Habari wadau wa jukwaa letu pendwa la Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Leo tuangalie na kuambiana(kuelezana)namna gani kila mmoja wetu aliefanikiwa au hajafanikiwa bado katika kufanya biashara au...
Why dont yhe government apply elimination of zeros
Currently
1 usd =2300tsh
After eliminating zero
1usd =230tsh
Then our lowest will be 5tsh instead of 50tsh
And our highest currency will be...
Citation Utangulizi
Hapa nataka kutoa summary ya mambo ya kuzingatiwa katika energy policy ya nchi, kama haya yamo kwenye policy yetu ya energy (If we have anyway) je kamati ya Bunge katika...
Waungwana naombeni mnisaidie ninataka kufungua kiwanda cha kati je natakiwa kusajiri wapi na wapi ? Sijapata information za kutosha juu ya usajiri na gharama zake anaefahamu tafadhali.
Wananchi hawakuwa na uelewa mpana kuhusu Ujamaa na kujitegemea, wala Azimio la Arusha. Walidhani mali ya umma ni mali isiyokuwa na mwenyewe, hivyo hakuna aliyekuwa tayari kuilinda, walidhani kuwa...
Nataka kujua iwapo nanua kitu online mfano Amazon au ali express pengine kinauzwa $50,na nitahitajika kujaza namba za visa card yangu.Nataka kujua mtu hawezi kuzitumia hizo namba za visa card...
wakuu naomba kujuwa ni hatua zipi natakiwa kufuata ili kuweza kushiriki katika maonyesho ya nanenane yaan taratibu za kupata banda nk. nianzie wapi, na kama unajua gharama zake naomba nijuze. ahsante
Wajasiriamali wafanya biashara na wachumi nishaurini kuhusu hii biashara
Nina idea ya kufanya biashara ya juice,bites,maziwa fresh,mtindi ,maji ,soda na matunda
Kodi ya frem nimeambiwa Ni 50k...
Heshima kwenu nyote.
Nina uhitaji wa kufanya biashara ndogondogo ila tatizo mtaji sina hivyo wadau mwenye kazi yoyote naomba anipatie ili nipate mtaji wa kuanzia. Kazi yoyote ya malipo kwa siku...
Tanzania vyombo vya habari havijui kuripoti habari👆👆👆 hata theastafrican newspaper inavishinda. Eti mahakama kuunganishwa na mkongo wa taifa👎👎👎 badala kuchambua upanuzi wa mkongo wa taifa katika...
Hawa jamaa wametapakaa mitaa yote.
Nimejaribu kuwalinganisha na watafutaji wengine hawa wako aggressive na wanakomaa bila aibu wala kujishuku huku wakiwa na sura zilizojaa ari mpya, kasi mpya na...
Nawasalimu wote wana jf
Nina gari (hiace) ambayo nataka kuitumia kibiashara hapa jikon Dar
Naomba ushauri je?!! Naweza kuitumia katika biashara gan jijijin yenye faida atleast kusukuma haya...
Niende Moja Moja Kwa Moja kwenye hoja. Kwa Walio na uzoefu na hii kitu, gharama Zake zipoje hasa gharama za uendeshaji (operation cost)
1. Gharama za umeme (basis 1000 blocks)
2. Gharama za...
kuna simu nataka kununua aliexpress na wasafarishaji wake ni DHL na inaonekana hawa jamaa sifa yao kubwa wako faster sana. wananiambia ndani siku 15 ninakuwa nimeisha ipata simu yangu. na simu...
Let's imagine scenario,I have $60 in my pocket.Iam in a new City and i have no friends/connections.I have lots of free time and can see hundreds of people around(I'm in a city).
Now how i do get rich?
Naitwa Lisa ni mwanafunzi. Nina mawazo matatu ya biashara.
1. Kuuza huduma ya kusafishia masinki ya chooni yenye uchafu sugu pamoja na tiles.
Hasahasa kwenye bars, gesti, mashuleni na nyumba za...
Kwema wakuu.
Bila shaka mnamalizia wikiendi kwa utulivu kabisa.
Niende kwenye swali langu moja kwa moja kuwa hivi ninapo nunua/agiza body la gari bila chasis kutoka nje ya nchi kuja hapa...
Tuseme wewe ni mfanyabiashara wa kiume unauza bidhaa au huduma fulani. Unaenda ofisi fulani binafsi au taasisi ili uwin tenda au uuze bidhaa/huduma yako.
Unakutana na binti/mdada/mmama ambaye...