Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari zenu wakuu, Nina mtaji wa sh milioni kumi, nahitaji kufanya biashara nchini Congo. Mimi nilikuwa na mawazo ya kufanya biashara ya vitenge kutoka Congo na kuleta Tanzania na biashara ya...
0 Reactions
17 Replies
14K Views
Habari wakuu. Awali ya yote naandika nikiwa nimekwazika sana dhidi ya Kampuni hii dhalimu yenye riba ya kinyonyaji dhidi ya watumishi. Nimewaaomba wanipe salio lao ili niwalipe niachane nao...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Between Dangote and Abramovich, who do you think is richer? And why exactly are you looking for the richest among these two great business men? Dangote is the richest black man on earth according...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kisemavyo. Nina mtaji wa Milioni 3. Walio serious na biashara, waaminifu, wapambanaji waje na IDEA tuzalishe 40,000/= kila siku. Iwe biashara halali tulipe kodi n.k...
12 Reactions
82 Replies
21K Views
Habari wadau! Kabla sijaingia kwenye biashara zilizorasimishwa, kuna mambo kadhaa nahitaji kuyafahamu. Je, naweza kutumia jina la biashara la kawaida (lisilokuwa kampuni) Ku import bidhaa kwa...
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Habari JF! Kwanza naomba nitoe pole sana kwa wale ambao nchi zao zimekumbwa na janga hili la Corona. Pia, tuliombee Taifa letu Mungu aliepushe na janga hili. Tuwaombee na viongozi wetu wasimame...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kutoa elimu ya Kodi kwa wafanyabiashara wa mkoa wa Mbeya katika kampeni maalumu ya Elimu ya Kodi mkoa kwa mkoa. Kampeni hiyo iliyoanza tangu Machi 9...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu kama kichwa kinavojieleza hivi nataka kujua mfano hii mitambo ya sola mfano mobisol, zola na mingne sasa kama umekopeshwa mtambo umeambiwa ulipe ndani ya miaka mitatu sasa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ndugu zangu, mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na naelekea kumaliza chuo ifkapo mwezi wa 7 mwaka huu 2020. Nina mawazo kichwani mwangu huku likiwa wazo kuu ni kwenda kutatua...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndugu wanajukwaa, Mwaka jana nilikuwa nafanya biashara ya M-Pesa mara baada ya makadirio ya kodi kutoka TRA.Kwa mwaka huu sitaki kuendelea na hii biashara. Swali langu:- Je, nikienda TRA...
0 Reactions
5 Replies
962 Views
Msaada wakuu. Naomba kuuliza: Kwa upande wa TIN Namba ni nyaraka gani au vigezo gani unatakiwa kuwa kuwa navyo ili kufanikisha hilo? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
7K Views
When JPM took office, those countries who benefitted most on the natural resources from Tanzania thought it will be business as usual. They did not realize that the nicknamed ''Bull dozer'' is in...
1 Reactions
1 Replies
870 Views
Takwimu zinaonyesha kwamba Tanzania imepitia kipindi kizuri cha ukuaji wa kiuchumi katika muongo mmoja uliopita na kuifanya hivi sasa kuwa moja ya chumi zinazokua vizuri katika eneo la Afrika...
1 Reactions
0 Replies
593 Views
Samahanini wakuu, hivi hakuna njia za online za kuongeza kipato chako ukiachana na kubet? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Dar es Salaam. Benki ya CRDB imeongeza muda wa marejesho kutoka miezi 60 hadi 84 huku ikishusha riba kwa asilimia nne kwa wateja wake, hasa wafanyakazi. Benki hiyo imeshusha riba kutoka asilimia...
10 Reactions
125 Replies
31K Views
Je, unaelewa nini kuhusu LEVERAGE? Unafahamu kwamba kuna tofauti kubwa kati ya kutafuta NETWOTK na kutafuta WORK? Je, unajua ni furaha katika maisha kuweza kufanya kazi kidogo na kutengeneza...
1 Reactions
67 Replies
6K Views
Zaidi ya asilimia tisini ya biashara zinazoanzishwa na watu ambao bado wako kwenye ajira zinashindwa kukua au zinakufa kabisa. Hili ni tatizo kubwa sana ambalo linarudisha watu wengi nyuma na...
3 Reactions
29 Replies
12K Views
Hivi vitu vitatu ni changamoto haswa katika ujana wetu, kwenda kwa umri ni kana kwamba tunashushuliwa tukue kiuchumi hali ya kuwa umaskini unatuvuta mashati. Ni ndoto ya kila mmoja wetu kuwa na...
7 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wadau, naomba kujuzwa bei ya hiyo mashine ya juice ya miwa na biashara yake vipi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwa wajasiriamali wengi huwa tunajikuta tunakuwa busy muda wote,hakuna cha week end wala week day ni mwendo wa kazi tu. Ingawa ni jambo la kawaida ila sio jambo zuri. Mjasiriamali yeyote lazima...
5 Reactions
3 Replies
927 Views
Back
Top Bottom