Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari wana JamiiForums Naomba kujuzwa na kupewa muongozo kuhusu biashara hii ya kusafirisha bidhaa kutoka Tanzania kwenda Marekani, Canada, England na South Africa Naomba kupewa muongozo jinsi...
8 Reactions
65 Replies
44K Views
The 6-Month Savings Accelerator: How Top Earners Use Psychology to Double Their Wealth Supercharge Your Savings: Double Your Wealth in Six Months Tired of living paycheck to paycheck? Do you...
0 Reactions
0 Replies
268 Views
Meneja wa Bei na Bidhaa kutoka Vodacom Tanzania, Ipyana Mwankemwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya VYB Balaa! Mtu ni Connection! ambapo vijana wenye umri kati ya miaka 15 mpaka 28...
0 Reactions
1 Replies
245 Views
Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa kampuni ya Vodacom, Abednego Mhagama akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni ishirini kwa mshindi wa kampeni ya Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi Bi...
1 Reactions
1 Replies
244 Views
Wakuu wa jamvi, kwanza poleni na msiba. [emoji120] Naomba kutoka kwenu kujua gharama za mtaji wa mashine ya kusaga na kukoboa nafaka kama mahindi, mchele n.k. Napendekeza pia kushirikishwa...
3 Reactions
39 Replies
58K Views
Hivi kweli hawa wahamasishaji wanataka mambo yote katika kuanza na kufanikisha Biashara? Naamana yote? Mimi niache kwanza nijifunze kwako! Karibu!
3 Reactions
18 Replies
415 Views
Niko katika ufunguzi wa Akaunti ya Kikundi ila ninapata huu ujumbe
3 Reactions
4 Replies
294 Views
Ni hivi pesa ya Zambia kibongo bongo samani yake, ipoje na kuchenchi kwake
3 Reactions
16 Replies
495 Views
Skuizi imekuwa kama fashion tu kuona wafanya biashara wadogo kwa wakubwa, makampuni Hadi taasisi mbalimbali kuwa na account za mitandao ya kijamii(Facebook, Instagram na YouTube).. Na wengi wao...
4 Reactions
6 Replies
414 Views
Namna sahihi ya kupata wateja na kukuza biashara yako
0 Reactions
2 Replies
249 Views
Mwenye uelewa au ushuhuda wa huduma ya mkopo inayotolewa na Platnum Credit.
0 Reactions
8 Replies
349 Views
Wakuu heshima kwanu. Mwenye uzoefu na biashara ya simu za mkopo au agent wa simu za mkopo kutoka Easybuy au Watu simu naomba tuwasiliane. Nitakulipa gharama za usumbufu. Please DM
1 Reactions
5 Replies
760 Views
Mikopo husaidia zaidi kwenye Expansion, sio kuanza from zero Kama ni kuanza biashara mpya Inapendeza zaidi kuanza biashara kwa mtaji wako au sehemu ndogo sana ya mkopo ili upate uzoefu, uzijue...
1 Reactions
4 Replies
314 Views
Daah! Nakumbuka kitambo hicho kidogo nikiwa nimemaliza form six nikiwa na miaka 20. Baada ya kuona elimu ya bongo nimiyenyusho eti nitumie cheti cha form four baada ya kupata div three six...
1 Reactions
12 Replies
364 Views
Jipatie kava za sofa kwa bei nafuu Zipo kava za kawaida Kava ya mmoja 30,000 Kava ya wawili 40,000 Kava ya watatu 50,000 Pia zipo kava za marinda Kava ya mmoja 40,000 Kava ya wawili 50,000...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Habari wakuu, Nataka kuanza kufanya hii biashara ya vitenge kutoka Zambia, kuna Jamaa anaifanya biashara hii aliniambia ina faida yeye alianza na mtaji wa milioni 1.5 mpaka sasa mtaji umefikia...
11 Reactions
101 Replies
4K Views
Habari wadau naomba zilipo yard za tipper truck howo,faw na scania mende au yard au ofisi zao kwa dar Thanks
1 Reactions
4 Replies
426 Views
Wadau habari. Kwa mtu yeyote yule anaifahamu vizuri biashara ya nywele zinazotoka nchini China naomba anifahamishe, sina uelewa kabisa na hii biashara. Ningependa niifahamu vizuri nione kama...
1 Reactions
104 Replies
77K Views
Baada ya maradhi sugu, hakuna kitu kinachokosesha amani kama kuwa na madeni. Hili jambo linatia stress ya hali ya juu mno. Na mbaya zaidi ni kuwa stress hii inakufanya ushindwe ku focus kufanya...
36 Reactions
78 Replies
6K Views
Mambo vipi wakuu mko poa?!! natumaini mko salama. Kwa wale wazee wa forex naombeni msaada ni broker yupi ambae unaweza uka-deposit na ku-withdraw pesa kupitia mitandao ya simu ya Tanzania. Pia ni...
5 Reactions
127 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…