtaani na kuuliza...
Wandugu salaam!
Kwa wenye ufahamu mzuri kuhusu biashara ya vifaa vya ushonaji, naomba maelekezo hasa kama bado ina wahitaji kwenye jamii. Maana kuna mtu ananiambia nguo za mitumba na zile...
Salute wakuu !!
KARIBU kwenye Jukwaa letu la Biashara, Uchumi na Ujasiriliamali. Leo nimekuandalia Biashara 10 ambozo ukizifanya zinaweza kukuleta mafanikio makubwa sana.
Biashara Kumi (10)...
The South Africa Avocado Growers Association (Saaga) has been pushing to have the regulations to resolve a sanitary issue that has seen Tanzania’s Hass and Fuerte avocado exports to South Africa...
Heshima kwenu wakuu.
Nilianzisha uzi hapa "huu ni mwaka wangu wa mwisho kuajiriwa" na kweli nilipanga kuacha kazi baada ya kuona mshahara hautoshelezi mahitaji yangu na familia kwa ujumla...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya muungano!. Bila shaka mu wazima na kama una tatizo kidogo au sana la kiafya, basi natamka uponyaji kuanzia sasa, UPONYWE
Kama kichwa cha habari...
Vodacom tunawaomba mfanye marekebisho kwenye upande wa m-pesa hasa commission tunazopata sisi mawakala n ndogo sana ukilinganisha na mitandao mengine.
Mfano:
1. Mpesa mteja akitoa shs200,000/=...
Habari wanajamii,
Huu ni ukurasa ambao utakua ni maalumu kwaajili ya kutoa taarifa na maarifa kuhusiana na matatizo yanayozikabili nchi nyingi za Afrika na njia mbalimbali ambazo zinaweza...
Sio rahisi kuupata utajiri kama una sifa hizi:
1. Kuguswa kwa dhati na matatizo ya wanaokuzunguka yaani ndugu, jamaa na marafiki maana wapo wengi mno kabla haujawasaidia wote tayari ushakuwa...
1. MAYAI YA KUCHEMSHA
mchanganuo wake uko ivi - ukiwa na mtaji wa elfu kumi 10000/= unatosha kuanza biashara hii ambapo trey ya mayai moja inauzwa 7500/= mpaka 8000/= , pia waweza nunua trey zile...
Wadau habari za majukumu?
Ninahitaji pikipiki ya mkataba ambayo nitarejesha elfu 70 kwa wiki kwa makubaliano ya muda ama miezi kadhaa baada ya hapo inakuwa yangu.
Kwa mawasiliano na maelezo...
Wakuu Salamu kwenu
Nipo Wilaya ya Ilemela kata ya Shibula katika Jiji la Mwanza
Sasa Nina laki 5 (500,000/-) je hii naweza kufungua biashara gani ambayo itanipa faida fresh na haitakuwa na...
Waswahili husema : Tabia hujengwa🤷♂️ Eti ni kweli?
Sina jibu ila kuna watu walikuwa wema sana Leo waovu, pia kuna watu walikuwa wovu Leo ni wemaa
👩🏿🦲👩🏿🦲 Yaweza kuwa kweli tabia hujengwa...
Wakuu habar zenu
natafuta mtu wa ku-share anaye eneo la kufanyia biashara
mm binafsi sina uwezo wa kukod fremu ya biashara na nikalipia pekeyangu
sasa naomba kama kuna mtu ana fremu ya biashara...
Wanachama wenzangu wa JamiiForums,
Naombeni msaada wa jinsi gani niweze kuanzisha biashara hiii na kuku wa aina gani wanafaa hasa hapa Jijini Dodoma na wezahitaji mtaji wa kiasi gani.
Ndugu walevi wa gadget,
Nimeamua kubadili upepo wandugu. Natoka kwa Mkorea kwenda kwa Mchina sasa. Akili yote ipo hapo kwa MI 11 Lite 5G. Tafadhali hii isichanganywe na MI 11 Lite. Hii...
Habarini wanajukwaa!
Natumaini kila mmoja wetu ni mzima wa afya, kwa wenye changamoto za kimaisha Mungu akawafanyie wepesi!
Hii ni barua ya wazi kwa walioko vyuoni, wanaotegemea kuanza vyuo...
✍🏿 SWALI KUU HIVI KWA NINI MO NA BAKHERSA WANAKUWA MATAJIRI WAO TU?
💧 MO na BAKHERSA ni binadamu kama sisi wana kila kitu tulicho nacho, walikuwa maskn kama sisi pengine mwanzo tuliwazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.