Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Wakuu Naomba Tujadiliane Hapa, Najua Wengi Wetu Tu Tumefanya Uagizwaji Wa Logistics Mbalimbali Kutoka China. Mfano Mimi Nimenunua Vitu Kama Vitatu China Kabla Ya Kuzuka Kwa Ugonjwa Wa CoronaVirus...
1 Reactions
63 Replies
8K Views
wakuu natumani ni wazima wa afya samahani me ni mjasiriamali mdogo natafuta soko la kuku wa kienyeji kwa ambae anahitaji ani PM nipo Dar es salaam kigamboni. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Natumaini wote ni wazima wa afya. Mimi nataka kuagiza gari Japan kuna kampuni inaitwa YOSHIDA AUTO ila nimesikia njia nzuri ili nisitapeliwe initumie Pay Pal. Sasa naombeni msaada hiyo huduma...
0 Reactions
69 Replies
18K Views
Watanzania rahisi ni ghali sana. Zipo aina ya investment zinaendelea ndani ya taifa letu ambazo kwa wenye akili tuna maswali mengi yakujibiwa. Embu jiulize mtu anakuwa na shamba la matunda nakuwa...
2 Reactions
1 Replies
937 Views
Wakati dunia ikiendelea kupambana na janga hili la corona lilokuja kwa kasi na kuenea katika nchi mbalimbali katika mabara yote duniani ningependa kupata mawazo yenu juu ya sehemu za kuwekeza au...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Niliahidi kuendesha shidano la kumsaka mtu mwenye wazo bora kila mwezi na kutoa mtaji mdogo ili tuweze kukwamuana kama vijana. Niliahidi kuboresha shindano hili aidha kwa kuongeza...
6 Reactions
47 Replies
4K Views
Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwanza hebu tufahamu maana ya neno lenyewe Saikolojia ni kitu gani, Saikolojia ni elimu ya akili au nafsi. Kwahiyo saikolojia ya fedha ni elimu ya jinsi tunavyoichukulia fedha ndani ya akili zetu...
12 Reactions
7 Replies
7K Views
Kiuhalisia janga hili zaidi limeathiri wajasiriamali wadogo wadogo, watumishi tuambueni mmeathirika kwa kiwango gani kama ni mwadilifu kazini, usije tuambia kuna ziada wakati unasubiria tar 30...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Mwaka huu mwaka wa neema sana, japo changamoto hazikosekani kabisaa. Wale wenzangu na mimi wa kununua mazao na kuyatunza na kusubiri bei ipandee mwaka huu mnatakiwa kitumia hesabu kali sana za if...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari. Huwa serikali inajitengenezea fedha zake yenyewe? Je, ni kwanini isiprinti pesa nyingi za kutosha kila mwananchi apate? Au kuna siri gani hapo? Sent using Jamii Forums mobile app
4 Reactions
16 Replies
38K Views
Greetings ndugu zangu wa JF. Kama kawaida leo nipo hapa kutoa darasa jinsi yakufanya pesa isikauke mfukoni [emoji383]. Kwasababu.....tena tuache utani pesa ni muhimu sana kwenye day to day life...
21 Reactions
39 Replies
5K Views
Habari za jioni wana jamvi mm ni kijana wa kitanzania ambaye napambana na hili janga la umasikini, nina bajeti ya 50ml nahitaji kujenga Lodge ya kiwango cha kati Room zisizopungua 7 reception na...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
BAADA YA CORONA NI KUINUA UCHUMI WA NCHI. Leo 13:15pm 24/03/2020 Ikitokea moto halafu ukazimwa utabaki Moshi na muda si mrefu Moshi utaisha na hali ya hewa itarudi kama kawaida,Corona imepita...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Music video production ni moja ya plan zangu nilizopanga kuanzisha ndani ya mwaka huu,hadi sasa bajeti yangu ni hiyo milioni 85,hapo nyuma niliwahi kuwa na studio ndogo ya kushoot matukio kama...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habarini wapendwa Naomba mwenye ufaham kuhusu hii biasahara ya uuzaji wa nywele anifahamishe je ni wapi nitapata kwa bei rahisi na mtaji natakiwa nianze na kiasi gani? Ahsanteni Sent using...
2 Reactions
7 Replies
14K Views
Wasalaam. Kati ya hizi benki naomba kujua ipi nzuri na kwanini in general kwa upande wa huduma na mengine mengi yanayohusu huduma muhimu za kibenki. STANBIC ECO BANK BOA BANK STANDERD CHARTERED...
1 Reactions
31 Replies
11K Views
Katika harakati za kijasiliamali mtambo huu unaweza kuwa tija kwa wajasiliamali. Mtambo huu umeundwa maalumu kwa ajili ya kuendesha mashine ya kawaida ya kunyolea ambayo inatumika katika ofisi...
5 Reactions
16 Replies
3K Views
Niko kwenye mchakato wa kufanyiwa Tax Clearance ili nipate lesseni jianze biashara. Sasa Je, kwenye kukadiria inakuwaje? Mambo gani ya muhimu kuyazingatia isije kula kwangu? Msaada please Sent...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu habari za mida? Naomba msaada leseni yangu ya biashara ya kampuni imeisha na unatakiwa kufanya annual return brela, na sijafanya biashara kabisa kutokana na kitegemea fund mahali inagoma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…