Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Enyiiiii! Wanawke tambua kuwa mnamvuto wa kipekee sana kwenye biashara,mnaweza kujikusanyia wateja wa rika mbalimbali na jinsia zote kama mkitaka na kujirekebisha tabia ya nyodo na dharau kwenye...
2 Reactions
3 Replies
999 Views
Habari wakuu, Nina plan ya kufungua duka lenye mchanganyiko wa bidhaa za umeme na ujenzi. (electrical and hardware) Ila ndio naanza hii biashara , sipo established kivile, naanza kama mid sized...
0 Reactions
14 Replies
36K Views
Habari zenu wana jamii forum, ninaomba kama kuna watu wenye uzoefu wa kuagiza vitu online hususan katika aliexpress mnisaidie katika shipping adress,cna po box,halafu bado kuna vipengele bado kuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiangaika huku na huku nikitafuta platform ya kuweza kuuza bidhaa(products). Hangaika hangaika yangu nimefika mpaka Shopify huko kwa mabeberu na nikagundua bidhaa ninayotaka kuuza ni...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna Mwalimu mmoja tuna muita Bill ni Baba ake mtu maaludu sana Jf, aliwahi kutuambia kwamba Uoga na Aibu kamwe huwa haziko upande wa mafanikio, kwamba huwezi fanikiwa huku ukiwa na ainu na uoga...
3 Reactions
1 Replies
961 Views
Habarini wakuu wa Kazi Habari za Majukukumu. Niko katika kipindi cha kukamiliza ndoto zangu ni mda mrefu sasa nilikua na ndoto ya kuanzisha kiwanda kidogo cha mafuta ya kupikia yapatikanayo katika...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu habari yenu. Kuna vifaa vya stationary nimeachiwa na my brother, yeye kapata kazi mkoa mwingine so ameniachia ili niweze kuvitumia kwa biashara eneo alilokuwa anafanyia hiyo biashara mwanzo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ni hii Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi... Hivi kwanini kamisheni ya voda inapanda sana mwanzo wa mwezi unapofika katikati speed hupungua? Wakati miamala ni ile ile? Nimejiuliza sana hili swali lakin sipati jibu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Heri ya sikukuu ya Eid wapendwa. Ishu kubwa nilikuwa naomba wenye ujuzi wanieleweshe, kuhusu mambo haya; 1. Ni kampuni gani nzur kwa shipping na wanaoenda na wakati ama kusave time? 2...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu wanajamvi naomba mtu yeyote mwenye kuwa na mawasiliano (namba ya simu)ya hii kampuni ya FedEx anisaidie. Nimejaribu kutumia namba walizoweka kwenye web yao naambiwa hazipatikani na namba...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nitaacha hii kazi ya uwakala maana malipo mapya ya vodacom m pesa mwaka huu wa fedha yanakatisha tamaa. yaani tsh 40, kwa muamala. ni hasara. kama voda wamekosea waseme
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Peace everybody! Leo tunakutana tena katika darasa muhimu kabisa ambapo leo nitajibu swali je, inawezekana Kutengeneza pesa kama Freelancer au ni kupoteza muda tu? Jibu la swali hili ni muhimu...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Habari. Nahitaji kufahamu Bei ya mifuko (zipper bags) yenye ujazo wa kilo 2 na kilo 5. Rangi sii lazima iwe khaki...Picha ya mifuko nmeambatanisha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Tabia ni nini:Tabia ni mambo au matendo ya kimazoea ambayo unaweza kuyafanya au kutokuyafanya bila kutafakari,kuhofia au kujali matokeo yake.Ni utaratibu uliozoeleka na kukubalika kwa mtu mwenyewe...
4 Reactions
5 Replies
5K Views
Habari wana JF! Bila connection hapa duniani huwezi kutoboa. Naombeni mwenye connection na biashara ya ku import wine and sprit toka South Africa au India tujuzane hapa Asanteni. Sent using...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Elewa kwamba kama huna product mkononi hakuna atakaye kusikiliza. Huwezi leo hii ukaenda kwa Azam juice ukaanza kumwambia eti je nikilima maembe utanunua? Aisee wanaweza kukufukuza kabisa...
7 Reactions
9 Replies
2K Views
Mitandao ya kijamii ni muhimu sana katika kukuza biashara mbalimbali. Kuna njia nyingi za kufanya promosheni ya bidhaa au huduma zako, na miongoni mwa hizo ni matangazo ya kulipia. Lakini unaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aliewahi kununua plots kutoka kwenye makampuni, zile ambazo unaanza na asilimia kidogo kidogo nyingine unamalzia kwa miezi kadhaa. Vitu gani vinatakiwa, unatakiwa ufanye nini, tofauti na watu wa...
0 Reactions
1 Replies
840 Views
Nina ndugu yangu yeye anaishi nje ya Tanzania siku ya jumamosi alinitumia hela ya iddy kupitia bank na halafu akanitumia picha za pay in slip. Sasa shida yangu ni kubwa ni moja na shida na hizi...
1 Reactions
6 Replies
955 Views
Back
Top Bottom