Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Kinondoni imetoa miezi miwili kwa wafanyabiashara wa nyanya, vitunguu na viazi mbatata kutumia vipimo vya mizani kama inavyofanyika kwenye mazao mengine badala ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu habari naomba msaada. Kuna rafiki yangu kaniomba msaada ili apate uwelewa zaida kuhusu mkopo atakao uchukuwa bank NBC, je hajawaelewa kimahesabu vizuri au vipi! kenda kuomba mkopo nbc kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimekuwa na wazo la kuanzisha magazine na target market ni wanawake. naomba ushauri natakiwa nifanye nini kuanzisha magazine. Je,kuna pahala pa kuregister or how to go about it? Nasubiri...
0 Reactions
30 Replies
8K Views
Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki. Sasa nimekuja kwenu wana jf...
0 Reactions
6 Replies
891 Views
Asalam wanajukwaa, Nimeona nilete kwenu mjadala wa uhusiano kati ya ukosefu wa masoko hasa kwenye bidhaa za kilimo na ukosefu wa ajira Ukiangalia haraka unaweza usione link iliyopo kati ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi naitaji mashine ya kujaza upepo na kuchomea kwa kutumia gesi Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
530 Views
Nimejaribu kuuliza watu mbalimbali kuhusiana na uwasilishaji wa mawazo ya biashara au ujasiriamali. Majibu niliopata ni nenda COSOTA. Mtazamo wenu unasemaje kuhusiana na njia ya sajili na...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Habari zenu ndugu, naomba kuelekezwa soko la screpa za electronic kama vile printer na photocopier machinesn.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hi JF! Baada ya kujipanga kibiashara sasa nataka kukuza mtaji naplan kuchukua M2.Marejesho yatakuwa shilingi ngapi Kwa mwezi? Napenda kujua kutoka Kwa wazoefu kabla ya kwenda huko benki...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wanajamii. Natafuta contacts za waagizaji Sukari nchini yaani wafanyabiashara wenye vibali vya kuingiza sukari. Nina shida nao sana na ni haraka.. Kama unawajua naomba tafadhali nipatie...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakubwa. Nahitaji cement isiyopungua mifuko 600 kutoka kiwandani hivyo naomba kujua bei na gharama za usafirishaji kwenda Simiyu.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu Salaam; Hii kazi ya barakoa na sanitizer imekua kilio tu saivi. Mwanzoni mambo yalikua safi, ukilala ukiamka hela hii hapa, ni tofauti na sasa hivi. Serikali ingetoa updates za maambukizi...
7 Reactions
68 Replies
9K Views
Asee wadau wangu wa jamii forums bila shaka mko salama. Za SIKUKUU pia Ni njema kwa jina la mola. Wanajamvi ninaomba ushauri wenu Nina shilingi milioni 1,700000 mahali flani hivi. Nimekwa nawaza...
0 Reactions
50 Replies
11K Views
Wadau mimi ni mjasilimali mshonaji wa suit ni fundi mzuri sana na nnataka nianze kujtegemea kwenye ofisi yangu binafs na nnataka niwe maarufu na nitengeneze brand wenye uzoefu wanipe mawazo. Wadau...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Biashara nyingi zimejifunga kwa kipindi hiki. Mtu kachukua mkopo wa biashara na pesa zote kaziwekeza kwenye biashara. Biashara imejifunga kwa sababu zilizo juu ya uwezo wa binadamu wote Duniani...
1 Reactions
0 Replies
519 Views
CHAMA cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Dodoma, kimesema japo serikali haijawafungia watu ndani, lakini hali ya biashara mkoani hapa imeendelea kuwa mbaya siku...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau, kuna hawa jamaa wanajiita XCITE wanadai wako Mombasa Kenya, wanauza Iphone kwa bei rahisi sana. Sasa ishu ni kwamba unalipia nusu kwa mpesa, paypal etc then unamalizia pale utakapoletewa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bila shaka mu wazima wa afya. Naomba mwongozo wa Mambo yafuatayo. 1. Ushuru wa kusafirisha mbuzi kutoka wilaya moja hadi nyingine ukoje? 2. Inaruhusiwa kusafirisha kwenye gari ya abiria (kwenye...
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa kama Serikali inaruhusu uingizwaji wa Cement na Clinker kutoka nje ya nchi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wanna jf. Kuna mtu amenijia na wazo la kufungua kampuni ya usafi baada ya kuitwa kwenda kwa mwanasheria Fulani kwenda kumfulia nguo na kumfanyia usafi ambapo anasema alimlipa elfu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom