Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Kama kuna mahali serikali hii imekosea ni kuhusu hii tozo ya miamala ya simu, madhara yake yatakuwa makubwa sana kwa biashara za watu wa chini. Wafanyabiashara wadogo wengi hawatumii bank kufanya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika harakati za kujijengea uwezo wa baadae(near future) niliamua kutumia pesa zangu kidogo za bodi ya mkopo (mimi ni mwanafunzi mwaka wa tatu) kufanya kilimo. Nilianza na project tatu tofauti...
0 Reactions
14 Replies
9K Views
Budget ya 20/21 imepita kwa kishindo bungeni 94%. Spika anasema haijawahi kutokea kwa budget kupitishwa na idadi kubwa hivi ya wabunge. Wiki mbili baada ya kusainiwa kama sheria na kuanza kutumika...
2 Reactions
1 Replies
672 Views
Wakuu habari zenu, Kichwa cha habari kinavyosomeka, Ninaomba yeyote mwenye kujua ni namna gani tender za ku-supply matunda kwenye kiwanda cha kusindika matunda cha bakhresa zinavyopatikana kuna...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Funzo la siku ya leo👇🏽 Nataka Nifanye Biashara Unanishauri Nifanye Biashara gani inayolipa🤷🏽‍♂️🤷🏽‍♂️ Swali hilo ndilo swali linaloongoza kwa kuulizwa na watu wengi kuliko swali lolote lile. Mara...
2 Reactions
0 Replies
879 Views
Nimeona watu kadhaa wakifanikiwa kwenye hili (nchi ya wengine) Sio kwasababu Mimi nimeshindwa kujaribu Basi nisitoe nafasi kwa wengine. Hasa Tanzania. Sijui sheria ikoje lakini hii inaweza mpa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habarini za Leo. Napenda kuwapongeza wadau wote waliomo humu ndani. Mimi binafsi natambua michango yenu ktk kusaidia na kuelekezana mambo mbali mbali yahusuyo computer. Dunia ya leo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Umewahi kujitoa ufahamu?Umewahi kuona mtu ambaye amejitoa ufahamu?Unaelewa ufahamu ni nini?Una ufahamu? Nitaanzia Mwishoni. Miaka zaidi ya 15 iliyopita nilianzisha kampuni yangu ya...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
🇹🇿 4PILLARS OF BUSINESS( NGUZO 4 ZA BIASHARA) 🙏 Leo naomba tuamke na hii👆🏽👆🏽: Takwimu za benki kuu ya dunia zinaonyesha kuwa watu walio na mafanikio makubwa sana ni wafanya Biashara. Ukitaja...
6 Reactions
3 Replies
2K Views
Nawaslimu kwa jina la jamhuri ya muungano. Mitaani hali ya biashara ya miamala inaanza kuwa mbaya, kwa mfano mimi nina kibanda cha mpesa tigo na airtel, kawida huwa nikufungua asubuhi wateja...
9 Reactions
27 Replies
4K Views
ILI KUFIKIA MAENDELEO KITAIFA MASHARTI YA MIKOPO YAPUNGUZWE KATIKA TAASIS ZINAZO JIHUSISHA NA MIKOPO Habari zenu ndugu na jamaa nikiwa kama kijana ninaye itakia mema nchi yangu napenda kutoa...
1 Reactions
0 Replies
877 Views
🙆‍♂️🙆‍♂️ FAIDA YA KUFELI KTK BIASHARA. 👩‍🦽 Nimekuwa nikiulizwa maswali mengi na watu mbalimbali juu ya suala la kufeli. 👆🏽MMI KILA NIKIANZISHA BIASHARA NAFELI JE NIFANYE JE NISIFELI? 👇👇...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Watuu habari zenu.. katika pita pita zangu za kibiashara nikakutana na huu mchongo nikaona si vibaya niwashirikishe na nyie ili wote tusonge mbele.. kuna website moja hivi ya kibongo bongo inaitwa...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
🌓 WAZO LA BIASHARA Ukifatilia makala yangu iliyo zungumzia hatua za kuanza Biashara, hatu ya kwanza n kuwa na wazo la Biashara. 👆🏽👆🏽 Makala hiyo imezungumzia njia za kupata wazo zuri la...
2 Reactions
0 Replies
942 Views
JAMBO 1 KTK PESA ✍🏿 Leo naomba tugusie jambo dogo sana ktk pesa. 💧 Kinacho kufanya wewe kuwa Tajiri sio kiwango cha pesa ulicho nacho ila ni matumizi kwa kile unacho kipata. 🙏 Mfano : Kama...
4 Reactions
0 Replies
3K Views
✍ KWA NINI HUJAFANIKIWA‼️ 💧 Kwanza tambua jambo 1 mungu hawezi kukutoa hapo ulipo mpka akupe elimu ya kule unapo taka kwenda ( kila elimu inalipiwa ) Mfano: Kama wahitaji kufanikiwa...
2 Reactions
0 Replies
849 Views
MBINU ZA KUJIAJILI KWA WANACHUO NA KUAJILI WENGINE Njia Bora na rahisi kwa VIJANA waliokosa ajira na wamemaliza vyuo vikuu au vyuo vya Kati KUJIAJILI Nchini Tanzania ajira imekua...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Huu ni uzi maalum wa kila mwenye wazo au chanzo kipya cha mapato kwa ajili ya serikali yetu ambacho hakitasumbua wala kuumiza watu. Maana hii kazi inabidi iwe ya Watanzania wote na inabidi uwe...
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Ni biashara gani naweza kutoa huku bagamoyo kwenda kuuza dar!! Au nikatoa dar kupeleka dar?
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Siku chache zilizopita limekuwa na sintofahamu juu ya mabadiliko ya viwango vya miamala katika mitandao yote nchini, kupanda kwa miamala ya kutuma hela na kutoa hela Jambo ambalo linaendelea...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom