Habari zenu mabibi na mabwana.
Naombeni mnisaidie ni wapi pale Mwanza nitapata mtumba grade A, na nitatambua vipi ni grade A na bei zake kwa shati, tisheti na suruali?
Natanguliza shukrani.
habari wadau naomba kujua trend ya soko la hisa kwa mkombozi bank kwa sasa!
Pia naomba ushauri kwasababu kunamtu anataka kuniuzia hisa zake kwa maelezo kuwa amepata matatizo ,
Nasita kununua...
Natamani kuanzisha kiwanda cha kutengeneza miswaki,design mbalimbali,miswaki hiyo itatokana na vitu asili na siyo kama miswaki tunazotumia ambazo ni plastic,nimegundua zina madhara,
Kama utapenda...
Habari wadau!
Kuna mchongo nausikilizia wa milion 100, wazungu wanasema "easy money" sija-sweat sijui hata nitazifanyia nini masikini.
Itakuwa mbaya zaidi kama hundi ya pesa itadondoshwa harafu...
Wapambanaji mambo ni vipi,
Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.
Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata...
Wakuu naombeni msaada wa maelekezo ya duka ninaloweza pata Xiaomi/Oppo za kijanja za 400-600 elf. Maduka mazuri yaliyopo Kariakoo ndo yatanifaa maana nitakuwa mitaa hiyo tomorrow morning.
Msaada...
Improvement in service Deliverance can be done through creation of a software that will be able to entirely collect all important information of a service-providing Centre
The service proving...
HATUA ZA KUANZA BIASHARA
🖊️ Biashara ni kitu kizuri ila kinaweza kuwa kitu kibaya( itategemea na matokeo uyapatayo)
🎤 Ukizngatia hatu muhimu 10 biashara itakuwa ni kitu kizuri kwako *.
1. Kuwa...
Sitausahau mkopo wangu wa kwanza kabisa. Ndipo nilipoanza kushika mamilioni, ilikuwa September 2016. Basi nikanunua kiwanja kimoja na pesa nyingine nikaiingiza kwenye biashara ya duka la vitu...
Kama heading inavyosema, kwa mara ya kwanza kabisa nilipost hapa kuhusu njia mbadala wa septic tank na soakpit ilikua mwaka 2016,17 niliuza idea yangu ya kutumia BIODIGESTER badala ya kuchimba...
Nilikua ninawazo la biashara ya kuuza T na Subwoofers
Je kwa kima cha chini cha mtaji itafaa niwe na shingapi?
Location ni Iringa wilayani?
Je risk zake zimekaaje?
Connection ya kuzipata...
Waziri wa Fedha na Mipango Dr Mwigulu Nchemba Amesema Serikali itaingiza zaidi Tsh 5 Trilioni Kwenye Mzunguko wa Fedha Hatua hiyo itawafanya Wananchi Kutosikia Machungu ya Tozo Mpya za Uzalendo...
Ili uwe na mafanikio kwenye eneo lolote unahitaji kitu KINAITWA experience (uzoefu)
Watu wanafel biashara,wanafukuzwa au kutothaminiwa kazin kwasababu ya uzoefu..ukifuatilia na kuwachunguza...
Katika vitu vinawatatiza wa mama wengi mtaani ni kupata shuguli itakayowaingizia kipato cha kutosha. Na kila wanapofikiria wazo la kuanzisha biashara basi wanakwazwa na ughali wa mtaji...
Habari za Mchana wadau.
Msaada wenu, nina milioni15 niko Dar es salaam nataka kuanzisha duka la kuuza vifaa vya umeme pamoja na plumbing naomba kujua vifaa gani vinatoka sana pamoja na changamoto...
Habar zenu wadau ....Mimi n mfanyabiashara mwenye vibali vya uvunaji na usafirishaji mazao ya misitu kutoka maliasili yan kuni .
Ikiwa unahtaj kuanza biashara hii yenye faida kubwa (japo wengi...
Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na TanTrade wametoa Mafunzo ya Mifumo ya Biashara mtandaoni kwa Wafanya Biashara pamoja na Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kibiashara Visiwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.