Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Ijumaa Karim ndugu zangu Watanzania. Tanzania kupitia bandari ya Dar kwa sasa imevutia kupitisha mizigo mingi hasa toka Burundi kwa ku-charge bei ambayo wateja wanaweza kumudu. Kwa mujibu wa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habaaari Ijumaa vijana mbalimbali walikuwa wakitoa mawazo yao mbalimbali ya teknolojia kwa ajili ya kutengeneza Tanzania ya teknolojia Tafadhali pitia mawazo yao hapa na biashara zao, then...
5 Reactions
9 Replies
3K Views
Je, wewe ni mfanyabiashara unayependa kuitangaza biashara yako na kuvutia wateja wako? Je, unaweza kumuelezea mteja wako ndani ya sekunde 5 kuhusu biashara yako na akakuelewa bila maswali yoyote...
1 Reactions
1 Replies
868 Views
Baada ya kusoma kwa kuunga unga kwa msaada wa ndugu jamaa na marafiki nilifanikiwa kufaulu chuo kikuu na kumaliza kwa grade nzuri by then kazi enzi za mkapa zilikuwa bwerere, nikakamatia kazi...
10 Reactions
24 Replies
3K Views
Kwema wajumbe? Kama kawaida miji ina tabia ya kukua na kufifia, mfano mji wa Bagamoyo na kilwa kwa miaka ya kuanzia 1800 ndio ilikuwa miji Mikubwa kibiashara kwa Africa mashariki na pwani yote ya...
7 Reactions
42 Replies
9K Views
Ndugu wana JF, Katika harakati zangu za utafutaji nimepata kama 7 million, nikafikiria biashara ya kifanya nikapata wazo la biashara ya UPAKAJI RANGI MAGARI. Naomba kupata gharama wa hii...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Sijajua wameanza lini hii kampuni ila nimeona ipo sana maeneo ya stand. Yaani wao wanauza maji hawauzi chupa. Unakwenda na kigudulia chako aidha pia chupa ya maji ya kawaida then wanakukingia...
5 Reactions
45 Replies
4K Views
Biashara niifanyayo sasa iko vizuri tu kiasi nnaweza kuweka akiba ya kutosha Sasa nipo njiapanda hatua ipi ifuate? 1. Ninawaza kuanza ujenzi kwa hatua...!!msingi...kati kisha kupaua 2. Nifungue...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Ukosefu wa Uaminifu katika Biashara ndiyo tatizo kubwa sana linalo gharimu sana katika biashara, Biashara nyingi sana zimekufa kutokana tatizo hili. Uaminifu unamaana kubwa sana ktk nyanja hii...
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Nina mtaji wa milioni 1, nataka kufanya biashara ya nguo kwa hapa Dar es Salaam. Je, nifanye nini kwanza cha msingi? Mchango wa mdau Kila la kheri. Anza na nguo za kike..tembelea vyuoni na...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba kujuzwa hatua za kufuata nikitaka kununua pesa za kigeni kwenye mabenki?
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Wadau napenda kuuliza hivi nikifungua biashara ya huduma ya uwakala wa kutuma miamala na ofisi yangu ikawa na huduma hizi kwa makadirio ya chini naweza pata bei gani kwa mwezi? Tigopesa Mpesa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari Tanzania ! Naomba kutoa ushauri, mawazo na mchango wangu kwa wale wote wapenda mazingira mazuri, afya ya mwili na maisha, ubora wa ardhi na maendeleo kwa taifa. 1. Vifungashio vya...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Aug 5 (Reuters) – Gold extended its rally above the key $2,000 an ounce level on Wednesday, hitting a fresh record high as a weakening dollar and falling returns on U.S. bonds added fuel to a...
0 Reactions
3 Replies
695 Views
Habari za wakati huu? Kuna mambo mengi sana ambayo mtu anaweza kuyafanya katika maisha yake hapa duniani, lakini hata kama utayafanya yote ila usipofanya jambo moja tu basi hakuna umuhimu wa wewe...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu nawasalim kwa jina lipitalo majina yote. Kama kichwa cha habari kinavyosema naombeni mchanganuo wenu kati ya bajaji ya abiria na bajaji ya mizigo ipi inafaida kubwa na ipi yenye ubora...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Nataka kuanza biashara ya kuuza tube za magari. Naombeni ushauri, changamoto na size za tube ambazo zinatoka haraka kwa wale wenye uzoefu na hii biashara. Pamoja na utokaji wake dukani...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wazungu kwanza tukubali ni watu wajanja sana na IQ zao sio za kawaida yaani kwanza tu kutitawala hiyo ni kigezo tosha. Wazungu walikaa chini wakaona moja ya njia za kufanya watu hasa Waafrica...
48 Reactions
75 Replies
9K Views
Habari zenu wakubwa,leo tena kijana wenu nimekuja mbele yenu naomba ushauri kwa mtu ambae anauzoefu na hii biashara ya online (kutangaza na kuuza bidhaa mitandaoni ), kwani nimekuwa nikivutiwa...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Ndugu zangu naomba msaada: 1. Jinsi ya kufungua online TV 2. Jinsi ya kupata pesa kupitia Online TV 3. Ni aina gani ya vifaa vizuri vya kutumia na wingi wake. 4. Ni aina gani ya watu wakuendesha...
3 Reactions
11 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…