Katika miaka ya karibuni ukuaji wa teknolojia ya kidijitali umezipa nchi nyingi faida mbalimbali za kibunifu ambazo zinazochochea maendeleo ya watu na ukuaji wa uchumi.
Moja ya teknolojia hizo...
Habari za kazi wapambanaji mimi ni mkazi wa Dodoma mjini nilipoanza mwaka 2020 nliandaa mpango wa kufungua saloon ya kusuka ifikapo mwezi March mwaka huu lakin ilipofika huo mwezi ikawa...
Habari yenu wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 29, elimu yangu ni shahada ya kwanza.
Ni hivi baada ya kuhangaika kwa muda mrefu kutafuta kazi bila mafanikio yoyote, hivi karibuni...
Salamu wajasiriamali,
Kama mada inavyojieleza.
Ninaishi mkoa mmoja wapo wa Kanda ya Ziwa. Nina kahela kidogo nafikiria niingie vijijini wanakolima mpunga kwa wingi nikanunue magunia kadhaa...
Habari
Niko hapa leo kushare experience yangu na nyie wanajamvi kuhusu hili jambo najua wengi wenu sio geni kuwahi kukutana nalo na wengine ni geni kukutana nalo je? ushawahi kujiuliza samaki...
Mtaji,maarifa na uzoefu ni vitu vitakufanya uiyone biashara ni rahisi kufanya.
Kuna wakati unajalibu kusimama peke yako katika biashara unajikuta unayumba katika vitu kadhaa.
Unatamani...
Habari wana JF.
Naomba kupata Mwanga kwa yeyote ambaye amewahi kuagiza Bajaji (JVC) Mpya toka India (Kiwandani) au kupitia kwa mawakala wao wa kimataifa. Mambo ambayo natamani kuyajua ni haya...
Bulk SMS ni huduma ya kutuma ujumbe wa SMS kwa watu wengi kwa muda mfupi.
Kwa kutumia huduma ya bulk sms unaweza kutuma idadi ya sms moja kwa watu wengi zaidi kwa wakati mmoja.
Huduma hii ufanywa...
Habari zenu ndugu zangu
Mimi nimepata idea ya kuanzisha kikundi cha wanaume. Kikundi hicho kitamhusu mwanaume pamoja na jamii. Kikundi hiki kitaanzisha miradi mbalimbali kwa mfano viwanda...
Dear all
Have registered for a new paypal account using the CRDB debit card and that my account was charged by paypal US$ 1.95 and the code sent to the bank. On requesting the bank statement I do...
Asee kuna fundi wa tailes baada ya kufanya kazi kapewa mabaki ya tailes 60*60 kama sehemu ya malipo yake anapatikana hapa Mwanza sasa anataka kuniuzia kwa bei pungufu ya 30000/= box ambapo zimo...
Nimejaribu kuangalia kwenye ripoti mbalimbali za kiserikali (Wizara ya Fedha) na Benki Kuu Ya Tanzania n kugundua kwamba, katika kipindi cha miaka mitano 2015/16- 2019/20 serikali imeshindwa...
NMB declares 48bn/- dividend to govt, shareholders
THE government and other NMB Plc shareholders will pocket 48bn/- dividend payment this year which is equivalent to 45 per cent increase...
Habarini za majukumu!
Naomba kufahamu masoko nafuu ya vifaa vya kielektronik vya mtumba mfano TV, Laptops nk.
Nataka nianze kufanya biashara ya vifaa vya kielektronik vya mtumba.
Hapajawahi duniani kua na biashara iliyofanikiwa ila ni watu waliofanikiwa wanaoiendesha biashara~Nahau ya Uchina
Hawa watu waliofanikiwa wanaoifanya biashara ifanikiwe ndio wakoje!?Nawapata...
Za saa hizi humu wadau, aisee naomba mnisaidie kujua bei ya viazi mviringo /Ulaya Kwa gunia moja la kilo Mia Kwa Dar es Salaam .
Au mwenye namba za simu za mfanyabiashara au dalali anayeleta...
Wakuu,
Natumai mnaendelea vyema na mapambano dhidi ya kirusi huyu.Mungu atusaidie tulishinde hili jaribu.
Mimi ni mdau mzuri katika ufuatiliaji wa mambo ya uchumi.Napenda sana mambo ya uchumi...
Ndugu zangu naombeni ushauri mini ni kijana nipo Dar Es Salaam eneo la ubungo naomba ushauri ipi inafaa kati ya biashara hizo mbili ambazo ni boda boda ya kuendesha mimi kama mimi au uwakala wa...
UTANGULIZI
Wakuu; hivi karibuni Waziri wa Fedha Dr Mpango alialika watu kutoa maoni yao kuhusu mambo wanayoyaona kuwa ni kikwazo (au vikwazo) kwao katika kufanya biashara na akaahidi kuwa serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.