Poleni na majukumu wapendwa.Mimi ni mwanafunzi kwa sasa nipo Sweden nafanya kadegree ka Engineering Survey,Ndoto yangu ni kwamba baada ya shule nirudi nyumbani na lengo ni kujiajiri.Natamani sana...
Habari wana Ndugu,
Tunatofautiana ufahamu, ulipoishia wewe kufikiri ndio mwanzo wa mwingine. Hizi idea tano nimezifanyia zote uchunguzi kwa kiasi na nimepata ufahamu wa hizi ideas kwa kadri ya...
Habari na poleni na majukumu ya kila siku.
Mimi ni mdau wa mda mrefu katika sekta ya madini nchini, nina miliki leseni kadhaa za uchimbaji mdogo yaani Primary Mining License (PML).
Kuna jambo...
EID MUBARAK.
Ali Express, Amazon, Alibaba, eBay wapo nchi gani?
Je watajwa hapo juu wana ofisi au maduka yao hapa Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wanaJF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 ni mwajiriwa wa serikali na nipo katika ajira kwa miaka 10 sasa. Kutokana na changamoto na kero za ajira niliona kama sijiskii kubaki...
Acheni kununua vitu mkononi hasa hasa simu, na vitu vya electronics isipokua tu kama mtu unamfahamu vizuri yaani ukiambiwa kamlete unafika na kubeba, ipo siku mtanishukuru, kama haumfahamu...
A miner in a diamond mine. Williamson Diamond Mine in Tanzania
has a 17 per cent increase in production in 2019.
Williamson Diamond Mine in Tanzania has announced a 36 per cent increase in sales...
Wapendwa mimi Niko mkoani nimekuwa nawaza saana kufanya biashara ya viatu vya mtumba mkoa wa kigoma.
wenye uzoefu kwenye biashara hii wanisaidie tafadhali nione naanzaje..
Khasante
I just announced that we're launching Facebook Shops today – the basic idea is that any small business can easily start a shop to sell things directly across our apps. If you visit someone's shop...
Wakuu habarini za uzima,kuna mwamba mmoja kanitumia picha ya mawe fulani yanayosadika kuwa ni madini kutoka huko kanda ya ziwa,je ni madini gani na soko lake lipo wapi??kwa yeyote anayeyafahamu...
Wadau wa forex kuna investor kanipa akaunti yake halafu tugawane asilimia ya kitakachopatikana kadeposit dola 3500$.
Ila kwa bahati mbaya bado sina uzoefu wa kutosha kwenye hii mishe .je msaada...
Kuongea Lugha moja ndio moja ya nguzo zinazo wasaidia Wahindi. Wahindi Familia nzima wakikaa huongea Lugha 1 tu. Lugha ninayo zungumzia ni Lugha ya Biashara na si Lugha, Kiswahili au Kichaga au...
Mjomba wangu alinunua Audi Q7 ya 2011. Akalipa ushuru kama milioni 45 wakati huo kwenye mtandao wa TRA ikionesha ina ushuru wa milioni 43.
Miezi miwili baadaye gari hiyohiyo ukiingia kwenye...
Wakuu JF natumaini wote mko salama.
Ninahitaji ushauri na msaada wako kimawazo. Jamani nimepata kama laki 4 hivi nahitaji kufungua banda la matunda.
Niambieni ni matunda yapi pendwa ambayo...
Habari wajasiliamali wenzangu,
Mimi ni mjasiliamali mdogo ambaye mwaka huu nilitaka nijikite katika kilimo cha mahindi pamoja kununua zao hilo.
Nimeshalima heka 5 na zinaendelea vizuri hadi sasa...
Homa ya corona imetikisa kila kona ya dunia hivi sasa. Tanzania nako si kisiwa kwani napo visa vya maambukizi vilianza kupatikana kuanzia mwezi Machi.
Katika nyakati za changamoto hii ni lazima...
Watu wengi sana wamekuwa wakitafuta huku na huko kujua ni biashara gani inalipa. Yawezekana wengi hatuelewi maana ya biashara inayolipa. Ukweli ni kwamba, biashara inayolipa ni ile ambayo ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.