Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari, Naamini muwazima wa afya njema Pia nadhani hili ndio andiko langu la kwanza basi niseme happy new year Katika biashara watu wengi hufanya kwa njia na mbinu mbalimbali kutegemeana na...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Najua hili sio jukwaa la biashara ila kutokana na jukwaa kuwa active sana nimependa niweka uzi wangu hapa hivo naomba isipigwe kapuni na viongozi. Husika na mada hapo juu napenda sana kuanza hii...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari ndugu zanguni wana jf,nina sarafu 3,mbili ni hela za msumbiji miticals 5,na kwacha 5 je ni kiasi gani icho
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, naombeni mnijuze kuhusu mtaji na taratibu za kuanzisha channel za tv, mfano wa eTV, EATV na kadhalika.
0 Reactions
2 Replies
810 Views
Wakuu habari! Naomba kujuzwa bei ya zao la Ufuta kwa wilaya ya Mkuranga mwaka huu. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mm ni mjasiliamari mtarajiwa, natarajia kuanzisha biashara ya kukodisha pikipiki Kwa mkataba. Natarajia kuanza na pikipiki 10 ambazo nitawapatia vijana walio katika vikundi. Nitawapatia Kwa...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari wananzengo, Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili, wa masomo chuo fulani Cha serikali huko Dodoma,naenda straight to the point kwamba nataka nifanye saving ili panapo uhai mwakani moja ya...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Ndugu zangu nataka kufungua Kampuni ya matangazo ambayo itakuwa inahusiana kutangaza biashara za watu na makampuni tofauti tofauti. Hivyo naombeni ushauri ni vitu gani vya kuzingatia lakini pia...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu mimi ni kijana ambaye nina ujuzi wa kutengeneza magari licha ya kwamba sina uzoefu wa kutosha katika hii fani pia ni mwanafunzi wa mechanical engineering ngazi ya diploma. Hivyo nimetokea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau Natafuta mahali ninapoweza kupack bidhaa zangu katika mfumo huo, vacuumed packed... Kilo 20, 40 Ni shida ya haraka sanaa Asanteee
0 Reactions
3 Replies
846 Views
Wakuu wenye uzoefu na ambao mko ndani ya hii biashara naombeni insights za jinsi ambavyo mna handle clients kuanzia step ya kuwalipisha pesa hadi mnapomaliza biashara husika. Kikubwa nataka kujua...
6 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari. hakika Mapambano yanaendelea. Kama upo mbeya au sehem yoyote ya jirani na una Pikipiki(boxer au Tvs) au una wazo la kuwekeza katika usafiri huu. Basi tunaweza kubaliana deal.tukakabidhiana...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Nia ya challenge hii ni kubadili mawazo mgando ya kuwa bila mamilioni huwezi kuishi sio kweli. Wakati unangoja hayo mamilion tafuta buku basi usionekane mzigo kwa wengine. Jibu langu hilo hapo...
5 Reactions
36 Replies
5K Views
Aibu na Uoga ni janga kubwa sana. Asikuambie mtu, mtu asikuambia mimi sina mtaji ila ukweli ni Aibu na Uoga. Kuna Mtumishi mmoja Baba yake na Mkurugenzi wa Jamiiforums aliwahi tuambia mafanikio...
83 Reactions
130 Replies
16K Views
Wakuu naomba kufahamu kama kuna yeyote aliyeagiza mzigo kutoka Marekani hivi karibuni nahitaji kufahamu kama mizigo inafika au bado?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu. Vipi mnaendelea na majukumu ya kuendesha miradi yenu. Nikiwa nina miaka kumi sasa ndani ya ushauri wa biashara hasa jinsi ya kuanzisha, kuendeleza, kubadili na kuipa mwelekeo mpya na...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Ndugu habari zenu Ninataka kufanya biashara ya kuuza gesi ya kupikia majumbani. Yaani kama Oryx, Taiga etc. Ninapotaka kuuzia ni Manzese. Naomba ushauri wenu juu ya namna ya kupata huo uwakala...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za muda huu. Nahitaji kuagiza simu yangu binafsi kenya, kama vile tujuavyo wanauza simu bei rahisi sana tofauti na huku kwetu. Nakuomba kama ukishawahi kufanya hivyo ukaipata simu yako...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanajukwaa, Heshima mbele. Nimekuwa nikiona mpango wa baadhi ya watu kujijengea desturi ya kuweka akiba kwa mfumo ambao unajulikana kama 'kibubu challenge'. Baada ya kujifunza namna unavyofanya...
5 Reactions
5 Replies
4K Views
Kichwa cha habari chajieleza, mimi ni Mtanzania nipo wilaya ya Kasulu huku vijiji vya ndani kabisa. Ninahitaji kufungua ofisi ya kuchaji simu, kurusha nyimbo kwenye simu na kubarn cd kwa kutumia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom