Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Habari za mchana wanakubwa zangu leo nimekuja na swali tena, . . . Nimepata wazo lakutengeneza pop corne ya vannila,ni biashara ambayo anaifanya rafiki yangu lakini yeye center huko Town.. . . . ...
7 Reactions
25 Replies
7K Views
Habara za muda huu wakuu..wale wazoefu atleast niwe na mtaji kias gani ili niweze anza ,na je vp biashara ya computer pale kabwe ghorofani ?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Juzi nilipost humu kuhusu fulsa ya biashara ya mahindi Rwanda lakini response naona imekuwa ndogo nawalioonyesha interest hawako serious at all. Mfanyabiashara mwenye uwezo wa kusupply mahindi...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wana JF? Naamini wengi wanaouza either duka au wajasiriamali wadogo wadogo watakua wanajiuliza hili swali, wengi hatuna majibu kamili (hasa tusio na ujuzi wa uhasibu/biashara)!! Wataalamu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau, Kuna wawekezaji wanataka kuwekeza Tanzania au popote Africa katika sekta ya nishati, je ninaweza kupata wahusika au kama kuna wadau humu tufanye kazi?
0 Reactions
1 Replies
696 Views
Naomba muongozo nataka kwenda china kuchukua mzigo wa Jeans, bajeti yangu nina million 5 tu. Ntafaanikiwa? kwa wenye uzoefu naomba msaada wenu Tafadhali.
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Wanajukwaa,Tafadhali mwenye mawasiliano ya Kapunga rice project limited anisaidie,Hawa wanahusika na uzalishaji na kupaki mchele wako kijiji cha Kapunga wilaya ya Mbalali jijini Mbeya...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wana JF, naomba kufamu kama kuna uwezekano wa kufungua duka la bidhaa ya matumizi madogo madogo ukiwa na mtaji wa Tsh. 1,000,000. Mawazo yenu ni mhimu sana.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Kuna mwenye ufahamu kuhusu hili, nakumbuka kuna wakati walifuta kodi kwenye kompyuta je iko hivyo kweli? Kuna wakati niliagiza laptop battery na RAM kutoka amazon nikapigwa kodi je kwa laptop...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wana Jfm naomba kuelekezwa kwa upande wa EFD machine,Nafanya mauzo kwa wateja ambao hawana TIN namba na VRN.Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka jina la mteja ili nikimkatia mteja risti jina...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Serikali Iache Upotoshaji Takwimu za Pato la Taifa Ndugu Wanahabari, Mtakumbuka Kamati Kuu ya ACT Wazalendo iliyokaa Oktoba 27, 2017 ilifanya uchambuzi juu ya hali ya uchumi wa nchi yetu, na...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamvi em tujuzeni mliopo fronti hivi DIAMOND KARANGA zinaendeleaje sokoni? naona matangazo yote kimya na madukani nilikozoea kuziona sizioni tena.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hali vipi Wadau! Nilitaka kujua namna ya kupiga hesabu duka la reja reja, yaani kujua faida iko vipi kama umeweka msimamizi. Hesabu haijapigwa tokea mwaka jana mwezi wa kwanza na kama tunavyojua...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa anayependa kuwa na kiwanda au kampuni ya kutengeneza vyoo vya plastic vinavyohamishika please chukua hili wazo. Anza kulifanyia kazi. Soko 1. Uswahilini 2. Vijijini 3. Sehemu zenye mikusanyiko...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Jiajiri kwa kuanza kutengeneza power bank, generator, jiko nk kwa kutumia mkojo kama chanzo cha nishati mbadala. Part 1 Hii ndio dunia watu wengi , watu wachache.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuu! Naomba niulize moja kwa moja hili swali ili niweze kupata majibu na mchanganuo kwa kina. Ni hivi...... Je, ninaweza kufungua kampuni kwa ajili ya kumwagizia mteja vitu...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Nikumbushe kisa kimoja cha ukweli kabisa ingawa ni cha siku nyingi. Yupo mchaga mmoja ambaye alikuwa amebahatika kupata ajira hapa Jijini, baada ya muda fulani akaamua kutafuta sehemu ambayo...
27 Reactions
339 Replies
79K Views
Wakuu naomba kuuliza ni kampuni gani inayo husika au utaratibu gani wa kufuata ili kutuma cheni saa hereni na vito nje ya nchi
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Za saa hizi jamani Kuna vifaa nauza bado vipya na kwa packaging yake Drip tapes(mipira ya kilimo cha umwagiliaji) kwa mita 1000 tsh 230,000 Greenhouse 12 by 20 mita na insect net yake tsh...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Umeme wa Uhakika ambao Utachochea Uwekezaji kwenye viwanda na kuongeza Fursa za Ajira kwa Watanzania.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom