Salamu
Tukumbuke kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni
Moja kwa moja kwenye mada
Baada ya kujichanga changa nimefanikiwa kupata ki 1M nataka kuwekeza kwenye nafaka (corona ikipoa) kama mchele...
Habari, Wanajamvi
Ninahitaji kujua kama inawezeka kufungua Acc. ya PayPal kwa Tanzania (Details zote utajaza za Tanzania) na iwe ni kwaajili ya kuhifadhi pesa ila sio ku-withdraw kuja Tz (banned)...
Habari wanajamvi,
Je, kwa hali inayoendelea mnahisi kwa wakulima wa ndani ambao wanalima mazao ya bustani wameathirika au wanaathirika vipi kwa kipindi hiki na je, ikitokea lockdown itaathiri...
Hivi majuzi Kenya walionekana wakisafirisha mbogamboga na matunda kuelekea kwenye masoko ya Ulaya kwa kubadili matumizi ya ndege za aboria kuweza kubeba mizigo kufuatia upungufu wa abiria.
Hatua...
Habari ndugu wana JF,
Kwa mara kadhaa nimekuwa nikipata hamasa na kutamani kuanzisha profitable YouTube channel, ila imekuwa ikiniwia ngumu kutokana na kutokuwa mtaalamu wa haya mambo. Mwenye...
Habari zenu wakuu, mimi ni kijana ambaye kwa sasa nipo Diploma, natarajia nikijiunga na Degree mwaka huu Mungu akijaalia ile pesa ya boom niiwekeze. Nataka nifanye kitu kimoja kama tittle...
Wanajukwaa
Poleni na mihangaiko na taharuki inayotukumba kama Taifa.
Kuna mijadala mingi na mirefu humu inayohusu namna serikali inavyochukua hatua kukabiliana na ugonjwa wa korona .
Wengi...
Habari wana jamii forum ..!!
Tagu kuanza kwa janga hili la corona "COVD-19" mambo mengi pia yanaendelea kutokea na kushangaza ulimwengu.
Moja ya mambo hayo ni kuendelea kuporomoka kwa bei ya...
Bei ya mafuta ghafi ya petroleum katika soko la dunia yashuka hadi TZS 25,300 (US $11) kwa pipa, ikiwa ni kiwango cha chini zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 18.
Kupungua kwa...
Pale teknolojia inapokuja na uvumbuzi mpya, wanasayansi na waendelezaji wa teknolojia mpya huingia kazini wakitafuta namna nzuri ya kuiboresha zaidi, ili kuyafanya maisha ya watu yalete matumaini...
Wakuu za Asubuh kumekucha! Asubuh ya Corona...Stay home Stay safe wengi watanenepa kwa utapiamlo[emoji23][emoji23]
Bila kupoteza muda ningependa kupata angalau ufafanuzi wa baadhi ya biashara...
• Mahoteli
• Usafiri wa Anga
• Kumbi za mikutano
• Kumbu za Sherehe
• Utalii
•Stationary
• Shule za Private
• Biashara ya Catering
• Daladala
• Betting, Vibanda umiza
• Maduka yaliyo...
Habari za Jioni wana JF naomba niweze kupata platform gani Tanzania kwa sasa iko safe and Haraka kwa Kufanya manunuzi kwa Njia ya Mtandao?. Maana nasikia kwa Sasa KIKUU Wanasumbua sana.
ASANTE...
Hello kama inavyoeleza hapo juu changamkia fursa hii ya kutoa Mchanganuo wa kukuza na uendeshaji wa biashara ya Gas za majumbani. Hapa tanzania zawadi nono itatolewa kwa mshindi
Mimi nnapiga mishe ya duka la vitu mahtaji mbalimbali ya nyumban na vinywaji na vinginevyo
Nilipanga kutopumzika ili kukuuza mtaji wangu...na biashara ikue zaidi(hapa n kipindi biashara ipo chini...
Habarini, natumai mu wazima, nimekuja kwenu nina jambo langu nahitaji ushirikiano wenu.
Kwa kuanza mie ni designer nadili na Mechanical & Electronics. upande wa mechanical nadesign anything...
Habari
Kama MTU yuko kibamba katka eneo la viwanja vilivyopimwa na kampuni inayouza viwanja vilivyoshapimwa na MTU unataka aanze ujenzi
Je,ni muda gani na sh ngapi inatumika hadi upate kibali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.