Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wenye experience na market ya Tanzania naombeni mawazo yenu kuhusu biashara zinazohusisha teknolojia ya tehama IT. Iwe ni biashara ambayo ni fully IT based au ambayo uendeshaji wake unategemea...
3 Reactions
6 Replies
4K Views
Baada ya kuanza kutangaza matangazo ya Google,Leo nimelipwa pesa hiyo hapo juu japo kuwa kwa akaunti yangu sijaiona,inachukua muda gani kureflect kwa account yangu. ====== Update: Hatimae pesa...
3 Reactions
59 Replies
18K Views
Shirika la Ndege la Qantas Australia lenye miaka 100 kazini limeshika namba moja kwenye orodha ya 2021 ya Ndege salama zaidi kusafiri nazo duniani iliyotolewa na airlineratings.com ambapo namba 2...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Biashara ya Mfumo wa manunuzi ya bidhaa zote zinazipatikana China kwa Bei ya jumla kwajili ya wafanyabiashara wadogo na wakati kwa Tanzania nzima, kupitia mtandao. Platform(mobile app) ipo Hewani...
0 Reactions
9 Replies
789 Views
Habarini wanajukwaa, naomba kujua taratibu muhimu za kiserikali za kuzingatia kabla ya kufungua photo studio. Ahsante nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba yenye samani zote (full furnished house) ni inayokuja kwa kasi Tanzania. Samani za muhimu ni kitanda na godoro, kabati la nguo lenye kioo, chumbani. Jikoni ni jiko, fridge, washing...
8 Reactions
35 Replies
4K Views
Wadau kheri ya mwaka mpya (2021) Mbele yenu naomba USHAURI juu ya Biashara mbadala Aidha baada ya kumaliza Chuo 2017 nilipenda sana kufanya shughuli za stationery na nilianza kufanya hata wakati...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Tafuta hela kwa nguvu zako zote, sana sana ukiwa kijana, ukiajiriwa au ukijiajiri fanya kazi kwa bidii bila kusahau kumshukuru Muumba kwa sala na zaka. Tafuta hela kama muuza machungwa...
27 Reactions
40 Replies
12K Views
Jambo hili nimeliona kwenye uwanja wa Aman nimeona ni la kushangaza kidogo kwa mtazamo wangu naona mgongano wa kimaslahi kwa taasisi hizi mbili Namaanisha CRDB Bank na NMB Bank mabango yao wote...
1 Reactions
0 Replies
716 Views
Jamani tusaidiane katika hili nisijekupigwa huko Kariakoo naombeni msaada kwa wale watu wa mikoani mnaochukua nguo Kariakoo nielekezeni machimbo ya nguo za kike wanapouza kwa bei rahisi...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Ndugu zangu naomba ushauri wa biashara ipi Haina risky sana kati ya hizo mbili (pembejeo na pharmacy) nmemalza chuo na mtaji kama wa million tatu napenda kufanya biashara ya pharmacy au duka la...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana JF @ Soko la hisa, UTT AMIS na Hatifungani CRDB Bank PLC ni kampuni mojawapo iliyoorodheshwa hisa zake katika soko la hisa la DSE. Hisa za CRDB zimekuwa zikifanya vizuri katika soko...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Kwa mtazamo wangu, watu ambao hawakutoka kimaisha miaka ya nyuma, hasa watumishi wa umma, kwa maana ya kujenga, kuwekeza,kununua gari/magari, n.k, hivi sasa mazingira ni magumu zaidi na inaweza...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
CONSIDERATIONS FOR 2021 ________________________________ @Soko la hisa, Utt AMIS na Hatifungani 1. ON EARNING: Never depend on single income. Make investment to create a second chance...
3 Reactions
0 Replies
440 Views
Wapendwa habari za leo. Naombeni kujua nauli ya kutika Arusha hadi Uganda Kampala. Nataka nisafiri kwa bus nina shughuli binafsi naenda kufanya kule. Naomba pia nipate ufafanuzi wa sehemu ya...
0 Reactions
2 Replies
749 Views
Habari wazawa ! Leo ningependa nije na wazo jipya ambalo litasaidia watu kupata wazo la biashara kwa kununua kutoka kwa watu wenye wazo la biashara ambao hawana mtaji wa biashara. Offcource ata...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Mimi ni mkazi wa Dar na Dodoma. Moja ni jiji la kimataifa la biashara na jiji lingine makao.makuu ya nchini. Haya majiji ni machafu sana yametapaa vibanda mpaka barabara zimekosa uhalisia wake...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini ndugu zangu. Ndugu zangu naomba ushauri wenu, nataka kuanzia maisha upya nifanye biashara hasa biashara ya mtumba, kwa mtaji wa laki 6. Naomba niulize mkoa gani unaweza nisogeza na...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna fursa mpya imekuja, umeshawishiwa kwamba ni nzuri na ukafanya maamuzi ya kuingia kwenye fursa hiyo. (fuga kware) Umeamua kuingia, wakati unaanza kufanya unakutana na ugumu fulani, kabla...
6 Reactions
32 Replies
4K Views
Nakaribisha mtu yeyote ambaye angependa kufanya biashara ya kusindika unga wa sembe nje ya tanzania aje tuunganishe nguvu. Sifa Awe tayari kurellocate Awe na passport mpya na awe tayari kulipia...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom