Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

#Roadlife_ hints by Thomas B Mwamfupe Katika kukumbushana tu,unajua kama wewe Trucker ni muwakilishi wa kampuni yako kule unakotumwa kupeleka mzigo, kama hukulijua hili basi ujue toka leo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
GTs, Nakuja kwenu na hisia. Usalama barabarani barabara ya Kwenda Bukoba kupitia Chato kwa muda sasa imekua na maafisa usalama barabarani wenye nia ovu ya kuhakikisha mabasi yaendayo Bukoba...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Natafuta mkopo wa kiasi hicho tajwa hapo juu. Kwa haraka msaada please, sitaki bank sababu ni shida ya haraka. Contact me 0716 026077
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari zenu wadau? Nije kwenye mada? Humu jf Naona kuna watu wameibuka wana hela kubwa kubwa wanataka ushauri wa kufanya biashara!. Mi naomba kujua mbona wanazidi tu kulikoni mara leo huyu ana...
8 Reactions
66 Replies
6K Views
People lie, numbers don't faida: ndio sababu watu wanafanya biashara na ndio kitu pekee wengi wameshindwa kukielewa vizur au kukiongelea kwenye biashara hio ya duka. Approximately pato la...
4 Reactions
11 Replies
15K Views
Habar za humu wanajamvi?! Naomben msaada wenu kwenye hili. Nataka niwe na-deposit nusu ya mshahara wng wa kila mwezi kwny account ya benk. Lakin bado cjajua kama kuna benk inayotoa huduma ya...
2 Reactions
92 Replies
17K Views
Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoonesha, Nilikuwa naomba Kwa mwenye kufahamu makao Yao hawa Watu Kwa hapa TANZANIA na utararibu wa receive pesa iliyotumwa kutoka nje ya Nchi.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Miaka kadhaa nyuma kuku aina ya Kuchi walipata jina sana. Bei yake ilipanda kweli kweli hadi ikafika tzs. 500'000/- kwa kuku mmoja. Mlio bahatika kuwanunua hao kuku njooni mtupe feedback, hao kuku...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
WATAALAMU wa vyombo vya uvuvi nchini wataanza kuajiriwa kitaifa na kimataifa, baada ya Bunge kuridhia mkataba wa kimataifa wa viwango vya mafunzo na utoaji vyeti kwa wafanyakazi wa vyombo vya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu kwenye harakati za kutafuta maisha huwa tunajikuta tumeingia kwenye hasara kubwa ambazo hatukutegemea. Je, wewe ni hasara ipi uliyoipata
2 Reactions
3 Replies
913 Views
Habari wana JamiiForums, Kwa mud wa miezi karibu mitatu sasa nimekua nikiumiza kichwa kuhusu kufanya biashara. Nimefikiria biashara nyingi sana katika kipindi chote hicho ila biashara pekee...
7 Reactions
22 Replies
14K Views
Habari za mida wakuu. Japo nipewa ushauri wa kuendelea na masomo ili nimalize semester moja iliyobaki lakini kusema kweli roho yangu bado haitaki kwenda kusoma make nimenogewa kwenye ujasiria...
5 Reactions
73 Replies
6K Views
Wakuu katika biashara hizo mbili ipi ina faida?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu, dhana inayofanyika mpaka mtu anapata UTAJIRI kutoka kwa mganga. Hii ipoje kwa anayejua? Pia, mie najiuliza hawa waganga huwa wanaona nini hasa kipindi wanamuagua mtu. Kama wewe...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Mimi nadhani ni sehemu za kuuza vitu vingi vingi kwa bei nafuu kiasi. Mimi naamini ukiamua kukomaa na minada unaweza toka na hela nzuri sana tu. Nadhani kuna mikoa na mikoa yenye minada mizuri...
39 Reactions
51 Replies
17K Views
Asalaam aleykum, Naomba mwenye uzoefu au uelewa wa biashara ya spea za bajaj na bodaboda anisaidie mawazo. Ninataka sana kufanya hii biashara lakini sina taarifa zake sahihi. Nataka niifanyie...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hello again, business personels Nashukuru sana kupitia thread yangu awamu ya kwanza nilikuja kuomba ushauri kidogo juu ya biashara ya kufanya. Nipende kutoa shukran sana kwa waliotoa michango...
7 Reactions
64 Replies
8K Views
Ikiwa dunia inapitia kwenye mtikisiko mkubwa wa kiafya na kiuchumi baada ya kukumbwa na janga la corona. Tumeshuudia biashara, ajira, uwekezaji nk vikiporomoka. Lakini wanasema penye kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uchumi wa Viwanda kinyumenyume? Mwaka ulioishia Novemba 2015 Tanzania iliuza Nje Bidhaa za Viwanda (manufacturing exports) zenye thalami ya USD 1.4 Bilioni. Mwaka unaoishia April 2020 Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
856 Views
Katika mambo ya msingi kwenye biashara ni kuhakikisha kwamba unakuwa na wateja.Ili kuweza kuwa na wateja ni lazima uwatafute na unapowatafuta lazima utumie mbinu za uhakika na za kisasa katika...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom