Moshi
Vikundi vya wajasiriamali wadogo wadogo mkoani Kilimanjaro vipo mbioni kunufaika na mkopo wenye riba nafuu uliotolewa na serikali kupitia shirika la hifadhi ya jamii Nssf kwa lengo la...
Nimekuwa nikiamini ktk mafunzo ya aina mbili hapa duniani..
Moja ni kufunzwa na watu/mtu.
Na pili ni kufunzwa na dunia/mazingira.
Ni vyema kuutumia uwepo wetu wa ufahamu ktk kujifunza,kuelimika...
Habari za majukumu Wana FF, natumaini Ni wazima wa afya, na wale wasio sawa kiafya Mungu awafanyie wepesi.
Nirudi katika Mada, Nahitaji rejeta ya compressor machine inayotumia hydrauric au...
Katika safari ya ujasiriamali huwa kuna changamoto nyingi sana lakini kubwa kuliko ni namna ya kupata wateja.
Unaweza kuwa na Bonge la Idea lakini bado usipate wateja,Unaweza kuwa na Product...
Habari za majukumu Wana FF, natumaini Ni wazima wa afya, na wale wasio sawa kiafya Mungu awafanyie wepesi.
Nirudi katika Mada, Nahitaji rejeta ya compressor machine inayotumia hydrauric au...
these go hand in hand in the 21st century. You simply cannot push people to innovate if you cant support mass production or manufacture & sell the "innovations, or better yet, create a marketplace...
Heshima kwenu wanajukwaa
Wahenga waliposema ukubwa ni jalala hawakukosea, walikuwa sahihi kabisa
Niko na wadogo zangu wa kike hapa baada ya kumaliza kidato cha nne hawakufanikiwa kufanya vizuri...
Mimi ni kijana ambaye nilihitimu chuo mwaka 2016. Sikubahatika kupata kazi ya fani niliyosomea. Niliamua kuingia mtaani hapa mafinga na kupiga kazi za mtaani kwa bidii na nikawa naweka pesa benk...
Kuna bidhaa nataka kuagiza nje kwa sababu hapa Tanzania nimetafuta nimekosa ila sijui unafanyaje nimejaribu kwa njia ya internet nimeshindwa kwa anayeweza kunisaidia kama kuna agent...
Jitihada ni kulifanya jambo bila kuchoka wala kukata tamaa. Kipaji ni uwezo wa kubuni jambo ambalo lotawaacha wengine wabaki waoh.
Wakati huu ni wakati wa kuunganisha jitihada na vipaji ili...
Habari wakuu,
Mji wa Singida hivi karibuni umekuwa mji unaokuwa kwa kasi zaidi na fursa nyingi za kiuchumi kuongezeka.
Karibuni wenyeji wa Singida na wanaoufahamu huu mji vizuri mtupe mengi...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Mawasiliano), Dkt. Zainab Chaula amezikumbusha taasisi za Serikali kutumia huduma za Shirika la Posta Tanzania (TPC) kusafirisha...
Habari wandungu
Nahitaji pilipili hoho za njano na nyekundu kwa bei ya jumla, mwenye nazo naomba ani PM tafadhali tufanye biashara. Napatikana Dar es Salaam.
Waziri wa Madini, Dotto Biteko ameipongeza Kampuni ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu – Geita (GGML) kwa kuwa mdau wa mfano katika kuchangia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Geita...
Habari za Ijumaa wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu.
Nimependwezwa na biashara hii ya tigo na vodarusha ila ningependa kujua vitu vichache kama ifutavyo:-
1. Mtaji mzuri...
Wakongwe habarini nina swali ambalo lina scenario mbili naomba ufafanuzi, ukingatia hapa ni Great Thinker forum
Scenario ya kwanza
Mimi naitwa Maduhu Wanduhu nimeanzisha kampuni yangu ya...
Habari zenu wadau mnaotumia simu kwa matumizi mbalimbali. Mimi pia nawashukuru Wazungu kwa kuleta hii technolojia ya kuwasiliana kirahisi zaidi.
Pamoja na hayo najaribu kuwaza hizi vocha za simu...
Habari zenu Wana JF
Mimi Ni kijana mwenye kipato kidogo kitakachoniwezesha kununua vifaa vya simu km covers, protectors na ear phones na kwa kuwa sina frame nawaza kuwa nazungusha mwenyew...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.