Asasi za Kiraia (CSOs) ni wadau wakubwa katika maendeleo kwa nyanja zote; kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na hata ki-teknolojia. Wafadhili (donors) hutumia Asasi za Kirai kama njia (channel) katika...
Kwa kawaida tunakuwa na mipango ya muda mrefu au kujiwekea malengo unayotaka kuyatimiza baada ya muda fulani.
Binafsi nilikuwa na mpango wa kufungua saloon ya kike mwezi Aprili mwanzoni kabisa na...
Wakuu,
Kuna biashara nawaza kuianzisha, sasa kwa mazingira ya sasa ya nchi yetu na kwa mustakabali wa biashara husika, njia ipi ni bora?
Kufungua biashara na kuiendesha kama mtu binafsi au...
Baada ya kukaa maeneo ya machimbo kwa kipindi flani nimeona na nimefanya vitu vingi. Vingine nimeandika hapa:
Sitasahau biashara ya uchimbaji ilivyonifilisi
Na hii:
Jamaa walivyo dhamiria kuniua...
Najishunghulisha na biashara ya duka. Everyday hua naumiza kichwa vipi nitaongeza pesa zaidi hapa dukani. Leo asubuhi wakati natembea likanijia wazo la kuanza kuuza juice za kutengeneza na...
Nimekuwa nikifanya biashara ya kuuza maziwa fresh ya ng'ombe wa kienyeji,
Changamoto inayonipata n kwamba maziwa yanatoka mbali kidogo ya mji sasa wakat mwingine yanakatika yanapokuwa sokoni
NB...
In 2010, I met a man who was worth in 2007, $100M from starting his own business. What I didn’t know in 2010 was that the man, who would later become my friend, was actually bankrupt and homeless...
Niko mbioni kutaka kununua gari ndogo kwa matumizi binafsi na kikazi ndani ya mji na nje ya mji(Smooth roads and Rough roads). Ninadhani ni SUZUKI JIMNY ni gari Ndogo, Nzuri na...
Hili ni swali ambalo huwa nakutana nalo mara kwa mara ninapokuwa katika shughuli zangu hasa pale ninapomsaidia mtu kuanzisha biashara. Mara nyingi wanaouliza swali hili ama huwa wanataka kujifunza...
KUANZISHA BUSINESS DEVELOPMENT UNIT (BDU)
Kuungwa Mkono
Pongezi nyingi sana kwa serikali kwa mambo makubwa yanayoendelea kufanyika nchini. Hayahitaji hata kutangazwa kila mtu anaona na kusikia...
Habari bandugu
Nina biashara yangu nataka kutangaza Instagram kupitia zile 'Sponsored Ads' nimejaribu kutafuta msaada Google bila mafanikio, mwenye uelewa au uzoefu jinsi inavofanyika naomba...
Halmashauri ya mji wa Kahama na TRA, fanyeni tathmin ambazo Haziwezi kuwa mzigo Kwa wafanyabiashara, haiwezekani mtu anajipeleka kukadiriwa halafu mnaweka kodi pasipo maridhiano mazuri wakati...
Habari za asubuhi
Leo nataka nilete hoja ambayo najua wengi wetu tunaifahamu ambayo inaitwa Planning,katika biashara na katika maisha.Wahenga wamewahi kusema KUSHINDWA KUPANGA/KUJIPANGA ni...
Kuna Jamaa yangu licha ya kumkatisha tamaa ya kujiunga kwenye Q-Net bado anaendelea kunitumia picha za watu wake walio kwenye hiyo business kwa madai kuwa watu wanapiga pesa wananunua magari...
Habari
Nina kiwanja changu hapo pembeni ya jiji nataka nichukulie mkopo bank kihasi kama 2M.
Sasa nawaza biashara gani ambayo inaweza kuniletea pesa haraka ya kulipa deni kwa wakati mimi...
Habari zenu wanabodi.
Bila kupoteza muda wanabodi. Ni kwamba mwaka 2018 nilifungua duka la vipodozi, nywele bandia za kila aina pale Ubungo.
Nilianza na mtaji wa 2M mbali na hela niliyolipa...
Habari wanajamvi,
Naomba maelezo jinsi ya kuanza mchakato wa kupata vibari vya kusafirisha dagaa kwenda nje ya nchi. Ieleweke wazi kuwa Mimi ni mfanyabiashara mdogo sana hivyo ni vyema kuniongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.