Habari za mchana wanakubwa zangu leo nimekuja na swali tena,
.
.
.
Nimepata wazo lakutengeneza pop corne ya vannila,ni biashara ambayo anaifanya rafiki yangu lakini yeye center huko Town..
.
.
.
...
Juzi nilipost humu kuhusu fulsa ya biashara ya mahindi Rwanda lakini response naona imekuwa ndogo nawalioonyesha interest hawako serious at all.
Mfanyabiashara mwenye uwezo wa kusupply mahindi...
Habari wana JF?
Naamini wengi wanaouza either duka au wajasiriamali wadogo wadogo watakua wanajiuliza hili swali, wengi hatuna majibu kamili (hasa tusio na ujuzi wa uhasibu/biashara)!!
Wataalamu...
Habari wadau,
Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
Naomba muongozo nataka kwenda china kuchukua mzigo wa Jeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa? kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
Wanajukwaa,Tafadhali mwenye mawasiliano ya Kapunga rice project limited anisaidie,Hawa wanahusika na uzalishaji na kupaki mchele wako kijiji cha Kapunga wilaya ya Mbalali jijini Mbeya...
Habari wana JF, naomba kufamu kama kuna uwezekano wa kufungua duka la bidhaa ya matumizi madogo madogo ukiwa na mtaji wa Tsh. 1,000,000. Mawazo yenu ni mhimu sana.
Kuna mwenye ufahamu kuhusu hili, nakumbuka kuna wakati walifuta kodi kwenye kompyuta je iko hivyo kweli?
Kuna wakati niliagiza laptop battery na RAM kutoka amazon nikapigwa kodi je kwa laptop...
Wana Jfm naomba kuelekezwa kwa upande wa EFD machine,Nafanya mauzo kwa wateja ambao hawana TIN namba na VRN.Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka jina la mteja ili nikimkatia mteja risti jina...
Serikali Iache Upotoshaji Takwimu za Pato la Taifa
Ndugu Wanahabari,
Mtakumbuka Kamati Kuu ya ACT Wazalendo iliyokaa Oktoba 27, 2017 ilifanya uchambuzi juu ya hali ya uchumi wa nchi yetu, na...
Hali vipi Wadau!
Nilitaka kujua namna ya kupiga hesabu duka la reja reja, yaani kujua faida iko vipi kama umeweka msimamizi. Hesabu haijapigwa tokea mwaka jana mwezi wa kwanza na kama tunavyojua...
Kwa anayependa kuwa na kiwanda au kampuni ya kutengeneza vyoo vya plastic vinavyohamishika please chukua hili wazo. Anza kulifanyia kazi.
Soko
1. Uswahilini
2. Vijijini
3. Sehemu zenye mikusanyiko...
Jiajiri kwa kuanza kutengeneza power bank, generator, jiko nk kwa kutumia mkojo kama chanzo cha nishati mbadala.
Part 1
Hii ndio dunia watu wengi , watu wachache.
Habari za jioni wakuu!
Naomba niulize moja kwa moja hili swali ili niweze kupata majibu na mchanganuo kwa kina.
Ni hivi......
Je, ninaweza kufungua kampuni kwa ajili ya kumwagizia mteja vitu...
Nikumbushe kisa kimoja cha ukweli kabisa ingawa ni cha siku nyingi. Yupo mchaga mmoja ambaye alikuwa amebahatika kupata ajira hapa Jijini, baada ya muda fulani akaamua kutafuta sehemu ambayo...
Za saa hizi jamani
Kuna vifaa nauza bado vipya na kwa packaging yake
Drip tapes(mipira ya kilimo cha umwagiliaji) kwa mita 1000 tsh 230,000
Greenhouse 12 by 20 mita na insect net yake tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.