Kuna video ya Morisson mchezaji aliyesajiliwa simba akitokea yanga niliona mtandaoni juzi kati vijana wapo wengi wanasubiri hatima ya mgogoro wa usajili uliokuepo vijana wamejaa tena n between...
Uzinduzi wa promosheni ya TECNO Vimba Season umefanyika rasmi jana huku hafla hiyo ikihudhuriwa na wasanii maarufu wa tamthiliya ya HUBA ambayo huoneshwa na king’amuzi cha Dstv.
Promosheni hiyo ya...
Habari zenu waungwana,
Natarajia kufungua duka la nguo siku ya leo mkoa wa Manyara, wilaya ya Babati ( Magugu).
Naomba msaada wa yafuatayo:-
Natarajia kwenda Dar wiki ijayo, mwenye connection na...
Wakuu habari zenu, najua wengi humu ndani mnayo mawazo mazuri na wengine mnazo hadi experience (Uzoefu) wa baadhi ya mambo hasa katika biashara. Mimi ni mbobezi wa masuala ya Online (Mtandaoni)...
Kwa wale wenye experience na online business naomba mnisaidie ni jinsi gani nitaweza kupokea malipo kupitia Paypal.
Kuna threads zilikuwa zikiongelea payoneer kuwa mbadala wa Paypal lakini baada...
Nilikuwa na bado ni mtumiani wa data kupitia mtandao wa shirika la serikali TTCL kwa Modem yenye namba za mawasiliano 0736404059. Nilisitisha matumizi ya mtandao huu mwzi wa saba 2013 kwa...
Habari Wakuu
Naomba ushauri wenu mimi ninandoto yakua tajiri kama mfanyabiashara Said Salim Bakhresa.
Je, nifanye nini ili nifanikiwe Kimaisha?
Toa maoni yako hapo [emoji116][emoji116]
Wakuu habari za majukumu.
Kama bango linavoonekana hapo.
Nina mtaji wa Tsh 60,000 nataka niiwekeze hapa nje ya kaduka kangu, naweza kufanya nn angalau inilipe?
Natanguliza shukrani, msaada...
Habari wadau, natambua kuwa mifuko ya plastic imepigwa marufuku kisheria ila ya kutumia kwaajili ya vifungashio imeruhusiwa. Naomba msaada wa kujua kiwanda kinachoprint mifuko ya plastic hasa kwa...
Wakubwa shikamooni, wadogo wenzangu habari za muda huu!
Mimi ni mwanafunzi ngazi ya chuo na nipo Arusha. Ukifuatilia thread zangu za nyuma, utaniamini kuwa Namaanisha ninachokiandika.
Sasa hapa...
Mwezi huu nimepanga niagize bidhaa tofauti tofauti kutoka China kwa kupitia app ya kikuu
Kwa anayefahamu vipi mizigo bado wanaleta au wanasumbua siku hizi kutokana na ugonjwa wa corona
Sent...
Habari za leo ndugu wana j-forums
Kwanza kabisa niende kama kichwa cha habari kinavyosema 'wamiliki wa iphine storeS'
Nimekuwa ni mfanya biashara wa mda mref sana hizi za online market kwa...
Kutokana na mafanikio ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastic tumeshuhudia uzalishaji wa mifuko ya karatasi kama sehemu ya mbadala wa vibebeo.
Lakini nionavyo mimi, karatasi aina zote...
Habari wakubwa kwa wadogo.
Ni taasisi ipi kwa wanaofahamu inayotoa mkopo wa kuanzia Milioni mbili mpaka tatu kwa dhamana ya gari ndogo (Passo), marejesho yawe kwa mwezi.
Ndugu wana jamii wote taarifa niliyoipata hivi punde hali ni mbaya sana ndani ya TTCL na kila siku iendayo kwa Mungu basi nyaya za simu za TTCL zinaibiwa na kusababisha hasara kubwa kwa TTCL na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.