Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

Mega Projects in Tanzania

Threads
243
Posts
7.3K
Threads
243
Posts
7.3K

JF Prefixes:

Kuna ukweli wowote kwamba ili mtu afanikiwe ni lazima awe amebobea vizuri kwenye imani fulani(upande wa waganga na wachawi au upande wa Mungu(?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu nimekesha kutwa natafuta MAC VST za logic Bila mafanikio naombeni msaada kwa mtaalamu yoyote aliyena Link Ambazo nitaweza Kupata VST hizo kwa Free kama Wave bundle, Nexus, Contact...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu nahitaji msaada wa maelezo kwa yeyote anaejua haya makoto. Ipo hivi nilifungua account ya CRDB bank ile ya furahaa account kwa maelezo yao, kuwa haina makato ya kila mwezi, Nikakaa muda...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau nina mtaji wa Tsh 3,000,000 na ninataka nianzishe duka la kuuza vipuri vya magari. Ninapenda biashara hii kwa sababu mimi ni mdau wa magari sana. Naombeni ushauri nianze na bidhaa zipi...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Wadau nauza mashudu ya Alizeti kilo sh 150 kama unachukua mengi zaidi bei inapungua nipigie kwa 0713815403.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Haya wanajamvi nipo mbioni kufunga mashine ya kukamua mafuta ya alizeti maeneo ya Makambako ktk mkoa mpya wa njombe, Kwa wale wanaohitaji mafuta ya alizeti na wafugaji wanaohitaji mashudu ya...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu kwenye bajeti iliopitishwa walipendekeza biashara zifunguliwe ila makadirio mtu ataanza kulipa kodi ya serikali baada ya miezi 6. Naomba kujua kama tayari utaratibu huu unafanyika ili tuanze...
0 Reactions
0 Replies
877 Views
Wafugaji wengi wa kuku wa nyama wanapata changamoto sana juu ya upatikanaji wa vifaranga kwa wakati na chakula bora.Mimi nipo katika hii field ya usambazaji wa chakula bora cha Nassad na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Let me imagine how it be like if African countries were students in one class and one school. 1• Algeria: quite interested on reading books, enjoy literature and quite rich by standard. However...
0 Reactions
5 Replies
815 Views
Hi wanajamii, kwa mtu aliyeko Oman au mwenye experience na mji wa muscut naomba usaidizi, nasafiri next week nataka kujua hotel gani ambayo ni ya wastani nzuri/bei nzuri iwe mjini, budget iwe...
0 Reactions
0 Replies
498 Views
Greetings! I trust you are good today. Leo nataka nizungumzie upande wa pili wa shilingi kuhusu jinsi unavyoanza side hustle, changamoto zakutegemea kukutana nazo na mwisho jinsi gani unaweza...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
poleni na majukumu wakuu naomba kuuliza biashara ya duka la rejareja na mpesa bukoba mjini inalipa ?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa wale members ambao wana uzoefu na hii biashara watupe fununu kuhusu hii biashara maana nina taraji kuianza soon mambo yakiwa mazuri. Taarifa ambazo ninahitaji kuzifahamu kuhusu hii biashara...
3 Reactions
11 Replies
16K Views
Manunuzi ya mtandaoni ni njia rahisi ya kuokoa muda na gharama. Badala ya kuchoma mafuta na kwenda kununua vitu, unafanya manunuzi yako kupitia simu ama kompyuta. Lakini, kadri umaaarufu wake...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu, Mimi ni binti miaka 25 muhitimu wa chuo ngazi ya diploma ila sijaajiriwa na nimemaliza chuo tokea mwaka juzi. Nakuja mbele zenu nikiomba ushauri juu ya wazo la...
4 Reactions
14 Replies
6K Views
Wakuu, Kiukweli na uhalisia, Karibia 84.6% ya watu wanaofanya biashara ya pesa za mitandao wanatumia line zenye majina ya watu wengine- Ambazo wamezipata kwa kununua au kupewa kienyeji tu, Na...
2 Reactions
18 Replies
7K Views
Mjasiriamali jokate Mwegelo almaarufu kama Kidoti ametajwa katika orodha ya jarida la Forbes ya wajasiriamali 30 wa Afrika wanaofanya vizuri wenye umri chini ya miaka 30. My take: Hii ni hatua...
0 Reactions
49 Replies
9K Views
Habari zenu!! Nahitaji msaada kama kichwa Cha mada kinavyojieleza!! Nataka kutengeneza vifungashio Kama njia ya ujasiriamali. Naomba anaefahamu sehemu ninayoweza kupata anisaidie!! Natanguliza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
ELIMU BIASHARA UNAHISI HAUTAWEZA? ANZA NA ELFU KUMI LEO Kuna watu tunatumia miaka Mingi sana Kulalamika hatuna mitaji, na hatutumii hata nusu ya miaka hiyo kujaribu ku-save ili tupate mitaji ya...
7 Reactions
13 Replies
5K Views
Habari wakuu nimefanikiwa kupata milion 7 na nimepewa fremu ya bure na Baba mkwe wangu cha kufanya ni kuiboresha kulingana na biashara ninayotaka kuifanya. Sasa baada ya kuwaza nikaona nifanye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom