Habari za wakati huu wakuu.
Katika pita pita zangu mitandaoni. Nimekutana na hii machine.
Haraka haraka likanijia wazo. Je, kama nitaweza kuhifazi matunda kwa kutumia mifuko ya plastik na...
Marketing ina mchango mkubwa sana ktk kukuletea wateja na kuikuza biashara yako
"Marketing sio sales"
Wengi tunapenda na tunatamani kuuza, lakini tambua mteja hapendi kuuziwa
(Customers don't...
Kwenu wakuu
Pole kwa majukumu ya wiki nzima ,naombeni kujua bei za frame maeneo haya Dar
1)Survey
2)Mwenge
3) Makumbusho
4)Mikocheni
5) Kawe
6)Mbezi
Natanguliza shukrani
Katika kuzunguka kwangu nimekuta hizi simu zinauzwa cheap sana kwenye maduka ya mjini tofauti na ile bei ya samsung wenyewe wanayouza, yani unakuta simu ya 550000, inauzwa 420,000.
Si vibaya...
Naomba mtu mwenye kampuni ya ku supply office stationaries kwenye ma taasisi kwa mfumo wa tendering, nahitaji kupata ufahamu wa wapi anachukua kwa gharama nafuu (kwa hapa hapa Tanzania) na profit...
Hivi nikiuza juice ya matunda kwa kutembeza maeneo ya stendi si inaweza kuwa biaahara nzuri?
nimeona matunda yanauzwa bei rahisi sana yaani parachichi la mia tano unaweza kutengeneza glass tano...
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mwaka ndio huo umekatika njooni tupeane fursa za kibiashara kwa mwaka 2021. Ili tuweze kujipanga vyema.
Kwa mwaka 2021 afe kipa, afe beki lazima...
Habari wakuu,
Poleni na majukumu.
Nina shida na Cement namba 42 TWIGA Au DANGOTE Leo nimezunguka mji mzima mpaka Buguruni kote nimekosa.
Huenda Hii suala ya Uhaba wa Cement limekuwa tatizo Kwa...
Ninawapa pongezi kwa kutoa zawadi kwa wateja wenu kwa kuwauliza maswali mepesi, uamuzi mliochukua ni furaha kwa wateja wenu.
Pesa taslimu kiasi cha 1000,000. (milioni moja) kwa wakati huu wa...
1 • Wakuu,
Naomba niseme hili jambo wazi.
Kupata pesa imekuwa rahisi kuliko ilivyokuwa hapo awali.
Imekuwa rahisi kiasi kwamba sasa hivi unaweza kukaa nyumbani kwako bila ya kwenda popote...
Za asubuhi jamani..
Leo nimejikuta katika mawazo sana lipi la kuamua. Kuna pesa natarajia kuipata very soon... Sasa nawaza kufanya biashara ila nimeshidwa kuamua nimeona nipate mawazo kwanza kwa...
Kuna jamaa wanaitwa Mr Kuku Farms, wanasema wanafanya ufugaji wa kuku na wanahkmiza watu kuwekeza kwa ahadi kwamba unavuna mara 2.
Nimeona wamepost na shuhuda mbalimbali motomoto kama zile za kwa...
Greentomarine,whitestone,silkon,amasist,brusafaya,amarode,roseganet,amarod,GALENA,COPPER,IRON ,amecyst bei gani kwa gramu na kampuni gani inatoa bei nzuri
Habari za Leo wakuu, I hope kila mtu yuko vizuri na harakati za biashara & ujasiriamali zinaendelea.
Kama ilivyo ada, huwa naleta mada za kufundisha watu kuhusu Facebook and Instagram ads, na...
Habari,
Naomba kufahamu vitu binafsi ambavyo porter anapaswa kuvibeba katika safari yake ya kuwapandisha wageni mlima Kilimanjaro.?
nimeuliza kwa maana nahitaji kuwa porter.
Shukrani.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu, Bei ya Mfuko wa cement Mwanza unazidi kupaa, awali mfuko wa cement apa Mwanza ulikuwa ukiuzwa kwa 18000/= Tsh lakini kuanzia wiki hii cement kwa...
Ningependa kufahamu jinsi ya kuanza hii biashara kwa mtu ambaye ameshawahi kufanya au bado anafanya anipe maelekezo jinsi ya kuanza natakiwa niwe na mtaji wa kiasi gan??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.