Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari ndugu Mimi ni kijana mwenye taaluma ya upishi pia nimechukuwa certificate ya maswala ya planning and so on. Hivyo kwa sasa nilikuwa natafuta baadhi ya vifaa vya mgahawa iwe kwa ajiri ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za leo ndugu zangu najua wote wazima wa afya kabisa Leo nataka kuwajulisha juu ya hili swala la wizi wa mitandaoni hasa hii mitandao ya kijamii. Twitter, Face book, Instagram, Email...
5 Reactions
15 Replies
3K Views
Wadau, Wataalamu wa personal finance kibongobongo unatakiwa kodi ya nyumba isizidi asilimia ngapi ya mshahara wako?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna watu wanachanganya mambo mara Barclay kainunua NBC, BarclayAfrica hajawahi kuinunua NBC bali NBC ilinunuliwa na ABSA ya South Africa. Hawa ABSA ndio sasa wameinunua Barclay Africa. Pia...
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau kwema? Naomba mtu anaeweza nipa A,b,C namna ya kuanza biashara ya kua wakala wa mizigo kwa meli yetu pendwa New Mv Victoria.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna sababu nyingi lakini nitakuelezea kwa uchache tu 1. Biashara ya kujenga inahitaji mtaji mkubwa hivyo basi uwa utajenga sehemu ya biashara kwa rengo la kutunza fedha na ndani ya Hiro iyo...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Heshima yenu wakuu naomba kuuliza jamani. Kuna mtu anauzoefu wa biashara ya Ice Cream za Azam kwa wale wanao tembeza kifuani wamevaa mankotena? Naomba mnisaidie utaratibu unakuwaje?Unachukulia...
5 Reactions
7 Replies
7K Views
Hii hali nimeiona Kwa watu wengi waliofanikiwa kiuchumi, huwezi kuta tajiri ana mazoea ya karibu na msukuma mkokoteni, yani tajiri huwa ana-socialize na matajiri wenzake tu, nyie wenyewe mnaweza...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari za majukumu wanajamvi, matumaini yangu mnachukua taadhari dhidi ya janga hili la Corona. Niende moja kwa moja kwenye mada. Mimi ni binti miaka 25 nimemaliza chuo mwaka wa tatu sasa...
10 Reactions
31 Replies
19K Views
Wadau mambo vipi? Nadhani kila mfanyabiashara anapenda kuona biashara yake inakuwa kila siku, au kila baada ya muda fulani, hapa nina maanisha kwamba , kama ulianza kuuza chapati 20 kwa siku...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habarini za kazi za kila siku wapendwa. Kwa mwenye uzoefu tafadhali anisaidie ivi inawezekana mtu akakopa benki mara mbili yani akiwa ameshakopa benki A na anahitaji kukopa tena benki B io...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inafahamika kuwa mawasiliano ya simu barani Afrika ni miongoni mwa sekta inayokua kwa kasi zaidi duniani. Ikiwa na mchango mkubwa wa vijana, Afrika inaongoza katika matumizi ya teknolojia ya simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
With a Gross National Income of $910, #Tanzania is actually getting close to the $995 threshold level of a middle-income country. The question is: how to maintain the momentum of growth" - Yutaka...
8 Reactions
65 Replies
6K Views
Nahitaji mtu wa kushirikiana nae kwenye maswala ya kufanya issue ya photoshoot na video production. Mimi naweza zaidi photoshoot. Nina camera nahitaji yeye aweze changia kwenye lens na speedlight...
5 Reactions
5 Replies
991 Views
Habari za Leo Wadau. Kampuni yetu inauza na kusambaza Mchanga wa Kujengea Kwa Bei ya Jumla na Nafuu Sana Jijini Dar Es Salaam. Hivyo kama Una hitaji Mchanga Mzuri wa Kujengea tafadhali tuwasiliane...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kichwa cha habari tajwa hapo juu ni moja kati ya maswali pendwa sana ambayo wahitimu kutoka vyuo mbalimbali huulizwa. Miaka minne iliyopita baada ya kutoka chuo niliulizwa swali hili na baadhi ya...
5 Reactions
67 Replies
9K Views
Saudi Arabia leo wamesema watapunguza bei ya oil. Hii imesababisha bei ya mafuta kushuka kwa zaidi ya asilimia 30. Hata wakati wa recession 2007/8 mafuta hayakuwai kufikia bei hii. Kesho itakuwa...
2 Reactions
50 Replies
4K Views
Oil price yesterday ilikuwa kwenye negative. Sasa hivi imeanguka tena kwa asilimia 39! Makampuni mengi ya mafuta yatashindwa ku sustain baada ya Leo.
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Naanza na salamu kwa Wakubwa, bila kuwasahau Wadogo. Nilishakuja hapa JF kuomba ushauri kutaka kuahirisha chuo kwa kijana wangu baada ya (mimi) kukwama kiuchumi ili aje mtaani tupambane na mwaka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom