Habarini,
Nilikuwa nahitaji mwenye ujuzi, uzoefu wa kutuma mizigo worldwide aniambie ni wapi naweza kutuma mzigo wangu kwenda Mombasa Kenya kwa uhakika zaidi na gharama nafuu, ahsanteni
Leo nataka nichokoze mjadala mdogo sana ambao wengi wanaweza kufikiri kuwa ni mkubwa.Nataka kwa pamoja tushirikiane katika kutafuta jibu la swali hili "Biashara ni nini?"
Nianze kwa kutoa...
Ni muda sasa wa Tanzania kubuni na kuuza bidhaa za ki electronic kama ilivyo China na mataifa mengine ya ulaya na kuweza kuwauzia wao kama wanavyotuuzia sisi.
Tuna vijana wenye akili sana na...
Hey wakuu!
Hii topic nilitaka nibandike kule jukwaa la kilimo ila nikaona Ohlaah sisi twapenda biashara zaidi kuliko kilimo.
Ushasikia kilimo cha konokono snail farming, kwa naija wanapractice...
Habari kwa mwenye uelewa wa biashara ya viungo vya chai na chakula nahitaji mtaalamu aliepo moshi mjini mini nina mtaji wa pesa ila nahitaji mtaalamu anaejua kutengeneza viungo mbalimbali ili...
Wahenga walisema mbuzi wa masikini hazai hata akizaa anazaa dume, ni msemo wa muda mrefu ila naamini unaishi,
Mwaka 2016 nilifanikiwa kumaliza kidato cha 6 ila matokeo yalivyotoka sikufanikiwa...
Mashine ya kutengeneza mkaa inauzwa
Wakuu Nina best yangu ana kama ml 15 hivi nataka kumshauri ananunue mashine kubwa ya kutengeneza mkuu kwa kutumia takataka
Nataka kumshauri anunue
1. Krikuu...
Baada ya chuo, kama kijana naona wakati nikiendelea kutafuta kazi nifanye biashara ya Uber/ Bolt.
Sasa wenye uzoefu Naomba wanijuze nn cha kufanya ukiwa unaanza, faida na hasara na pia changamoto...
Habari Wakuu,
Samahani mwenye kujua Taratibu za kutuma mzigo nje ya nchi kama vile NEW ZEALAND sababu nimeenda posta gharama zao ziko juu kama kuna njia nyingine mnijulishe
Nimeona niongee tuu ninacho kiona mie , kama sioni vizuri niko tayari kufundishwa.
Makampuni ambayo yanafanya vizuri kweny Soko la Hisa (DSE) miaka yote ni Sigara na Beer na hii naamanisha...
Habari;
Katika mambo ambayo mwanadamu yeyote haweza kupinga ni ukweli kwamba duniani inabadilika.Ni ukweli usiopingika kwamba kasi ya mabadiliko iliyopo ni muhimu sana tukajiandaa kuwa...
Baba yangu ameuza nyumba hapa Musoma mjini kwa sh mil 80. Nyumba ilikua na hati na vizuri na amenipa jukumu la kukamilisha zoezi la uuzaji na kuhakikisha mnunuzi anamaliza process zake vizuri...
Habari ya leo wakuu,
Vijana tunapitia changamoto sana katika kupata support ya kiuchumi hasa tukiwa na wazo la kuanza biashara naamini mtaji wa kwanza ni wazo la biashara then pesa ina fuata...
Leo naleta mjadala tata.Mjadala ambao watu wengi ama watauelewa au watachanganyikiwa.Mjadala huu unahusu uwezekano(Probability) ya Mtu kuwa Bilionea.Nimeonelea niweke hili neno Probability ili...
Hello guys,
Kwa wiki 4 sasa huyu dereva hajaniletea hesabu ingawa kipindi cha mwanzo alikuwa ananileteaga, kila wiki anakuja na sababu mara kauguliwa na mtoto, Mara mvua, Mara pikipiki...
Salute wakuu
Naomba ushauri kuhusu Biashara gani ambayo naweza kufanya kwa Siku nikalaza atleast Laki 1 kama faida, regardless mtaji kiasi gani.
Natangulixa Shukurani 🙏🙏
Wakati Serikali na vyombo vya dola vikiendelea kuchunguza uhalali wa uwepo wa kampuni ya biashara za mtandao ya Q-NET inayodaiwa kuwatapeli wananchi mamilioni ya fedha,ofisi za kampuni hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.