Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wanajamvi, natumaini mmeamka salama. Mimi pia, nipo kwenye computer yangu nachapisha haya maneno. Katika pitapita zangu, nilikutana na hili swali leo asubuhi, kwenye X account ya rafiki...
10 Reactions
44 Replies
4K Views
Wakubwa mtu akipata deal la laki 3 Dar es salaam, ni kama mpya hajawahi fika na hana sehemu yeyote ya kufikia. Kwa mshahara wa laki 3 anaweza Toboa Dar?
10 Reactions
52 Replies
2K Views
Nahitaji laini za wakala Tigo. (TigoPesa) Halotel (halopesa) Vodacom (m pesa) Airtel (Airtel money) Kwa atakayeweza kunisaidia Nipo Dar es salaam
6 Reactions
9 Replies
4K Views
Ndio wadau wawekezaji nimeona hii fursa je ni positive au negative ? Wataalamu wa biashara na masoko ya hisa njooni
1 Reactions
18 Replies
635 Views
Imekua nikama uvivu ama kutojitambua kwa watu wengi juu ya kuwa na wazo la biashara lakini kuianzisha biashara yenyewe inakua mthihani kweli kweli na hii kasumba sijui ni kwa biashara kubwa tu au...
1 Reactions
3 Replies
482 Views
Kuna wimbi kubwa la usambazwaji na uuzwaji wa vinywaji feki vya Highlife katika maeneo mbalimbali ya mji wa moshi unaofanywa na wafanyabiashara wasiowaaminifu. Hatua hiyo inatishia uzalishaji na...
0 Reactions
4 Replies
833 Views
Mwaka huu nimejitesa sana aisee. Kifupi mshahara wangu ni 900k take home. Niliamua kujitusu kwa mwaka huu kwa kila mshahara niupatao nasevu 600k nilianza kama utani vile pia kazini kuna allowance...
102 Reactions
213 Replies
17K Views
Habari wakuu, Nahitaji kufanya biashara yakuagiza vitu tofauti na kuuza kwa mtindo wa mnada kama wafanvyo hao kina Chris lucos, biashara za ramsek
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Amani iwe nanyi, Nahitaji kufungua duka la vitu vitamu tu kama Candy, Chocolate, Chewing gums, nakadhalika, Naomba kujuzwa wapi napata vitu hivyo kwa jumla jijini Dar es salaam? Natanguliza...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari wakuu! Kwa anaefahamu wapi bidhaa kama pipi chocolate nk zinapatikana maeneo ya dar kwa bei ya jumla... Kama ni kkoo ni mtaa gani? Asanteni
0 Reactions
2 Replies
325 Views
Tuzo ya Fagus Rick’s Bank ya Sayansi ya Uchumi kwa heshima ya Alfred Nobel, ambayo mara nyingi huchukuliwa kuwa Tuzo ya Nobel ya Uchumi, hutolewa kila mwaka kwa wachumi waliotoa mchango mkubwa...
1 Reactions
0 Replies
185 Views
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara. Ila comment na ushauri mwingi kutoka...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Msaada wenu namna ya kumpata mdau ambae ana tengeneza milango halisi ya mninga.' Asanteni.
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Ndugu zangu Mimi ni mtumishi wa umma, mshahara wangu ni kati ya laki 5 mpaka 6 kwa mwezi nikiondoa makato na Kodi Hivi Sasa naishi kwenye mkoa wa kawaida kutokana na location ya ajira , hivyo...
10 Reactions
52 Replies
2K Views
Kama una wazo la biashara na unahitaji pesa (mtaji), andika kwenye sehemu ya comment kwa ufupi na kwa namna ya kuvutia! Kama una pesa (mtaji) lakini huna wazo (idea), tafadhali tuma ujumbe (PM)...
3 Reactions
7 Replies
326 Views
Last week nilipita pale nikapata zangu Samaki na Mihogo swaaaafi kabisa. Hio ni baada ya kuona matangazo mbali mbali instagram kuhusu Aslay Mihogo Vijana kuweni wabunifu, huyu anakuchanganyia...
15 Reactions
113 Replies
4K Views
Naom,ba kuuliza ni jinsi gani watu wanaandika mawazo yao na kufanikiwa kupata udhamini kutoka selikalini au makampuni binafsi na kufadhiliwa ili kuendeleza au kufanya yale m,awazo alioyawakilisha...
0 Reactions
5 Replies
554 Views
Habari Nataka kuanzisha brand yangu ya mavazi hususani t-shirt kama ilivyo Kwa jux African boy, au bdozen born to shine, Kwa mwenye uzoefu na hii industry anaweza kunipa ABC mfano uagizaji wa...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Tushirikiane tuweke orodha ndefu ya aina za viwanda vidogo ambavyo mtu anaweza kuanzisha katika jamii yake, mkoa wake au nchini kwa ujumla. Tuwe serious; 1. Toothpick industry 2. Take away plates...
11 Reactions
169 Replies
100K Views
wadau naompango wa kuanzisha kiwanda kidogo cha maji ya kunywa huku mikoa ya kusini,naulizka ule mtambo wa kuchemsha na kuchuja maji pamoja na kuyafunga kwenye makopo unauzwa wapi na unaweza kuwa...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…