Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Naomba kujua gharama za vifungashio vya bidhaa ndogo ndogo kama hvyo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Natafuta Kampuni au taasisi inayozalisha o kusambaza pembejeo mbalimbali za kilimo ili niwe wakala wao wa bidhaa zao kwa mkoa wa Mbeya. Nina uzoefu wa kutosha wa kuendesha biashara huyo na nina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati nipo Instagram niliona post ya application moja inayoitwa KwikPay. Kwa mimi ambaye napenda sana kutumia app nikasema ngoja ni icheki mara moja na kujua uzuri wa app hii. Hii ni app...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika harakati za kuweza kujiweka kiuchmi na kuyasongesha maisha mbele, nimeona niwekeze tena kwenye kufungua mashine ya kukoboa na...
1 Reactions
36 Replies
27K Views
March 5, 2020 Meneja Msaidizi Dawati la Kutatua Migogoro Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Ganga Mlipano, akielezea Kanuni za kumlinda mteja wa huduma za fedha zilizoanzishwa tarehe 22/11/2019...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Zaidi ya Habari na PPR-SADC Investment Forum Kituo cha Uwekezaji Tanzania, TIC, kimepongezwa kuongoza katika uwekezaji katika sekta, ya viwanda, unaotumia tekinolojia za kisasa kabisa za...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Kama mada inavyojieleza hapo juu, kuna mtu mmoja kaniletea sasa mimi sijui ni mawe gani haya, naomba kama kuna watu wazoefu wa mawe waniambie haya ni madini gani? na pia soko lake liko vipi kwa...
0 Reactions
23 Replies
13K Views
Wakuu habari za humu ndani wanaharakati wenzangu naombeni mawazo Nina kajipesa kangu kama 10 million nataka nikakuze walau kawe kana kua lengo ni kumiliki ofisi binafsi kwa maana duka sasa sijajua...
2 Reactions
2 Replies
936 Views
Habari zenu, Naombeni msaada, nifungue kipi kati ya M-Pesa na duka la rejareja? Mtaji wangu ni 700k Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
24 Replies
8K Views
SCANIA IKO TAYARI KULETA MABASI YANAYOTUMIA GESI YA ASILI NCHINI TANZANIA. Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Scania Tanzania Lars Eklund akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Vyeo vya juu vyote viko kwa wakenya ina maana wa Tz kumbe hatuwezi? Mr. Alfonse M. Kioko Group Managing Director & CEO Alfonse Kioko is the Chief Executive Officer of Precision Air Services...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Habari wana JF!! Nimekua na hili wazo mda kidogo yaani kifungua duka la kuuza samani za ndani kama meza, makochi, viti,vitanda,mashuka na mengine kama hayo. Kwa wenye uzoefu tafadhali naomba...
1 Reactions
22 Replies
12K Views
Mwana JF tupeane uzoefu wa haya mambo. hivi unapokuwa na jambo unalodhamiria kulitimiza ni vitu gani hasa unavizingatia unapotaka kufanikisha malengo yako. Karibuni Tuelimishane Jamani Sent...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuweka dhamana ama kukopesha pesa nayo ni matumizi. Usihesabu pesa uliyoweka rehani kwasababu kuna risk kubwa ya kuipoteza. Tunahitaji elimu ya fedha zaidi, mtu kuwa rafiki ama ndugu haitoshi...
1 Reactions
1 Replies
971 Views
Jamani naomba kujuzwa haya ni madini gan au kuna aina ngapi hapa kwenye haya mawe Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi ni kweli kabisa mtu anaweza kuwa na millioni 1 mpaka 5 halafu hana cha kufanya, wakati anazikusanya hata hana idea yoyote ya kufanya. Nahisi utakuwa hauko serious, kweli najaribu kuwaza...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Ni kitu gani muhimu sana ili ufanikiwe kwenye wazo lako la biashara? 1. Capital 2. Strong Team 3. Idea 4. Businese Plan 5. Timing Comment namba ya jibu ambayo unahisi ina umuhimu kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Naona nichokoze mada leo kuhusu hasara na gharama ya uchaguzi. Kabla sijazama katika mada nisisitize kwamba MAISHA NI MACHAGUO.Kwa mafano unapochagua kusoma andiko hili basi kuna andiko...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimetembelea mabucha mengi sana hapo Dar Mwenge na Kariakoo ndio vinara wa wizi wakifuatiwa na wa Shekilango, Mabibo, Goba Mwisho, Africa sana (mabucha ya nyama na samaki lao moja) Ukienda...
8 Reactions
14 Replies
4K Views
Back
Top Bottom