1. Barber saloon.
Lots of Nigerians are much skillful and very creative but they keep ignoring this business. Starting up a local saloon is not tedious and it quite affordable.
2. Farming.
A...
Mambo vipi wadau?
How is the feeling this Sunday evening?
Hapa Arusha ni kibaridi kwa mbaaaaali hii jioni. Nimetupia Maasai shuka nimetulia living room and it feels good man.
Kama kawaida kila...
Ndugu habari,
Nimemaliza chuo mwaka jana sasa nina shahada ya kwanza ya Ualimu katika masomo ya Hisabati na Kompyuta. niliporudi nyumbani mwaka huu niligundua kuna fursa ya kuzoa taka katika...
Habari wakuu,
Nina plan ya kufungua duka lenye mchanganyiko wa bidhaa za umeme na ujenzi. (electrical and hardware)
Ila ndio naanza hii biashara , sipo established kivile, naanza kama mid sized...
Mimi ninaishi mkoani Geita na ninajishughulisha na uchimbaji wa madini ya dhahabu kalibuni ndani ya uzi huu kwaajili ya kufahamu usichokijua na mimi kufahamu nisicho kijua kuhusu uchimbaji wa dhahabu.
Habari,
Kwa utashi, uzoefu, ujuzi na hekima zenu tafadhali naomba kufahamishwa taratibu na gharama za Ushuru wa Bandari wakati wa kutoa gari kwa Port ya Dar Es Salaam.
Nimejipigapiga na kuagiza...
Wanajukwaa nisaidieni naishi Dar. Kwa sasa vibaka wamekuwa wengi kutokana na hali ya upatikanaji wa fedha kuwa mgumu hivyo wamekuwa wakiingia home kubahatisha watakachoweza kuchukua mara kwa mara...
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Mimi kama kijana ninayepambana kutafuta ugali, nimeona fursa katika hii biashara ya miamala natafuta mtu mwenye mtaji wa kuanzia mil na kuendelea mbele ili...
Ninakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato.
Bado...
Ugonjwa wa korona (COVID-19) umebadili maisha ya watu wengi kwa namna ambazo hatukutegemea. Moja ya badiliko kubwa ni lile la kupunguza mikusanyiko, kubaribiana na wengine kuathiri mipango ya...
Habari zenu,
Ni matumaini yangu mu wazima kabisa na wenye safi na salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba namtafuta mtu ambaye yupo makini na ambaye anapenda...
Kwa muda huu kila jambo ni gumu kwa sababu hakuna aliyeona au kuhis haya yangetokea ktk kizaz chetu. Ila yameshatokea na yametupa mafundisho ambyo hakuna aliyewahi kufkir angeyasoma kwa njia ngumu...
Habari wanandugu,
Mimi sijasomea Uchumi ila nikitumia ufahamu wangu wa kawaida kupitia elimu niliyopewa na walimu wangu wengi wakiwa ni wa UPE 😂😂😂😂 sioni kama Tanzania itaingia kwenye huo uchumi...
Wakulima wa pamba wameshavuna pamaa yao tayari ila hawaoni kama wahusika wako tayari kuinunua pamba yao.
Lini ununuzi wa pamba unaanza kwa sababu kukaa na pamba ndani ya nyumba ni hatari sana...
Nilikuwa naomba kufahamu ni mkoani gani ambao una mbegu nzuri ya kuku wakienyeji kwa ajili ya kufuga na bei za hao kuku zikoje.
Na gharama za usafirishaji zikoje ?
habari
Kuna rafiki yangu (mwanamme) amehamia Moro anahitaji mtu wa kuchangia Mtaji wafanye Biashara
Anayetakiwa;
Awe na Biashara au wazo zuri la Biashara inayo weza kufanyika Morogoro
Awe na...
Habar wakuu,
Nina laki saba na nusu nipo Mwanza je kwa uzoefu wenu wakuu naweza kufanya biashara gani?
Binafsi nilikuwa nawaza kuchoma kitimoto ila sijajua kama kwa mtaji huu na hata nje...
Samahani wanaJF,
Nilikuwa naomba mnisaidie na mawazo au labda uzoefu kwa namna Moja au nyingine kutokana na fursa zinazopatikana baada ya kupata cheti cha kuanzia Diploma ya Uhandisi wa umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.