Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habrin wanajf, Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa. ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA. Kwa hizo location ipi itafit hapo
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa fursa za kiuchumi za mkoa wa Kigoma
0 Reactions
2 Replies
270 Views
Mambo vipi wakuu. Wewe umeweka mtaji wako wa milion 10 dukani kwako. Jirani yako ameweka mtaji WA milion 30. Unaamua kwenda Kwa mganga alafu mganga baada ya kukuchekia Ramli yako anakwambia njoo...
5 Reactions
14 Replies
1K Views
Za mapambano wadau Natafuta mashine za kubangua korosho iwe ya umeme
0 Reactions
0 Replies
153 Views
Kwa sasa makazi yangu ni Iringa mjini hapa Kihesa. Shughuli niliyokua nafanya kwa kiasi kikubwa inategemea jua kuwaka mchana na sasa ni kipindi cha mvua ivyo kazi haifanyiki Kwa wajanja janja wa...
0 Reactions
13 Replies
781 Views
PRICE: 10000/- JIPATIE SAA ZA KISASA ZA WATOTO NZURI KWA WATOTO WA KINDERGATEN MPAKA PRIMARY ZINATUMIA BATTERY BATTERY YAKE HUDUMU ZAID YA MWAKA 📍MANZESE, TIPTOP ☎️0753409810 ( whatsapp)
1 Reactions
6 Replies
212 Views
Nawasalimu wakubwa na wadogo zangu Mimi ni kijana wa kitanzania Mzalendo ambae napenda kujishughulisha na kupata rizki ya halali Kwa Ambae anatamani kuja Kutembea Zanzibar ila anapata shida...
21 Reactions
89 Replies
4K Views
Habarini wakuu, tafadhali aliyeelewa hapa anifafanulie kwenye huo ukokotoaji ulivyofanyika hapo sababu mimi nikipiga hesabu zangu kwa uwekezaji wa Tsh. 500,000 kwa mwezi, manake kwa mwaka ni...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
The popularity of the international forex market has made it the largest financial market in the world. According to a 2019 BIS report, the daily volume of forex traded amounts to $6.6 trillion...
6 Reactions
50 Replies
6K Views
Wakuu Hapa katikati dola ilipaa sana na hata Rais Samia alikiri wazi kuwa shilingi imeadimika wakatika wa msiba wa Lawrence Mafuru == "Miezi michache iliyopita kuanzia mwezi wa pili mpaka wa...
3 Reactions
7 Replies
426 Views
Habari Naitwa Aisha. Mimi ni mkazi wa dar es salaam, natafta sana mtaji wa kuanzisha biashara ya kilimo hapa dar kisiju, eneo la kufanyia kilimo ninalo, ila sina mtaji wa kuanzisha kilimo kwa...
3 Reactions
21 Replies
727 Views
Sorry, za muda hu waungwana, nimepata mkopo mahali flani wa pesa taslim laki tatu, sijui na sielewei naifanyia nini,!! Maan marejesho kila baada ya wiki mbili kwa miezi sita, Naombeni ushauri 🙏
7 Reactions
17 Replies
517 Views
Wakuu kama kichwa kinavojieleza hapo juu, natafuta mtu ambayo tunaweza kuchanga vifaa tufungue ofisi ya game (playstation) mimi ntachangia tv 2 na cpu 1, na vifaa vngne vyote vya ndani ofsini...
3 Reactions
17 Replies
803 Views
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande...
2 Reactions
26 Replies
828 Views
Njoo nikupe begi Imara kwa na quality ya juu kwa bei ya kufunga mwaka. Nicheki 0783973428 Nipo kariakoo Dar es salaam
4 Reactions
0 Replies
146 Views
CRDB YAFUNGUA TAWI LAKE MUSOMA VIJIJINI Mgeni Rasmi: Ndugu Gerald Musabila Kusaya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mara Mahali: Kijijini Kwibara, Kata ya Mugango Leo, Alhamisi, 19.12.2024 Benki ya CRDB...
0 Reactions
1 Replies
118 Views
Njia 5 Za Kuvutia Pesa Kwenye Maisha Yako. Pesa ni kitu chenye thamani kubwa kwenye maisha ya sasa. Bila ya pesa kwa maisha ya sasa ni majanga mazito sana. Unaweza ukakosa vitu vyote vizuri...
10 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za muda viongozi. Ningependa kupewa dodoso juu ya biashara hii ya vinyozi. Nahitaji kujua kiwango cha chini cha gharama ya kuanzisha huu mradi, kwa sababu nataka nimfungulie kijana ambae...
3 Reactions
22 Replies
8K Views
Price:18,000/- KAZI ZAKE Inakusaidia kukupa hewa safi wakati wa mazoezi (gym) Hukuepusha na joto kali wakati wa kupika Hukupa utulivu wakati wa kusoma kwa hewa safi. Tupigie au whatsup...
1 Reactions
1 Replies
121 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…