Habari za Kazi wajuzi,
Mimi naomba kufaham faida za hii business (Biashara ya YouTube channel/V Blogger). Mimi nataka nifanye kwa kutoa masomo ( Mathematics tutorials for college students)...
Ndo nishamaliza hata sina maneno mengi,maana kila mtu huyu anasifia huyu anaponda,anaesifia Yashamkuta ila anakwambia hakomi ndio life style yake(shauri lako),ana eponda yeye yashamkuta na amekoma...
Wiki jana tumeona ufunguzi wa maonyesho katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya. Tukio hilo muhimu lilileta pamoja wanafunzi na waalimu wa vyuo na taasisi mbalimbali za mkoa wa Mbeya...
Bei ya mafuta imeshuka kwa asilimia 30, kiwango hicho ni kikubwa tangu mwaka 1991 wakati wa Vita vya Ghuba, baada ya Saudi Arabia kuamua kushusha bei.
Hatua hiyo inaonekana kama kujibu hatua ya...
Natumai wote ni wazima na mnachukua hatua za kujihami na corona virus
Moja kwa moja kwenye mada, tusaidiane nataka kufanya maamuzi ya kuweka makazi ya kudumu kwenye moja ya miji tajwa hapo juu...
The private sector is bumping on hardship moment after Covid-19’s tragedy which is still happening and no one knows the forthcoming. Business volumes have abruptly dropped yet the fixed costs have...
Habari wadau.
Nilikuwa na wazo la kufanya biashara ya kufungasha mchele kwenye kilo 5,10 na 20 na kuuza kwenye fremu. Je, kwa biashara ya aina hii natakiwa kuwa na vibali vya aina gani kutoka...
DHAMANA ZA MUDA MREFU (TREASURY BOND)
Sehemu ya kwanza tulijadili kuhusu dhamana za muda mfupi (treasury bills) na tukaona ni jinsi gani zinaweza kumuingizia mtu kipato.
Leo tutajadili kuhusu...
Msaada kama kuna mtu ashawahi fanya biashara kupitia Kikuu.
Je, shipping yao wanaleta kweli au ndio unasubiri mpaka unasahau kama ulinunua kitu Kikuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wakuu!
Naomba kuuliza Ni jinsi gani ninaweza kuifanya biashara ya samaki wa mwanza (sangara) inipe faida?
Na ni maeneo gani hapa nchini biashara hii inalipa?
Sent using Jamii...
Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa wana bodi, mimi ni wakala wa M-Pesa, kwa muda mrefu nimekuwa naingia hasara bila kujua inatokana na nini.
Kwa mfano, nina laki tano kwenye simu na nina lako...
Habari zenu wanaforum hii
Hakuna jambo jema na lenye furaha kama kuwekeza katika biashara au ujasiriamali na mambo yakakuendea vema kwani mafanikio ni ndoto na malengo ya kila mmojawetu pindi...
Mimi ni mwanafuzi, nategemea kumaliza chuo mwaka huu ila lengo langu kubwa ni kufanya biashara hapa mjini na sitaki kurudi nyumbani.
Naomba mwenye uelewa na mawazo kuhusu biashara za viatu na...
Habari zenu ndugu zangu wanaJF
Nina idea ya biashara ya usafirishaji mizigo, sasa naomba mnijuze kuhusu hii biashara.
1>Je, gharama ya uendeshaji ikoje?
2>Je, vipi biashara hii hapa tz?
3>Je...
Habari wadau naombeni ushauri...
Mimi ni kijana ila Mungu alinijalia ajira ya muda mfupi nikapata pesa nyingi. Sasa nimefungua biashara 2 hapa Dar na zinanilipa, ila tatizo kubwa ni kwamba...
Wiki iliyopita wanawake barani Afrika walisherehekea Siku ya Kimataifa ya Mwanamke. Siku hii muhimu husherehekea mafanikio ya mwanamke kijamii, kiuchumi, kiutamani na kisiasa na kuchagiza mjadala...
Jamani naomba ushauri kuhusu biashara ya kusafirisha abiria nilkuwa na mpango wa kununua hiace ambayo ni used nasikia Dar kuna yard zinauza hiace used.
Basi naomba ukweli kuhusu hili la hizi...
Jamani magroup ya biashara FB? Yamedorora sana wengi mmeliona hilo tatizo?
Nakumbuka 2017, 2018, mpaka 2019 mwezi November palikua moto yaani matangazo na biashara vilikua vinatrend balaa, yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.