Hellow bosess!
Dunia ya saivi sio ya miaka ile ya 70 saivi technolojia ina impact kubwa tu kwa maisha ya saivi na baadae. Twende kwenye mada
Mkuu apo juu amekuja na wazo lakuanzisha Jf saccos...
Uber ni Kampuni ya magari ya taxi ndogo, kati inayosafirisha watu kwenye maeneo mbali mbali katika Jiji la Dar es Salaam. Kila ninapofika Dar es Salaam usafiri wangu kwa asilimia kubwa natumia...
Jana wakati niko kwenye basi natoka mkoa kuanzia Mitaa ya Mbezi mpaka Kimara kuna aina flani ya bajaji nimeziona za njano hivi... sijui niziite bajaji za kichina au piki piki ila zinabeba abiria...
Cha Kwanza wapendwa vijana ni kujitambua na kujua we ni Nani na unatoka wapi na unakwenda wapi......kuthubutu,kujitoa na kuangalia mbele kwakuwa umri unakwenda kwa kasi ya ajabu,kutokuwa tegemezi...
Wakuu heshima kwenu ndg zangu, wakubwa shikamooni lika langu habari zenu.
Baada ya salamu naomba niwape pole kwa majukumu mbali mbali na hongera kwa utekerezaji wa majukumu hayo.
Kilichonileta...
Habari ya Jumapili wakuu...naulizia kama kuna member anaejua upatikanaji wa dhahabu kule msumbiji maana kuna mdau alinambia kuna watanzania wengi kule na pia kodi zao sio kubwa sana
Huyu kijana yupo Tanzania sahvi. Amejizolea umaarufu mkubwa kupitia channel yake ya Youtube ambapo ameweka juhudi za kutangaza nchi za Afrika kwa dunia ili kuondoa picha mbaya iliyozoeleka huko...
Natumaini mko salama wana JF, nitaenda moja kwa moja kweye hoja, kama kichwa kinavyosema tuweni na ability to think and articulate issues in a better way, yaani tuwe na fikira bora za tujua na...
Ni jambo la aibu kukatwa wakati unafanya malipo kwa LIPA ya vodacom wakati MASTERPASS ni bure kabisa.
Sijui vodacom mlifikiria vizuri hasa wakati huu ambao tunaenda kuondokana na hela za...
Kuna siku moja nilikuwa ofisini kwangu akaja bwana mmoja akiwa na shida ya kiofisi baada ya kutatua shida yake akanieleza kwamba anavitambulisho vya kutosha nifike ofisini kwake na picha nijaze...
Nimeskia kutoka kwa mdau mmoja TRA Mwanza wameipiga marufuku kampuni ya Mwanza Quality Wine Ltd wanatengezaji wa pombe maarufu mkoani Mwanza ya Power Banana wine kusitisha uzalishaji hadi wawe na...
I know that most of us are afraid of being scammed of our fortunes. It is true even I had been of a kind in the past. I also had been scammed several times before I became brave and knew how to...
Closely monitor falling of shilling, experts caution
Saturday February 23 2019
In Summary
Tanzanians will now have to dig deeper into their pockets to pay for...
Jamani mimi mwanafunzi hapa Arusha lakini nimeona kuna fursa hapa kwenye metal works workshop yaani kuunda maget, metal beds, majiko ya chuma yaani tuwe madesigner fulani wa vitu vya kisasa...
Naomba msaada wadau kuna ndg yangu amekua akitumia Efd machine kwa miaka mitatu... Juzi Kati machine ikapata shot na Mother board ameambiwa imekufa na suplier amedai Hana spare... Je afanye nini ...
Kwa wale tulio soma somo la ujasiriamali chuoni nadhani wengi mnafahamu jinsi ujasiriamali unafundiahwa chuo yaani hakuna vitendo
Awali ya yote nilikuwa naomba watu wenye ufahamu wa kuandaa...
Wadau habari za mchana,
Naomba kuuliza,
Kuna akaunti ipo kwenye ukurasa wa Facebook unahusina na mikopo hii ni kweli au matapeli tu wa Tz.
Msaada wa maelezo kwa yoyote anayefahamu ukweli.
Sent...
Aisee kuna mambo yatia kinyaaa sana na kuchekesha.. sasa huyu mzee hapa anasema eti watu hawawezi kutupangia thamani ya hela yetu??? Serious kabisa yani msomi mzima unakaa kuamini Exchange rate ni...
Wadau,
Mara ya mwisho kuapa kutopanda bus za Abood ni mwezi wa pili mwanzoni, na hii ilitokana na mara kadhaa unapanda basi Dar na utakuta pale mbele kwa dereva wanajazwa watu kibao.
Na mkifika...
Hello, Im young(16 to be exact)and Im thinking about making a small t-shirt business. Just spray paint and blank shirts pretty much. Punk looking if you want a better picture of it. I want to sell...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.